< Postanak 11 >

1 Sva je zemlja imala jedan jezik i riječi iste.
Sasa nchi yote ilikuwa inatumia lugha moja na ilikua na usemi mmoja.
2 Ali kako su se ljudi selili s istoka, naiđu na jednu dolinu u zemlji Šinearu i tu se nastane.
Ikawa waliposafiri upande wa mashariki, wakaona eneo tambarare katika nchi ya Shinari na wakakaa pale.
3 Jedan drugome reče: “Hajdemo praviti opeke te ih peći da otvrdnu!” Opeke im bile mjesto kamena, a paklina im služila za žbuku.
Wakasemezana, “Haya njoni, tufanye matofari na tuyachome kikamilifu.” Walikuwa na matofari badala ya mawe na lami kama chokaa.
4 Onda rekoše: “Hajde da sebi podignemo grad i toranj s vrhom do neba! Pribavimo sebi ime, da se ne raspršimo po svoj zemlji!”
Wakasema, “njoni, na tujenge mji sisi wenyewe na mnara ambao kilele chake kitafika angani, na tujifanyie jina. Kama hatutafanya, basi tutatawanyika katika uso wa nchi yote.”
5 Jahve se spusti da vidi grad i toranj što su ga gradili sinovi čovječji.
Kwa hiyo Yahwe akashuka kuona mji na mnara ambao wazao wa Ibrahimu walikuwa wamejenga.
6 Jahve reče. “Zbilja su jedan narod, s jednim jezikom za sve! Ovo je tek početak njihovih nastojanja. Sad im ništa neće biti neostvarivo što god naume izvesti.
Yahwe akasema, “Tazama, watu hawa ni taifa moja na lugha moja, na wameanza kufanya hivi! Hivikaribuni halitashindikana jambo watakalo kusudia kulifanya.
7 Hajde da siđemo i jezik im pobrkamo, da jedan drugome govora ne razumije.”
Njoni, tushuke na tuvuruge lugha yao pale, ili kwamba wasielewane.”
8 Tako ih Jahve rasu odande po svoj zemlji te ne sazidaše grada.
Kwa hiyo Yahwe akawatawanya kutoka pale kwenda pande zote za uso wa nchi na wakaacha kujenga mji.
9 Stoga mu je ime Babel, jer je ondje Jahve pobrkao govor svima u onom kraju i odande ih je Jahve raspršio po svoj zemlji.
Kwa hiyo, jina lake ukaitwa Babeli, kwa sababu hapo Yahwe alivuruga lugha ya nchi yote na tangu pale Yahwe akawatawanya ng'ambo juu ya uso wa nchi yote.
10 Ovo su potomci Šemovi: Kad je Šemu bilo sto godina - dvije godine poslije Potopa - rodi mu se Arpakšad.
Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya Shemu. Shemu alikuwa na umri wa miaka mia moja, na akamzaa Alfaksadi miaka miwili baada ya gharika.
11 Po rođenju Arpakšadovu Šem je živio petsto godina te mu se rodilo još sinova i kćeri.
Shemu akaishi miaka miatano baada ya kumzaa Alfaksadi. Pia akazaa wana wengine wa kiume na wa kike.
12 Kad je Arpakšadu bilo trideset i pet godina, rodi mu se Šelah.
Wakati Alfaksadi alipokuwa ameishi miaka thelathini na mitano akamzaa Shela.
13 Po rođenju Šelahovu Arpakšad je živio četiri stotine i tri godine te mu se rodilo još sinova i kćeri.
Alfaksadi aliishi miaka 403 baada ya kumzaa Shela. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike.
14 Kad je Šelahu bilo trideset godina, rodi mu se Eber.
Wakati Shela alipokuwa ameishi miaka thelathini, akamzaa Eberi.
15 Po rođenju Eberovu Šelah je živio četiri stotine i tri godine te mu se rodilo još sinova i kćeri.
Shela aliishi miaka 403 baada ya kumzaa Eberi. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike.
