< Estera 10 >
1 Kralj Ahasver udari danak na zemlju i na otoke morske.
Mfalme Ahasuero alitoza ushuru katika ufalme wake wote hadi kwenye miambao yake ya mbali.
2 Sva djela njegove moći i hrabrosti, a tako i izvještaj o uzdignuću Mordokaja koga je kralj uzvisio, zapisani su u Ljetopisima kraljeva Medije i Perzije:
Matendo yake yote ya nguvu na uwezo, pamoja na habari zote za ukuu wa Mordekai ambao mfalme alikuwa amemkuza, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Umedi na Uajemi?
3 kako je Židov Mordokaj bio prvi iza kralja Ahasvera, velik u očima Židova, voljen od mnoštva svoje subraće kao pobornik blagostanja svoga naroda i glasnik mira za svoj rod.
Mordekai Myahudi alikuwa wa pili kwa cheo kutoka Mfalme Ahasuero, naye alikuwa bora kabisa miongoni mwa Wayahudi, akipandishwa katika heshima ya juu na ndugu zake Wayahudi kwa sababu aliwatendea mema watu wake, na alizungumza kwa ajili ya ustawi wa Wayahudi wote.