< Postanak 43 >

1 Strašna glad pritisla zemlju.
Njaa ilikuwa kali katika nchi.
2 Kad su pojeli hranu koju bijahu donijeli iz Egipta, njihov im otac reče: “Idite opet i nabavite nam malo hrane.”
Ikawa walipokuwa wametumia chakula chote walichokitoa Misri, baba yao akawambia, “Nendeni tena; mtununulie chakula.”
3 Nato će mu Juda: “Onaj nam je čovjek jasno rekao: 'Ne smijete preda me ako vaš brat ne bude s vama.'
Yuda akamwambia, “Yule mtu alituonya kwa ukali, 'Hamtauona uso wangu ndugu yenu asipokuwa nanyi.'
4 Ako si, dakle, voljan s nama poslati našega brata, mi ćemo otići dolje i kupit ćemo ti žita.
Ikiwa utamtuma ndugu yetu pamoja nasi, tutashuka na kuwanunulia chakula.
5 Ali ako njega ne pustiš s nama, onda mi tamo i ne idemo, jer nam je onaj zaprijetio: 'Ne smijete preda me ako vaš brat ne bude s vama.'”
Lakini usipompeleka, hatutashuka. Kwa maana yule mtu alitwambia, 'Hamtauona uso wangu ndugu yenu asipokuwa nanyi.”
6 “Zašto ste mi”, zapita Izrael, “nanijeli jad rekavši onom čovjeku da imate još jednoga brata?”
Israeli akawambia, “Kwa nini mlinitendea mimi vibaya hivyo kwa kumwambia mtu huyo kwamba mnaye ndugu mwingine?”
7 Oni odgovore: “Čovjek nas je neprestano zapitkivao o nama i o našoj obitelji: 'Je li vam još živ otac? Imate li još kojega brata?' Mi smo mu odgovarali na pitanja. Kako smo mogli znati da će reći: 'Dovedite svoga brata!'”
Wakasema, “Yule mtu alituuliza habari zetu na familia yetu kwa kina. Akasema, 'Je baba yenu bado yuko hai? Je mnaye ndugu mwingine?'Tukamjibu kulingana na maswali haya. Tungejuaje kwamba angetwambia, 'Mleteni ndugu yenu?”
8 Potom Juda reče svome ocu Izraelu: “Pusti dječaka sa mnom pa da se dignemo i krenemo; tako ćemo preživjeti, a ne pomrijeti, i mi, i ti, i naša djeca.
Yuda akamwambia Israeli baba yake, “Mtume kijana pamoja nami. Tutainuka na kwenda ili kwamba tuishi tusife, wote sisi, wewe, na hata watoto wetu.
9 Ja za nj jamčim; mene drži odgovornim za nj. Ako ga tebi ne vratim i preda te ga ne dovedem, bit ću ti kriv svega vijeka.
Mimi nitakuwa mdhamini wake. Utaniwajibisha mimi. Kama nisipomleta na kumweka mbele yako, basi nibebe lawama daima.
10 TÓa da nismo toliko oklijevali, mogli smo se već i dvaput vratiti.”
Kwani kama tusingekawia, bila shaka hata sasa tungekuwa tumekwisha rudi mara ya pili.”
11 Njihov otac Izrael reče im: “Kad je tako, neka bude, ali učinite ovo: metnite u torbe najbiranijih proizvoda ove zemlje i ponesite na dar onom čovjeku: nešto balzama, nešto meda i mirodija, mirisne smole, pa lješnjaka i badema.
Israeli baba yao akawambia, “Kama ni hivyo, basi fanyeni hivi. Chukueni baadhi ya mazao mazuri ya nchi katika mifuko yenu. Mchukulieni yule mtu zawadi: baadhi ya malhamu, asali, viungo na manemane, jozi na lozi.
12 Sa sobom uzmite dvostruko novaca, jer treba vratiti novac koji ste našli u grlima svojih vreća. Možda je ono bila zabuna.
