< Ezekiel 13 >
1 I opet mi dođe riječ Jahvina:
Neno la Bwana likanijia kusema:
2 “Sine čovječji! Prorokuj protiv onih koji se grade prorocima u Izraelu!
“Mwanadamu, tabiri dhidi ya manabii wa Israeli wanaotabiri sasa. Waambie hao ambao hutabiri kutokana na mawazo yao wenyewe: ‘Sikia neno la Bwana!
3 Reci tim prorocima koji prorokuju po svojoj glavi: 'Čujte riječ Jahvinu! Ovako govori Jahve Gospod: Jao prorocima bezumnim koji duh svoj slijede a ništa ne vide!
Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ole wao manabii wapumbavu wafuatao roho yao wenyewe na wala hawajaona chochote!
4 Ti su tvoji proroci, Izraele, kao lisice usred ruševina.
Manabii wako, ee Israeli, ni kama mbweha katikati ya magofu.
5 Vi se ne popeste na proboje i ne zidaste zida oko doma Izraelova da se održi u boju u dan Jahvin.
Hamjakwea kwenda kuziba mahali palipobomoka katika ukuta ili kuukarabati kwa ajili ya nyumba ya Israeli, ili kwamba isimame imara kwenye vita katika siku ya Bwana.
6 Viđenja su njihova isprazna, i lažna su njihova proricanja. Govore 'Riječ Jahvina!' - a Jahve ih nije poslao. I još očekuju da će im se riječi ispuniti.
Maono yao ni ya uongo na ubashiri wao ni wa udanganyifu. Wao husema, “Bwana amesema,” wakati Bwana hakuwatuma, bado wakitarajia maneno yao kutimizwa.
7 Zar ne vidite da su vam viđenja isprazna i da su vam lažna proricanja kad govorite 'Riječ Jahvina!' - a ja nisam govorio.'
Je, hamjaona maono ya uongo na kusema ubashiri wa udanganyifu hapo msemapo, “Bwana asema,” lakini Mimi sijasema?
8 Stoga ovako govori Jahve Gospod: 'Zato što govorite isprazno i laž vidite, evo me protiv vas' - riječ je Jahve Gospoda!
“‘Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Kwa sababu ya uongo wa maneno yenu na kwa madanganyo ya maono yenu, Mimi ni kinyume na ninyi, asema Bwana Mwenyezi.
9 Evo, ruka moja bit će protiv proroka koji vide isprazno i laž proriču: neće više biti u zboru mojega naroda, neće biti upisani u knjigu doma Izraelova, nikad više neće stupiti na tlo Izraelovo! I znat će da sam ja Jahve Gospod!
Mkono wangu utakuwa dhidi ya manabii ambao huona maono ya uongo na kusema ubashiri wa udanganyifu. Hawatakuwa katika baraza la watu wangu au kuandikwa katika kumbukumbu ya nyumba ya Israeli wala hawataingia katika nchi ya Israeli. Ndipo mtajua kuwa Mimi ndimi Bwana Mwenyezi.
10 Jer narod moj obmanjuju govoreći 'Mir' kad mira nema. I dok jedni hoće da se zid utvrdi, oni hoće da se samo ožbuka.
“‘Kwa sababu ni kweli wanapotosha watu wangu, wakisema, “Amani,” wakati ambapo hakuna amani, pia kwa sababu, wakati ukuta dhaifu unapojengwa, wanaufunika kwa kupaka chokaa,
11 Reci onima koji hoće da se samo ožbuka: 'Past će!' Udarit će silan pljusak, oborit ću na nj grÓad kao kamenje, bjesnjet će olujni vihori.
kwa hiyo waambie hao wanaoupaka chokaa isiyokorogwa vyema kwamba ukuta huo utaanguka. Mvua kubwa ya mafuriko itanyesha, nami nitaleta mvua ya mawe inyeshe kwa nguvu, nao upepo wa dhoruba utavuma juu yake.
12 Evo, zid će pasti! Neće li vas tada pitati: 'Gdje vam je sada žbuka kojom ste ga ožbukali?'
Wakati ukuta utakapoanguka, je, watu hawatawauliza, “Iko wapi chokaa mliyopaka ukuta?”
13 Zato ovako govori Jahve Gospod: 'U svojoj jarosti razbjesnit ću olujne vihore, u srdžbi ću svojoj udariti silnim pljuskom da ga zatrem, u gnjevu ću na nj oboriti grÓad kao kamenje.