16 Kad su Eberu bile trideset i četiri godine, rodi mu se Peleg.
Wakati Eberi alipokuwa ameishi miaka thelathini na minne, akamzaa Pelegi.
17 Po rođenju Pelegovu Eber je živio četiri stotine i trideset godina te mu se rodilo još sinova i kćeri.
Eberi aliishi miaka 430 baada ya kumzaa Pelegi. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike.
18 Kad je Pelegu bilo trideset godina, rodi mu se Reu.
Wakati Pelegi alipokuwa ameishi miaka thelathini, akamzaa Reu.
19 Po rođenju Reuovu Peleg je živio dvjesta i devet godina te mu se rodilo još sinova i kćeri.
Pelegi aliishi miaka 209 baada ya kumza a Reu. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike.
20 Kad su Reuu bile trideset i dvije godine, rodi mu se Serug.
Wakati Reu alipokuwa ameishi miaka thelathini na miwili, alimzaa Serugi.
21 Po rođenju Serugovu Reu je živio dvjesta i sedam godina te mu se rodilo još sinova i kćeri.
Reu aliishi miaka207 baada ya kumzaa Seregu. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike.
22 Kad je Serugu bilo trideset godina, rodi mu se Nahor.
Wakati Seregu alipokuwa ameishi miaka thelathini, akamzaa Nahori.
23 Po rođenju Nahorovu Serug je živio dvjesta godina te mu se rodilo još sinova i kćeri.
Seregu aliishi miaka mia mbili baada ya kumzaa Nahori. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike.
24 Kad je Nahoru bilo dvadeset i devet godina, rodi mu se Terah.
Wakati Nahori alipokuwa ameishi miaka ishirini na tisa, akamzaa Tera.
25 Po rođenju Terahovu Nahor je živio sto i devetnaest godina te mu se rodilo još sinova i kćeri.
Nahori aliishi mika 119 baada ya kumzaa Tera. Akawazaa pia wana wengine wa kiume na wa kike.
26 Kad je Terahu bilo sedamdeset godina, rode mu se: Abram, Nahor i Haran.
Baada ya Tera kuishi miaka sabini, akamzaa Abram, Nahori, na Haran.
27 Ovo je povijest Terahova. Terahu se rodio Abram, Nahor i Haran; a Haranu se rodio Lot.
Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya Tera. Tera alimzaa Abram, Nahori, na Harani, na Harani akamzaa Lutu.
28 Haran umrije za života svoga oca Teraha, u svome rodnom kraju, u Uru Kaldejskom.
Harani akafa machoni pa baba yake Tera katika nchi aliyozaliwa, katika Ur wa Wakaldayo.
29 Abram se i Nahor ožene. Abramovoj ženi bijaše ime Saraja, a Nahorovoj Milka; ova je bila kći Harana, oca Milke i Jiske.
Abram na Nahori wakajitwalia wake. Mke wa Abram aliitwa Sarai na mke wa Nahori aliitwa Milka, binti wa Harani, aliyekuwa baba wa Milka na Iska.
30 Saraja bijaše nerotkinja - nije imala poroda.
Sasa Sarai alikuwa Tasa; hakuwa na mtoto.
31 Terah povede svoga sina Abrama, svog unuka Lota, sina Haranova, svoju snahu Saraju, ženu svoga sina Abrama, pa se zaputi s njima iz Ura Kaldejskoga u zemlju kanaansku. Kad stignu do Harana, ondje se nastane.
Tera akamtwaa Abram mwanawe, Lutu mwana wa mwanawe Harani, na Sarai mkwewe, mke wa mwanawe Abram, na kwa pamoja wakatoka Ur wa Wakaldayo, kwenda katika nchi ya Kanaani. Lakini walipofika Harani wakakaa pale.
32 Dob Terahova dosegnu dvjesta i pet godina; a onda Terah umrije u Haranu.
Tera akaishi miaka 205 kisha akafa hapao Harani.

< Postanak 11 >