< 2 Samuelova 13 >

1 A potom se dogodi ovo: Davidov sin Abšalom imao je lijepu sestru po imenu Tamaru i u nju se zaljubio Davidov sin Amnon.
Ikawa baada ya hayo kwamba Amnoni mwana wa Daudi, akamtamani sana Tamari dada yake wa kambo aliyekuwa mzuri, alikuwa tumbo moja na Absalome, mwana wingine wa Daudi.
2 Amnon se toliko mučio da se gotovo razbolio radi svoje sestre Tamare: jer ona bijaše djevica, pa Amnon nije vidio mogućnosti da joj učini bilo što.
Amnoni akasononeka sana kiasi cha kuugua kwa ajili ya Tamari dada yake. Tamari alikuwa bikra, na hivyo ilionekana haiwezekani Amnoni kufanya neno lolote kwake.
3 Ali imaše Amnon prijatelja po imenu Jonadaba, sina Davidova brata Šimeja; a Jonadab bijaše vrlo domišljat.
Lakini Amnoni alikuwa na rafiki jina lake Yehonadabu mwana wa Shama, nduguye Daudi.
4 I upita on Amnona: “Odakle to, kraljev sine, da si svako jutro mlitav? Ne bi li mi kazao?” A Amnon mu odgovori: “Zaljubljen sam u Tamaru, sestru svoga brata Abšaloma.”
Yehonadabu alikuwa mtu mwelevu sana. Akamwambia Amnoni, “Kwa nini, mwana wa mfalme, unadhoofika kila siku? Kwa nini uniambii? Ndipo Amnoni akamjibu, “Nampenda Tamari, dada yake Absalome ndugu yangu.”
5 A Jonadab mu reče: “Lezi u postelju i pričini se bolestan, pa kad dođe tvoj otac da te pohodi, ti mu reci: 'Dopusti da dođe moja sestra Tamara da mi dade jesti; ako ona pred mojim očima zgotovi jelo da to vidim, onda ću iz njezine ruke jesti.'”
Ndipo Yehonadabu akamwambia, “Lala kitandani mwako na ujifanye kuwa mgonjwa. Wakati baba yako atakapo kuja kukuona, mwambie, Tafadhari mtume dada yangu Tamari aandaye chakula mbele yangu, ili kwamba nikione na kula kutoka mkononi mwake?”
6 Amnon, dakle, leže i pričini se bolestan. Kad je došao kralj da ga pohodi, reče Amnon kralju: “Dopusti da dođe moja sestra Tamara da pred mojim očima zgotovi koji kolač i ja ću se okrijepiti iz njezine ruke.”
Hivyo Amnoni akalala na kujifanya kuwa mgonjwa. Mfalme alipokuja kumwona, Amnoni akamwambia mfalme, “Tafadhari mtume Tamari dada yangu aandaye chakula kwa ajili ya ugonjwa wangu mbele yangu ili kwamba nikile kutoka mkononi mwake.
7 Tada David poruči Tamari u palaču: “Idi u kuću svoga brata Amnona i priredi mu jelo!”
Ndipo Daudi katika kasri lake akatuma neno kwa Tamari, kusema, “Nenda katika nyumba ya nduguyo Amnoni na umwandalie chakula. Hivyo
8 Tamara ode u kuću svoga brata Amnona. A on ležaše. Uze ona brašna, umijesi ga, načini kolače pred njegovim očima te ih ispeče.
Tamari akaenda katika nyumba ya Amnoni nduguye alipokuwa amelala. Akachukua donge na kulifinyanga na kuandaa mkate mbele zake, kisha akauoka.
9 Potom uze tavu i istrese je preda nj, ali Amnon ne htjede jesti nego reče: “Otpremite sve odavde!” I svi iziđoše od njega.
Akachukua kikaangio na kumpa mkate, lakini akakataa kula. Kisha Amnoni akawambia waliokuwepo, “Kila mtu na aondoke.” Hivyo kila mmoja akaondoka.