“‘Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Katika ghadhabu yangu nitauachia upepo wa dhoruba, pia katika hasira yangu mvua ya mawe na mvua ya mafuriko itanyesha ikiwa na ghadhabu ya kuangamiza.
14 Obalit ću zid što ga vi žbukom ožbukaste, na zemlju ću ga oboriti da mu se razgole temelji. Past će zid, i vi ćete pod njim izginuti! Tada ćete znati da sam ja Jahve!
Nitaubomoa ukuta mlioupaka chokaa na kuuangusha chini ili msingi wake uachwe wazi. Utakapoanguka, mtaangamizwa ndani yake, nanyi mtajua kuwa Mimi ndimi Bwana.
15 Tako ću iskaliti gnjev nad zidom i nad onima koji ga žbukom ožbukaše. A vama ću reći: Nema više zida! Nema onih koji ga žbukom ožbukaše.
Hivyo ndivyo nitakavyoitimiza ghadhabu yangu dhidi ya huo ukuta na dhidi yao walioupaka chokaa. Nitawaambia ninyi, “Ukuta umebomoka na vivyo hivyo wale walioupaka chokaa,
16 Nema izraelskih proroka koji Jeruzalemu proricahu i koji mu mir vidješe kad mira ne bijaše.' Tako govori Jahve Gospod.”
wale manabii wa Israeli waliotabiri juu ya Yerusalemu na kuona maono ya amani kwa ajili yake wakati kulipokuwa hakuna amani, asema Bwana Mwenyezi.”’
17 “Sine čovječji, okreni lice protiv kćeri svojega naroda koje prorokuju po svojoj glavi! Prorokuj protiv njih:
“Sasa, mwanadamu, kaza uso wako dhidi ya binti za watu wako wanaotabiri mambo kutoka mawazo yao wenyewe. Tabiri dhidi yao
18 Ovako govori Jahve Gospod: 'Jao onima koje vezu poveze za svačije ruke i koje prave prijevjese za glave svake veličine da ulove duše! Mislite li uloviti sve duše mojega naroda a svoje duše sačuvati žive?
na useme, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ole wao wanawake washonao hirizi za uchawi juu ya viwiko vyao vyote na kutengeneza shela za urefu wa aina mbalimbali kwa ajili ya kufunika vichwa vyao kwa makusudi ya kuwanasa watu. Je, mtatega uhai wa watu wangu lakini ninyi mponye wa kwenu?
19 Obeščašćujete me pred mojim narodom za šaku ječma, za zalogaj kruha, ubijajući duše koje ne bi trebale da umru, a spasavajući one koje ne bi trebale da žive; i obmanjujete tako narod moj koji rado sluša vaše laži.'
Ninyi mmeninajisi miongoni mwa watu wangu kwa ajili ya konzi chache za shayiri na chembe za mkate. Kwa kuwaambia uongo watu wangu, wale ambao husikiliza uongo, mmewaua wale watu ambao wasingekufa na kuwaacha hai wale ambao wasingeishi.
20 Zato ovako govori Jahve Gospod: 'Evo me protiv vaših poveza kojima lovite duše kao ptice! Rastrgat ću sve to na vašim rukama i oslobodit ću duše koje time hvatate kao ptice!
“‘Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mimi niko kinyume na hizo hirizi zenu za uchawi ambazo kwa hizo mnawatega watu kama ndege, nami nitazirarua kutoka mikononi mwenu, nitawaweka huru watu wale mliowatega kama ndege.
21 Poderat ću vaše prijevjese i oslobodit ću svoj narod da ne bude više plijen vaših ruku. I znat ćete da sam ja Jahve!
Nitazirarua shela zenu na kuwaokoa watu wangu kutoka mikononi mwenu, nao hawatakuwa tena mawindo ya nguvu zenu. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.
22 Jer vi lažju ražalostiste srce pravednika, koje ja ražalostiti ne htjedoh, a okrijepiste ruke bezbožnika da se ne obrati od zla puta bezbožničkog pa da život spasi.
Kwa sababu mliwavunja moyo wenye haki kwa uongo wenu, wakati mimi sikuwaletea huzuni na kwa kuwa mliwatia moyo waovu ili wasiziache njia zao mbaya na hivyo kuokoa maisha yao,
23 Zato nećete više vidjeti isprazno niti ćete laž proricati: ja ću osloboditi narod svoj iz vaših ruku. I znat ćete da sam ja Jahve!'”
kwa hiyo hamtaona tena maono ya uongo wala kufanya ubashiri. Nitawaokoa watu wangu kutoka mikononi mwenu. Nanyi ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.’”