Chukueni pesa mara mbili mikononi mwenu. Pesa iliyorudishwa katika magunia yenu, muichukue tena katika mikono yenu. Pengine walikosea.
13 Uzmite svoga brata pa se opet zaputite onom čovjeku.
Mchukueni ndugu yenu pia. Inukeni na mwende tena kwa mtu yule.
14 Neka Bog Svemogući, El Šadaj, potakne onog čovjeka na milosrđe prema nama te vam pusti i drugoga brata i Benjamina. A ja, moram li bez djece ostati, neka ostanem.”
Mungu Mwenyezi na awape kuona rehema mbele ya huyo mtu, hivyo kwamba awafungulie ndugu yenu mwingine na Benjamini. Kama nikipotelewa na watoto, nimepotelewa.”
15 Uzmu ljudi darove; uzmu sa sobom dvostruko novaca, povedu Benjamina te siđu u Egipat i stupe pred Josipa.
Watu wale wakachukua zawadi hii, na katika mikono yao wakachukua mara mbili ya kiasi cha pesa, pamoja na Benjamini. Wakaamka na kushuka Misri na kusimama mbele ya Yusufu.
16 Kad Josip ugleda s njima Benjamina, reče upravitelju svoga kućanstva: “Odvedi ljude u kuću, zakolji jedno živinče i pripremi, jer će ovi ljudi blagovati sa mnom o podne!”
Yusufu alipomwona Benjamini akiwa nao, akamwambia mtunzaji wa nyumba yake, “Walete watu hao ndani ya nyumba, chinja mnyama na umwandae, kwani watu hawa watakula chakula cha mchana pamoja nami.”
17 Čovjek učini kako je Josip rekao i povede ljude u Josipov dom.
Mtunzaji wa nyumba akafanya kama Yusufu alivyosema. Akawaleta wale watu nyumbani kwa Yusufu.
18 Ljudi se pobojaše kad su bili povedeni u dom Josipov te rekoše: “Zbog novca koji se našao u našim vrećama prvi put vode nas unutra tako da nas napadnu i zajedno s našom magaradi uzmu za robove.”
Wale ndugu wakaogopa kwa vile walivyoletwa katika nyumba ya Yusufu. Wakasema, “Ni kwa sababu ya pesa iliyorudishwa katika magunia yetu mara ya kwanza tulipoletwa ndani, kwamba atafute nafasi kinyume chetu. Kwamba aweze kutukamata na kutuchukua kama watumwa, na kuchukua punda wetu.” Wakamsogelea mtunzaji wa nyumba ya Yusufu,
19 Stoga se primaknu upravitelju Josipova doma te mu, na ulazu u kuću, reknu:
nao wakaongea naye mlangoni mwa nyumba,
20 “Oprosti, gospodaru! Mi smo i prije jednom dolazili da nabavimo hrane;
wakisema, “Bwana wangu, tulikuja mara ya kwanza kununua chakula.
21 i kad smo stigli na prenoćište i otvorili svoje vreće, a to novac svakoga od nas ozgo u njegovoj vreći, naš novac, ista svota. Sad smo ga donijeli sa sobom.
Ikawa, tulipofika katika eneo la kupumzikia, tukafungua magunia yetu, na, tazama, pesa ya kila mtu ilikuwa katika gunia lake, pesa yetu kwa kiasi kamili. Tumeileta katika mikono yetu.
22 A ponijeli smo i drugog novca da kupimo hrane. Mi ne znamo tko nam je stavio novac u naše vreće.”
Tumekuja na pesa nyingine pia mikonon mwetu ili kununua chakula. Hatujui aliyeziweka pesa katika magunia yetu.”
23 “Budite mirni”, reče im on. “Ne bojte se! Bog vaš i Bog vašega oca stavio je blago u vaše vreće. Vaš je novac k meni stigao.” Potom im izvede Šimuna.
