< Ezekiel 4 >

1 A ti, sine čovječji, uzmi opeku, postavi je preda se i nacrtaj na njoj grad Jeruzalem.
“Lakini wewe, mwana wa adamu, chukua tofali wewe mwenyewe na uliweke mbele yako. Kisha chonga mji wa Yerusalemu juu yake.
2 Oko njega postavi opsadu, sagradi prema njemu utvrdu, podigni nasip, iskopaj oko njega opkop, razvrstaj vojsku i porazmjesti zidodere uokolo.
Kisha laza kuizunguka, ngome juu yake. Anza kushambulia juu yake na weka makambi kuizunguka. Weka shambulio la ghasia kuizunguka.
3 Zatim uzmi gvozdenu ploču i postavi je kao gvozden bedem između sebe i grada te k njemu okreni lice, i bit će opsjednut. Pritisni ga! To je znak domu Izraelovu!
Kisha chukua kwa ajili yako mwenyewe sufuria ya chuma na itumie kama ukuta wa chuma kati yako mwenyewe na mji na weka uso wako dhidi yake. Kwa kuwa utazingirwa, na utaweka ukombozi juu yake. Hii itakuwa alama kwa nyumba ya Israeli.
4 Zatim lezi na svoju lijevu stranu i stavi na se grijeh doma Izraelova: koliko dana budeš tako ležao, toliko ćeš dana nositi njihov grijeh.
Kisha, lala juu upande wako wa kushoto na weka dhambi ya nyumba ya Israeli juu yake; utazibeba dhambi zao kwa hesabu za siku ambazo ulizolala juu ya nyumba ya Israeli.
5 Dajem ti po dan za godine grijeha njihovih: sto i devedeset dana nosit ćeš grijeh doma Izraelova.
Mimi mwenyewe nakuagiza kwako siku moja kuwakilisha kila mwaka wa adhabu yao: siku 390! Katika njia hii, utachukua dhambi ya nyumba ya Israeli.
6 A kad to završiš, četrdeset ćeš dana ležati na desnoj strani da nosiš grijeh doma Judina; dajem ti po dan za svaku godinu.
Wakati utakapomaliza hizi siku, kisha lala chini kwa mara ya pili kwa upande wako wa kulia, kwa kuwa utabeba dhambi ya nyumba ya Yuda kwa siku arobaini. Nakuteua wewe siku moja kwa kila mwaka.
7 Tad okreni lice prema opsjedanom Jeruzalemu, pruži golu desnicu i prorokuj protiv njega.
Weka uso wako chini kuelekea Yerusalemu ambayo ni chini ya ngome, na kwa mkono wako funua unabii dhidi
8 A ja ću te užetima vezati da se ne možeš okretati s jedne strane na drugu dok ne navršiš dane svoje opsade.
yake. Tazama! naweka vifungo juu yako hivyo hutarudi kutoka upande mmoja kwenda upande mwingine hadi utakapoliza siku zako za kuzingirwa kwako.
9 Uzmi pšenice, ječma, boba, leće, prosa i raži, stavi to u jednu posudu i pripravi od toga sebi kruh. Jest ćeš ga onoliko dana koliko budeš ležao na svojoj strani: sto i devedeset dana.
Chukua ngano kwa ajili yako, shayiri, dengu, mtama, kusemethi; viweke kwenye chombo kimoja na tengeneza mkate kwa ajili yako kulingana na hesabu ya siku ambazo utakazo lala katika ya upande wako. Kwa siku 390 utaula.
10 Jelo što ćeš ga jesti bit će izmjereno; dvadeset šekela na dan; a jest ćeš ga u određeno vrijeme.
Chakula utakachokula kitapimwa, shekeli ishirini kwa siku, na utakila kwa mda uliopangwa kila siku.
11 I vodu ćeš piti na mjeru: šestinu hina. Pit ćeš je u određeno vrijeme.
Kisha utakunywa maji, kwa kuyapima sehemu ya sita ya hini, na utayanywa kwa mda uliopangwa.
12 A jest ćeš pogaču od ječma što ćeš je pred njima ispeći na ljudskim izmetinama.”
Utakila kama keki za shayiri, lakini utaioka kwenye kinyesi kikavu cha mwanadamu mbele ya macho yao!”
13 I reče: “Tako će sinovi Izraelovi jesti svoj nečisti kruh među narodima među koje ću ih izagnati.”
Kwa kuwa Yahwe asema, “Hii inamaana kwamba ule mkate ambao watu wa Israeli watakula kitakuwa kinajisi, huko miongoni mwa mataifa ambapo nitakaowafukuza.”
14 Ja mu odgovorih: “Jao, Jahve Gospode, gle, moja duša nije okaljana, jer se od djetinjstva još ne okusih ničega uginulog ni rastrganog niti u moja usta ikad uđe meso nečisto.”
Lakini nikasema, “Ee, Bwana Yahwe! Sijawahi kuwa najisi! sijawahi kula kitu chochote ambacho kimekufa au kitu chochote kilichouawa na wanyama, kutoka mdomoni mwangu hadi sasa, wala nyama ya kunuka haijawahi kuingia kinywani mwangu!”
15 A on će: “Gle, dajem ti kravlju balegu umjesto ljudskih izmetina da na njoj ispečeš kruh!”
Ndivyo alivvyo niambia, “Tazama! Nimekupa mbolea ya ng'ombe badala ya kinyesi cha mwanadamu ili uweze kuandaa mkate wako juu ya hayo.”
16 Još mi reče: “Sine čovječji, uništit ću u Jeruzalemu posljednju pričuvu kruha, i jest će kruh na mjeru i s tjeskobom, i pit će vodu na mjeru i sa zebnjom.
Pia akanambia, “Mwana wa adamu! Tazama! Nalivunja gongo la mkate katika Yerusalemu, na watakula mkate ukiwa umepimwa katika wasiwasi na kunywa maji kwa kuyapima katika hofu.
17 Neka im nestane kruha i vode, neka usahnu zbog bezakonja svojega i jedan za drugim neka poginu!
Kwa sabau watapungukiwa na mkate na maji, kila mtu atafadhaishwa na ndugu yake na kumpoteza kwa sababu ya udhalimu wao.”

< Ezekiel 4 >