< Hošea 2 >
1 Recite braći svojoj: 'Narode moj,' sestrama svojim: 'Mila.'
Waambie ndugu zenu wanaume, 'Watu wangu!' na kwa dada zako, 'umeonyeshwa huruma.'”
2 Podignite tužbu, podignite, protiv majke svoje, jer ona mi nije više žena, a ja joj muž više nisam. Nek' odbaci od sebe bludničenja i preljube izmeđ' svojih dojki,
Leteni mashtaka dhidi ya mama yenu, leteni mashtaka, kwa kuwa yeye si mke wangu, wala mimi si mumewe. Na auondoe uzinzi wake mbele yake, na matendo yake ya uzinzi kati ya matiti yake.
3 da je golu ne svučem te učinim da bude k'o na dan rođenja; da je ne obratim u pustinju, da je u zemlju suhu ne obratim i žeđu ne umorim.
Ikiwa sio, nitamvua nguo na kumuonyesha uchi wake kama siku aliyozaliwa. Nami nitamfanya kama jangwa, kama nchi iliyoharibika, nami nitamfanya afe kutokana na kiu.
4 Ja joj djece neću milovati, jer djeca su to bludnička.
Sitakuwa na rehema kwa watoto wake, kwa maana wao ni watoto wa ukahaba.
5 Da, bludu se odala mati njihova, sramotila se ona koja ih zače. Da, rekla je: 'Trčat ću za svojim milosnicima, za njima koji mi daju kruh moj i vodu, vunu moju i lan, ulje i piće moje.'
Maana mama yao amekuwa kahaba, na yeye aliye mimba amefanya mambo ya aibu. Alisema, “Nitawafuata wapenzi wangu, kwa maana wananipa mkate wangu na maji, sufu yangu na kitani, mafuta yangu na kinyweji.”
6 Stoga ću put joj trnjem zagraditi, zidom opkoliti, da ne nađe više svojih staza.
Kwa hiyo nitajenga ua wa kuzuia njia yake kwa miiba. Nitajenga ukuta dhidi yake ili asiweze kupata njia. Yeye atawafuatilia wapenzi wake, lakini yeye hatawafikia.
7 I trčat će za milosnicima, ali ih stići neće, tražit će ih, al' ih neće pronaći. Tada će reći: 'Idem se vratiti prvome mužu, jer sretnija bijah prije nego sada.'
Yeye atawatafuta, lakini hatawapata. Kisha atasema, “Nitarejea kwa mume wangu wa kwanza, kwa maana ilikuwa ni bora kwangu zamani kuliko sasa.”
8 I ona nije razumjela da joj ja davah i žito i mošt i ulje, da je ja obasipah srebrom i zlatom od kojega načiniše baale.
Kwa maana hakujua kwamba mimi ndimi niliyempa nafaka, divai mpya na mafuta, na ambaye nilimwongezea fedha na dhahabu, ambazo walizitumia kwa Baali.
9 Stoga ću uzeti natrag svoje žito u svoje vrijeme i svoj mošt u pravi čas; oduzet ću svoju vunu i svoj lan kojima je imala pokriti golotinju svoju;
Kwa hiyo nitachukua nafaka yake wakati wa mavuno, na divai yangu mpya katika msimu wake. Nitachukua sufu yangu na kitambaa kilichotumiwa kufunika uchi wake.
10 sad ću joj otkriti sramotu na oči njenih milosnika, i nitko je iz moje neće izbaviti ruke.
Ndipo nitamvua nguo machoni pa wapenzi wake, wala hakuna mtu atakayemwokoa mkononi mwangu.
11 Učinit ću kraj svim njenim veseljima, svetkovinama, mlađacima, subotama i svim blagdanima njezinim.
Nitasitisha furaha yake yote- sikukuu zake, mwandamo wa mwezi, sabato zake na sikukuu zake zote zilizowekwa.
