< Amos 8 >

1 Evo što mi pokaza Jahve Gospod: gle, kotarica zrela ploda:
Hiki ndicho ambacho bwana Yahwe amenionyesha. Tazama, kikapu cha matunda ya hari!
2 “Što vidiš, Amose?” - upita me. “Kotaricu zrela ploda”, rekoh. Tada mi Jahve reče: “Moj narod izraelski dozreo je za propast; neću ga više štedjeti.
Akasema, “Unaona nini, Amosi?” Nikasema, “Kikapu cha matunda ya hari.” Kisha Yahwe akanambia, “Mwisho umefika kwa watu wangu Israeli; sintowaumiza tena.
3 I hramske će pjevačice jaukati toga dana - riječ je Jahve Gospoda - bit će mnoštvo trupla, svuda će se bacati.”
Nyimbo za kwenye hekalu zitakuwa vilio. Katika siku hiyo-hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe. Mizoga itakuwa mingi, katika kila sehemu wataitupa katika ukimya!”
4 Slušajte ovo, vi što gazite potrebnika i satirete uboge u zemlji!
Lisikilizeni hili, ninyi mkanyagao maskini na kumuondoa fukara wa nchi.
5 Kažete: “Kad li će mlađak proći, da prodamo žito, i subota, da tržimo pšenicu. Smanjujuć' efu, povećavajući šekel, da varamo krivim mjerama:
wakisema, “Wakati mwezi mpya utakapoisha, hivyo tunaweza kuuza mazao tena? Wakati siku ya Sabato itakapoisha, ili kwamba tuuze ngano? Tutafanya kipimo kidogo na kuongeza bei, tukidanganya kwa mizani za udanganyifu.
6 da kupimo siromaha za novac, potrebita za sandale, i da prodajemo otražak od žita.
Hivi ndivyo ambavyo tunaweza kuuza ngano mbaya, kununua fukara kwa fedha, na masikini kwa jozi moja ya kubadhi.”
7 Zakle se Jahve Ponosom Jakovljevim: “Dovijeka neću zaboraviti nijednoga vašeg djela.”
Yahwe ameapa kwa fahari ya Yakobo, “Hakika sintoweza kusahau kazi zao hata moja.”
8 Neće l' se od toga zemlja potresti, protužiti svi njeni stanovnici, neće li se sva podići kao Nil, spustiti kao Rijeka egipatska?
Je nchi haitatetemeka kwa hili, na kila mmoja aishiye kuombolezea? Yote hayo yatainuka kama Mto Naili, nayo itataabika juu na kupwa tena, kama mto wa Misri.
9 “Toga ću dana - riječ je Jahve Gospoda - učiniti da sunce zapadne u podne, i pomračit ću zemlju u po bijela dana.
“Itakuja siku ambayo -huu ndio usemi wa Bwana Yahwe- kwamba nitafanya jua litue wakati wa mchana, na nitaiweka giza dunia wakati wa mchana.
10 Okrenut ću svetkovine vaše u kuknjavu i sve vaše pjevanje u tužaljku; obući ću u kostrijet svako bedro, oćelavit ću svaku glavu. Bit će kao kad se tuži za jedincem, i što ostane, bit će kao dan gorčine.”
Nitazigeuza sikukuu zenu kuwa maombolezo na nyimbo zenu zote kuwa masikitiko. Nitawafanya wote kuvaa nguo za magunia na kipara juu ya kila kichwa. Nitayafanya haya kama maombolezo kwa mwana pekee, na siku ya uchungu mwisho wake.
11 “Evo, dani dolaze - riječ je Jahve Gospoda - kad ću poslati glad na zemlju, ne glad kruha ni žeđ vode, već slušanja riječi Jahvine.
Tazama, siku zinakuja -asema Bwana Yahwe- wakati nitakapoleta njaa katika nchi, sio njaa ya mkate, wala kiu ya maji, ila kusikia maneno ya Yahwe.
12 Tumarat će od mora do mora, od sjevera do istoka potucati se ištući riječ Jahvinu, ali je neće naći.
watatangatanga kutoka bahari hata bahari; watakimbia kutoka kaskazini kwenda magharibi kutafuta neno la Yahwe, lakini hawatalipata.
13 U onaj će dan obamirati od žeđi lijepe djevojke i mladići.
Katika siku hiyo wanawali wazuri na wavulana watazimia kutokana na njaa.
14 Koji se kunu Grijehom samarijskim i zaklinju se: 'Tako živ bio bog tvoj, Dane!' i: 'Tako živ bio Ljubimac tvoj, Beer Šebo!' oni će pasti i nikad ustati neće.”
Wale waapao kwa dhambi ya Samaria wataanguka na hawatainuka tena.”

< Amos 8 >