10 Tada Amnon reče Tamari: “Donesi mi jelo u spavaonicu da se okrijepim iz tvoje ruke!” I Tamara uze kolače koje bijaše zgotovila i donese ih svome bratu Amnonu u spavaonicu.
Amnoni akamwambia Tamari, “Lete chakula chumbani kwangu nikile katika mkono wako.” Tamari akachukua mkate aliokuwa ameuandaa, na kuuleta katika chumba cha Amnoni kaka yake.
11 A kad mu je pružila da jede, on je uhvati rukom i reče joj: “Dođi, sestro moja, lezi sa mnom!”
Alipoleta chakula kwake, Amnoni akamshikilia na kumwambia, “Njoo, ulale nami, dada yangu.”
12 A ona mu reče: “Nemoj, brate moj! Ne sramoti me jer se tako ne radi u Izraelu. Ne čini takve sramote!
Yeye akamjibu, “Hapana, kaka yangu, usinilazimishe, kwani hakuna jambo kama hili linapaswa kufanyika katika Israeli. Usifanye jambo la aibu kiasi hiki!
13 Kuda bih ja sa svojom sramotom? A i ti bi bio kao bestidnik u Izraelu! Nego govori s kraljem: on me neće uskratiti tebi!”
Nitakwenda wapi ili nijiepushe na aibu ambayo jambo hili litaileta juu ya maisha yangu? Na tendo hili litakuonesha kuwa mpumbavu usiye na aibu katika Israeli yote. Tafadhari, ninakuomba uongee na mfalme. Yeye atakuruhusu unioe.”
14 Ali je on ne htjede poslušati, nego je svlada i leže s njom.
Lakini Amnoni hakuweza kumsikiliza. Kwa kuwa alikuwa zaidi akamkamata na akalala naye.
15 Nato je odmah zamrzi silnom mržnjom te je mržnja kojom ju je zamrzio bila veća od ljubavi kojom ju je prije ljubio. I reče joj Amnon: “Ustani! Odlazi!”
Kisha Amnoni akamchukia Tamari kwa chuki kuu. Akamchukia zaidi ya jinsi alivyokuwa amemtamani. Amnoni akamwambia, “Inuka na uondoke.”
16 A ona mu odvrati: “Ne, brate moj! Ako me sad otjeraš, bit će to veće zlo od onoga koje si mi učinio!” Ali je on ne htjede slušati,
Lakini yeye akamjibu, “Hapana! kwa maana uovu wa kunifanya ni uondoke ni mbaya zaidi ya kile ulichonitenda!” Lakini Amnoni hakumsikiliza.
17 nego dozva momka koji ga je služio i zapovjedi mu: “Otjeraj ovu od mene, izbaci je i zaključaj vrata za njom!”
Badala yake, akamwita mtumishi wake na akasema, “Mwondoe mwanamke huyu mbele yangu, na uufunge mlango nyuma yake.”
18 (A ona je imala na sebi haljinu s dugim rukavima, jer su se nekoć u takve haljine oblačile kraljeve kćeri dok su bile djevojke.) Sluga je izvede van i zaključa vrata za njom.
Hivyo mtumishi wake akamtoa na kufunga mlango. Tamari alikuwa amevaa vazi lilinakishiwa kwani ndivyo binti za wafalme waliobikra valivyokuwa wakivaa.
19 Tada Tamara uze prašine i posu se njom po glavi, razdrije haljinu s dugim rukavima koju je imala na sebi, stavi ruku na glavu i ode vičući glasno dok je išla.
Tamari akaweka majivu juu ya kichwa chake na akalirarua vazi lake
20 A njezin je brat Abšalom upita: “Je li možda tvoj brat Amnon bio s tobom? Ali sada, sestro moja, šuti: brat ti je! Ne uzimaj to k srcu!” Tako je Tamara ostala osamljena u kući svoga brata Abšaloma.
