< Estera 7 >

1 Kralj i Haman dođoše na gozbu kraljici Esteri.
Basi mfalme na Hamani wakaenda kula chakula pamoja na Malkia Esta.
2 I toga drugoga dana, dok se pilo vino, reče kralj Esteri: "Koja ti je molba, kraljice Estero? Bit će ti udovoljena! Koja je tvoja želja? Ako je i pola kraljevstva, bit će ti!"
Walipokuwa wakinywa mvinyo katika siku ya pili, mfalme akauliza tena, “Malkia Esta, ni nini haja yako? Utapewa. Ombi lako ni nini? Hata nusu ya ufalme, utapewa.”
3 Kraljica Estera odgovori: "Ako sam, kralju, našla milost u tvojim očima i ako ti je s voljom, neka mi se u ime molbe pokloni život, a u ime želje moj narod!
Kisha Malkia Esta akajibu, “Kama nimepata kibali kwako, ee mfalme, tena kama inapendeza utukufu wako, nijalie maisha yangu, hii ndiyo haja yangu. Pia uokoe watu wangu, hili ndilo ombi langu.
4 Jer smo ja i narod moj predani za zator, klanje, uništenje. Da smo predani u roblje, šutjela bih jer nevolja ne bi bila štetna po kralja."
Kwa kuwa mimi na watu wangu tumeuzwa kwa kuangamizwa, kuchinjwa na kuharibiwa. Kama tungalikuwa tumeuzwa tu kuwa watumwa wa kiume na wa kike, ningalinyamaza kimya, kwa sababu shida kama hii isingalitosha kumsumbua mfalme.”
5 Ali kralj Ahasver upade kraljici Esteri u riječ pa je upita: "Tko je taj? Gdje je taj koji je namislio takvo što učiniti?" Estera tada odgovori: "Progonitelj i neprijatelj jest Haman, ovaj zlikovac!"
Mfalme Ahasuero akamuuliza Malkia Esta, “Ni nani huyu? Yuko wapi mtu huyu aliyethubutu kufanya jambo kama hili?”
6 Haman se zaprepasti pred kraljem i kraljicom.
Esta akasema, “Mtesi na adui ni huyu mwovu Hamani.” Hamani alifadhaika mbele ya mfalme na malkia.
7 Kralj, gnjevan, ostavi vino te ode u vrt palače. Haman osta uz kraljicu da je moli za svoj život, jer je uvidio da je njegova nesreća pred kraljem gotova.
Mfalme akainuka kwa ghadhabu, akaacha mvinyo wake, akaenda kwenye bustani ya jumba la kifalme. Lakini Hamani, akitambua kwamba mfalme ameshaamua hatima yake, alibaki nyuma kumsihi Malkia Esta aokoe maisha yake.
8 Kralj se vrati iz vrta u dvoranu gdje se pilo vino. Dotle Haman bijaše pao na počivaljku na kojoj se nalazila Estera. "Pokušavaš još i nasilje nad kraljicom, i to u mome vlastitom domu?" - povika kralj. Tek što su te riječi izletjele iz kraljevih usta, pokriše lice Hamanu.
Mara mfalme aliporudi kutoka bustani ya jumba la kifalme na kuja kwenye ukumbi wa karamu, Hamani alikuwa akijitupa juu ya kiti mahali ambapo Esta alikuwa akiegemea. Mfalme akasema kwa nguvu, “Je, atamdhalilisha malkia hata huku nyumbani akiwa pamoja nami!” Mara neno lilipotoka kinywani mwa mfalme, walifunika uso wa Hamani.
9 Tada kaza Harbona, jedan od dvorana koji su stajali u službi kraljevoj: "Eno i vješala što ih je Haman pripravio za Mordokaja koji je govorio u korist kraljevu. Nalaze se kraj Hamanove kuće i visoka su pedeset lakata." Kralj zapovjedi: "Objesite ga na njih!"
Kisha Harbona, mmoja wa matowashi wanaomtumikia mfalme, akasema, “Mahali pa kuangika watu penye urefu wa mita ishirini na mbili pako nyumbani mwa Hamani. Alikuwa amepatengeneza kwa ajili ya Mordekai, ambaye alizungumza ili kumsaidia mfalme.” Mfalme akasema, “Mwangikeni juu yake!”
10 Hamana objesiše na vješala koja bijaše pripravio Mordokaju, i kraljeva se srdžba utiša.
Kwa hiyo wakamtundika Hamani mahali alipokuwa ameandaa kwa ajili ya Mordekai. Ndipo ghadhabu ya mfalme ikatulia.

< Estera 7 >