12 Opustošit ću joj čokote i smokve za koje je govorila: 'To je plaća što mi je dadoše moji milosnici.' Obratit ću ih u šikarje, i životinje će ih poljske obrstiti.
Nitaharibu mizabibu yake na mtini wake, ambayo alisema, 'Hii ni mishahara ambayo wapenzi wangu walinipa.' Nitawafanya kuwa msitu, na wanyama wa shambani watakula.
13 Kaznit ću je za dane Baalove kojima je kad palila, kitila se grivnom i kolajnom i trčala za svojim milosnicima; a mene je zaboravljala - riječ je Jahvina.
Nami nitamuadhibu kwa ajili ya Sikukuu ya Baali, alipowafukizia uvumba, akijipamba kwa pete zake na mavazi yake, naye akafuata wapenzi wake, akanisahau.” Hili ndilo tamko la Bwana.
14 Stoga ću je, evo, primamiti, odvesti je u pustinju i njenu progovorit' srcu.
Kwa hiyo nitaenda kumshawishi. Nitamleta jangwani na kumwambia kwa huruma.
15 I vratit ću joj ondje njene vinograde, i od Doline ću akorske učiniti vrata nade. Ondje će mi odgovarat' ona kao u dane svoje mladosti, kao u vrijeme kada je izišla iz Egipta.
Nami nitamrudishia mizabibu yake, na bonde la Akori kama mlango wa tumaini. Yeye atanijibu huko kama alivyofanya katika siku za ujana wake, kama katika siku ambazo alitoka katika nchi ya Misri.
16 U onaj dan - riječ je Jahvina - ti ćeš me zvati: 'Mužu moj', a nećeš me više zvati: 'Moj Baale.'
“Itakuwa katika siku hiyo”-hili ndilo tamko la Bwana-”kwamba utaniita, 'Mume wangu,' na hutaniita tena mimi, 'Baal wangu.'
17 Uklonit ću joj iz usta imena baalska i neće im više ime spominjati.
Kwa maana nitaondoa majina ya Baali kinywani mwake; majina yao hayatakumbukwa tena.”
18 U onaj dan, učinit ću za njih savez sa životinjama u polju, sa pticama nebeskim i gmazovima zemskim; luk, mač i boj istrijebit ću iz zemlje da mirno u njoj počiva.
“Siku hiyo nitafanya agano pamoja na wanyama katika mashamba kwa ajili yao, na ndege wa angani, na vitu vya kutambaa chini. Nitaondoa upinde, upanga, na vita katika nchi, nami nitakufanya ulale kwa usalama.
19 Zaručit ću te sebi dovijeka; zaručit ću te u pravdi i u pravu, u nježnosti i u ljubavi;
Nitakuwa mume wako milele. Nitakuwa mume wako katika haki, hukumu, uaminifu wa agano, na huruma.
20 zaručit ću te sebi u vjernosti i ti ćeš spoznati Jahvu.
Nitakuwa mume wako kwa uaminifu. Nawe utanijua mimi, Bwana.
21 U onaj dan - riječ je Jahvina - odazvat ću se nebesima, a ona će se zemlji odazvati;
Na siku ile, nitajibu”-hili ndilo tamko la Bwana. “Nitazijibu mbingu, nao watajibu dunia.
22 zemlja će se odazvati žitu, moštu i ulju, a oni će se odazvati Jizreelu.
Dunia itashughulikia nafaka, divai mpya na mafuta, na watajibu Yezreeli.
23 I posijat ću ga u zemlji, zamilovat ću Nemilu, Ne-narodu mom reći ću: 'Ti si narod moj!' a on će reći: 'Bože moj!'”
Nitatampanda mwenyewe katika nchi kwa ajili yangu, na nitamhurumia Lo Ruhama. Nami nitamwambia Lo Ami, 'Wewe ni Ami Ata,' nao wataniambia, 'Wewe ni Mungu wangu.'”