Absalome, kaka yake, akamwambia, “Amnoni, kaka yako, amekuwa nawe? Lakini sasa nyamaza, dada yangu. Yeye ni kaka yako. Usiliweke hili moyoni.” Hivyo Tamari akakaa peke yake katika nyumba ya Absalomu kaka yake.
21 Kad je kralj David čuo sve što se dogodilo, vrlo se razgnjevi, ali ne htjede žalostiti svoga sina Amnona, koga je ljubio jer mu bijaše prvorođenac.
Mfalme Daudi aliposikia haya yote, alikasirika sana.
22 A Abšalom ne reče Amnonu ni riječi, ni zle ni dobre, jer je Abšalom zamrzio Amnona što mu osramoti sestru Tamaru.
Absalome hakusema chochote kwa Amnoni, kwa maana Absalome alimchukia kwa kile alichokifanya, kumdhalilisha Tamari, dada yake.
23 A poslije dvije godine imao je Abšalom striženje ovaca u Baal Hasoru kod Efrajima; i Abšalom pozva svu kraljevu obitelj.
Ikawa baada ya miaka miwili mizima Absalomu akawa na wakatao kondoo manyoya wakifanya kazi huko Baali Hazori, ulioko karibu na Efraim, naye Absalomu akawaarika wana wote wa mfalme kufika huko.
24 Abšalom dođe kralju i reče mu: “Evo, tvoj sluga ima striženje ovaca, pa neka se kralj i njegovi dvorani udostoje doći svome sluzi.”
Absalomu akamwendea mfalme na kusema, “Tazama sasa, mtumishi wako anao wakatao kondoo manyoya. Tafadhari, naomba mfalme na watumishi wake waende nami, mtumishi wako.”
25 Ali kralj odgovori Abšalomu: “Ne, sine, nećemo doći svi, da ti ne budemo na teret.” Abšalom ustraja, ali kralj ne htjede ići, nego ga blagoslovi i otpusti.
Mfalme akamjibu Absalomu, “hapana mwanangu, tusiende sisi yote kwani tutakuwa mzigo kwako.” Absalomu akamhakikishia mfalme, lakini yeye asikubali kwenda, ila alimbariki Absalomu.
26 Ali Abšalom nastavi: “Ako ti nećeš, dopusti da bar moj brat Amnon pođe s nama.” A kralj ga upita: “Zašto da ide s tobom?”
Kisha Absalomu akasema, “kama sivyo, basi tafadhari mwache ndugu yangu Amnoni aende nasi.” Mfalme akamuliza, “Kwa nini Amnoni aende nanyi?”
27 Ali je Abšalom i dalje navaljivao te David naposljetku pusti s njim Amnona i sve kraljeve sinove. Abšalom priredi kraljevsku gozbu
Absalomu akamsihi Daudi, hivyo akamruhusu Amnoni na wana wengine wa mfalme kwenda naye.
28 i zapovjedi svojim slugama ovako: “Pazite! Kad se Amnonu razveseli srce od vina i ja vam viknem: 'Ubijte Amnona!' tada ga pogubite! Ne bojte se, jer vam tako zapovijedam! Ohrabrite se i pokažite se junaci!”
Absalomu akawaamuru watumishi wake kusema, “Sikilizeni kwa makini. Amnoni atakapokuwa amelewa mvinyo, na nitakapowambia, 'Mpigeni Amnoni,' msiogope mwueni. Je siyo mimi niliyewamru? Mwe jasiri na hodari.”
29 I Abšalomove sluge učiniše s Amnonom kako im zapovjedi Abšalom. Tada skočiše svi kraljevi sinovi, pojahaše svaki svoju mazgu i pobjegoše.