Mtunzaji wa nyumba akasema, “Amani iwe kwenu, msiogope. Mungu wenu na Mungu wa baba yenu ndiye aliyeweka pesa katika magunia yenu. Nilipokea pesa yenu.” Kisha mtunzaji wa nyumba akamleta Simoni kwao.
24 Čovjek zatim uvede ljude u Josipovu kuću; dade im vode da operu noge, a njihovoj magaradi baci p§iće.
Msimamizi wa nyumba akawapeleka watu hao katika nyumba ya Yusufu. Akawapa maji, nao wakaosha miguu yao. Akawalisha punda wao.
25 Potom priprave oni svoje darove za dolazak Josipov o podne, jer su čuli da će ondje ručati.
Wakaandaa zawadi kwa ajili ya Yusufu aliyekuwa akija mchana, kwani walikuwa wamesikia kwamba watakula pale.
26 Kad je Josip došao u kuću, dadu mu darove koje su sa sobom donijeli i do zemlje mu se poklone.
Yusufu alipokuja nyumbani, wakaleta nyumbani zawadi iliyokuwa mikononi mwao, nao wakainama mbele yake hata chini.
27 Upita ih on za zdravlje te će dalje: “A je li dobro vaš stari otac o kome ste mi govorili? Je li još dobra zdravlja?”
Akawauliza juu ya hali zao na kusema,”Je baba yenu hajambo, yule mzee mliyemnena? Je bado yu hai?”
28 “Sluga tvoj, otac naš, dobro je i još je dobra zdravlja”, odgovore i duboko se naklone iskazujući poštovanje.
Wakasema, “Mtumishi wako baba yetu hajambo. Na bado yu hai” Wakajinyenyekeza na kuinama chini.
29 Podigavši svoje oči, Josip opazi svoga brata Benjamina - sina svoje majke - te upita: “Je li ovo vaš najmlađi brat o kome ste mi govorili?” Onda nastavi: “Bog ti bio milostiv, sine moj!”
Alipoinua macho yake akamwona Benjamini ndugu yake, mwana wa mamaye, naye akasema, “Je huyu ndiye mdogo wenu mliyemsema?” Na kisha akasema, “Mungu na awe mwenye neema kwako, mwanangu.”
30 Josip se poslije toga požuri van jer mu se srce uzbudilo zbog brata; bilo mu je da zaplače. Uđe u jednu sobu i tu se isplaka.
Yusufu akaharakisha kutoka chumbani, kwani aliguswa sana kuhusu nduguye. Akatafuta mahali pa kulia. Akaingia chumbani mwake na kulia umo.
31 Onda opere lice, ponovo se javi i, svladavajući se, naredi: “Poslužite ručak!”
Akaosha uso wake na kutoka nje. Akajizuia mwenyewe, akasema, “karibuni chakula.”
32 Staviše njemu napose, njima napose, a napose opet Egipćanima koji su s njim jeli. Egipćani ne bi mogli jesti s Hebrejima, jer bi to Egipćanima bilo odvratno.
Watumishi wakamhudumia Yusufu peke yake na wale ndugu peke yao. Wamisri pale wakala pamoja naye peke yao kwa sababu Wamisri hawakuweza kula mkate na Waebrania, kwani hilo ni chukizo kwa Wamisri.
33 I kad posjedaše pred njim, najstariji prema starosti svojoj, a najmlađi prema mladosti svojoj, samo se zgledahu.
Wale ndugu wakakaa mbele yake, mzaliwa wa kwanza kwa kulingana na haki yake ya uzaliwa, na mdogo kulingana na ujana wake. Wale watu wakashangaa wote.
34 I naređivaše on da jela ispred njega nose njima, a obrok Benjaminov bijaše pet puta veći od svih ostalih. I pili su i gostili se s njim.
Yusufu akapeleka sehemu kwao kutoka katika chakula kilichokuwa mbele yake. Lakini sehemu ya Benjamini ilikuwa mara tano zaidi ya kila ndugu zake. Wakanywa na wakamfurahia.

< Postanak 43 >