Hivyo watumishi wa Absalome wakamtendea Amnoni kama walivyoamriwa. Kisha wana wote wa mfalme wakainuka na kila mmoja akapanda nyumbu wake akakimbia.
30 Dok su oni još bili na putu, dođe ovakva vijest Davidu: “Abšalom je pobio sve kraljeve sinove, nije ostao od njih ni jedan jedini.”
Hata ikawa wakati wakiwa njiani habari zikafika kwa Daudi kusema, “Absalomu ameua wana wote wa mfalme na hakuna hata mmoja aliyesalia.”
31 Kralj ustade, razdrije svoje haljine i baci se na zemlju; i svi njegovi dvorani koji stajahu oko njega razdriješe svoje haljine.
Kisha mfalme akainuka na kurarua mavazi yake na kujilaza juu ya sakafu; watumishi wake wote wakasimama karibu naye mavazi yao yameraruriwa.
32 Ali Jonadab, sin Davidova brata Šimeja, progovori ovako: “Neka ne govori moj gospodar da su pobili sve mladiće, kraljeve sinove, jer je poginuo samo Amnon: na Abšalomovu licu mogla se predviđati nesreća od onoga dana kad je Amnon osramotio njegovu sestru Tamaru.
Yehonadabu mwana wa Shama, nduguye Daudi, akajibu na kusema, “Bwana wangu asidhani kuwa vijana wote ambao ni wana wa mfalme wameuawa, kwa maana ni Amnoni pekee ndiye aliyeuawa. Absalomu alilipanga jambo hili tangu siku ile Amnoni alivyomwaribu Tamari, dada yake.
33 Zato neka sada moj gospodar i kralj ne misli u srcu da su svi kraljevi sinovi poginuli. Poginuo je samo Amnon,
Kwa hiyo basi, bwana wangu mfalme asiiweke taarifa hii moyoni, kudhani kwamba wana wote wa mfalme wameuawa, kwani aliyeuawa ni Amnoni peke yake.”
34 a Abšalom je pobjegao.” A momak koji bijaše na straži podiže oči i ugleda mnoštvo naroda gdje silazi cestom od Horonajima. Stražar dođe i javi kralju: “Vidio sam ljude gdje silaze cestom od Horonajima po gorskom obronku.”
Absalomu akakimbia. Mtumishi aliyekuwa akiangalia akainua macho yake na kuona watu wengi wakija njiani kando ya kilima upande wake wa magharibi.
35 Tada Jonadab reče kralju: “Evo stigoše kraljevi sinovi! Dogodilo se kako je rekao tvoj sluga.”
Kisha Yehonadabu akamwambia mfalme, “Tazama, wana wa mfalme wanakuja. kama mtumishi wako alivyosema.”
36 Tek što je to izrekao, a to kraljevi sinovi uđoše i zaplakaše u sav glas; a i kralj i svi njegovi dvorani plakahu.
Ikawa mara alipomaliza kusema wana wa mfalme wakafika, wakainua sauti zao na kulia. Na mfalme pamoja na watumishi wake wote pia wakalia kwa uchungu.
37 Abšalom pak bijaše pobjegao i otišao k Talmaju, sinu Amihudovu, gešurskom kralju. A David tugovaše za svojim sinom bez prestanka.
Lakini Absalomu akakimbia na kwenda kwa Talmai mwana wa Amihudi, mfalme wa Geshuri. Mfalme akaomboleza kila siku kwa ajili ya mwanaye.
38 A pošto je Abšalom pobjegao i otišao u Gešur, ostao je ondje tri godine.
Hivyo Absalomu akakimbia na kwenda Geshuri na akakaa huko kwa miaka mitatu.
39 Kralj David prestao se srditi na Abšaloma jer se utješio zbog smrti Amnonove.
Moyo wa mfalme Daudi ukatamani kwenda kumwona Absalomu, kwa maana alikuwa amefarijika kwa habari ya kifo cha Amnoni.

< 2 Samuelova 13 >