< 1 Samuelova 13 >
1 Šaulu je bilo ... godina kad je postao kralj, a kraljevao je ... i dvije godine nad Izraelom.
Sauli alikwa na umri wa miaka [thelathini] alipoanza kutawala; alipokuwa ametawala Israeli kwa miaka [arobaini],
2 Šaul izabra sebi tri tisuće Izraelaca: dvije tisuće od njih bijahu sa Šaulom u Mikmasu i u Betelskoj gori, a jedna tisuća bijaše s Jonatanom u Benjaminovoj Gebi. Ostali je narod Šaul otpustio svakoga u njegov šator.
aliwachagua wanaume elfu tatu wa Israeli. Elfu mbili walikuwa pamoja naye huko Mikmashi na katika nchi ya milima ya Betheli, wakati huo wale elfu moja walikuwa pamoja na Yonathani katika Gibea ya Benyamini. Askari waliobaki aliwarudisha nyumbani, kila mtu hemani kwake.
3 Jonatan sruši filistejski stup koji je stajao u Gibei i Filistejci saznaše da su se Hebreji pobunili. Šaul zapovjedi te zatrubiše u rog po svoj zemlji
Yonathani akaishinda ngome ya jeshi la Wafilisti iliyokuwa Geba na Wafilisti wakasikia habari hiyo. Baadaye Sauli alipiga tarumbeta katika nchi yote, akisema, “Sikieni enyi Waebrania.”
4 i sav Izrael doznade novost: “Šaul je srušio filistejski stup, Izrael se omrazio Filistejcima!” I narod se poče skupljati oko Šaula u Gilgalu.
Israeli yote imesikia kwamba Sauli ameipiga ngome ya Wafilisti, na pia kwamba Israeli imekuwa uvundo kwa Wafilisti. Ndipo askari wakaitwa kwa pamoja kuungana na Sauli huko Gilgali.
5 A Filistejci se skupiše da vojuju na Izraela: tri tisuće bojnih kola, šest tisuća konja, a mnoštvo naroda kao pijeska na morskoj obali. I utaboriše se kod Mikmasa, istočno od Bet Avena.
Wafilisti walijikusanya pamoja kupigana dhidi ya Waisraeli: magari elfu tatu, watu elfu sita wakuendesha magari, na majeshi mengi kama mchanga ufukoni mwa bahari. Wakapanda na kupiga kambi huko Mikimashi, mashariki mwa Beth aveni.
6 Kad su Izraelci vidjeli da su u nevolji i da je narod pritisnut od neprijatelja, posakrivaše se u pećine, jame, kamenjake, jarke i čatrnje.
Watu wa Israeli walipoona kuwa wapo katika matatizo -kwa maana watu walikata tamaa, wakajificha kwenye mapango, kwenye vichaka, kwenye miamba, kwenye visima na katika mashimo.
7 Neki su prešli i preko gazova Jordana u zemlju Gadovu i Gileadovu. Šaul je još bio u Gilgalu, a sav je narod oko njega drhtao od straha.
Baadhi ya Waebrania walipanda kwenda Yordani katika nchi ya Gadi na Gileadi. Lakini Sauli alibaki Gilgali, na watu waliomfuata wakitetemeka.
8 On pričeka sedam dana kako mu je odredio Samuel; ali kad Samuel nije došao u Gilgal, narod se stade razilaziti od Šaula.
Alisubiri kwa siku saba, muda uliopangwa na Samweli. Lakini Samweli hakufika huko Gilgali, na watu wakatawanyika mbali na Sauli.
9 Tada reče Šaul: “Donesite mi žrtvu paljenicu i žrtve pričesnice!” I prinese žrtvu paljenicu.
Sauli akasema, “Nileteeni sadaka ya kuteketezwa na sdaka ya amani.” Kisha akatoa sadaka ya kuteketezwa.
10 I upravo je završavao žrtvu paljenicu, kad eto Samuela; Šaul mu iziđe u susret da ga pozdravi.
Mara tu alipomaliza kutoa sadaka ya kuteketezwa Samweli akawasili. Sauli akatoka nje wakutane na kumsalimia.
11 Samuel ga upita: “Što si učinio?” A Šaul odgovori: “Kad sam vidio da se narod razilazi od mene, a ti da ne dolaziš do određenoga dana, a Filistejci se skupili u Mikmasu,
Basi Samweli akasema, “Umefanya nini?” Sauli akajibu, “Nilipoona kwamba watu wanaiacha, na kwamba umechelewa hukufika kwa muda uliopangwa, na kwamba Wafilisti wamekwisha jikusanya huko Mikmashi,
12 pomislio sam: sad će udariti Filistejci na me u Gilgalu, a ja neću stići molitvom ublažiti Jahvu! Zato se odvažih i prinesoh žrtvu paljenicu.”
nikasema, 'Sasa Wafilisti watashuka dhidi yangu huko Gilgali, na sijaomba kibali cha BWANA.' Kwa hiyo nikajilazimisha mwenyewe kutoa sadaka ya kuteketezwa.”.
13 Samuel tada reče Šaulu: “Ludo si radio! Da si održao zapovijed koju ti je dao Jahve, tvoj Bog, Jahve bi učvrstio tvoje kraljevstvo nad Izraelom dovijeka.
Ndipo Samweli akamwambia Sauli, “Umetenda mambo ya kipumbavu. Hukuheshimu amri ya BWANA Mungu wako aliyokupatia. Kwa maana BWANA angeutengeneza utawala wako juu ya Israeli milele.
14 A sada se tvoje kraljevstvo neće trajno održati: Jahve je potražio sebi čovjeka po svom srcu i odredio ga za kneza nad svojim narodom, jer ti nisi održao što ti je Jahve zapovjedio.”
Lakini sasa utawala wako hautaendelea. BWANA ametafuta mtu anayekubaliwa na moyo wake, kwa sababu wewe hukutii alichokuamuru.”
15 Nato Samuel ustade i ode iz Gilgala svojim putem. Što je naroda ostalo, pođe za Šaulom u susret ratnicima. Kad su došli iz Gilgala u Gebu Benjaminovu, Šaul pobroji narod koji je ostao uza nj i bijaše ga oko šest stotina ljudi.
Ndipo Samweli akasimama akapanda kutoka Gilgali hadi Gibea ya Benyamini. Basi Sauli akawahesabu watu waliokuwapo pamoja naye, idadi yao ilikuwa kama watu mia sita.
16 Šaul i sin mu Jonatan s ljudima što bijahu s njima zaposjeli su Benjaminovu Gebu, a Filistejci se utaborili u Mikmasu.
Sauli, mtoto wake Yonathani, na watu waliokuwa pamoja nao, wakabaki Geba ya Benyamimni. Lakini Wafilisti wakapiga kambi huko Mikmashi.
17 Tada iz filistejskog tabora izađe četa pljačkaša u tri odjela: jedan odio udari prema Ofri u zemlju šualsku;
Wateka nyara makundi matatu wakaja kutoka kambi ya Wafilisti. Kundi moja likapinda kuelekea Ofra, hadi nchi ya Shuali.
18 drugi odio krenu prema Bet Horonu, a treći odio udari prema Gebi koja se uz Dolinu hijena diže nad pustinjom.
Kundi jingine likageuka kuelekea Bethholoni, na kundi jingine likaelekea katika mpaka kulikabili bonde la Seboimu kuelekea jangwani.
19 A po svoj zemlji Izraelovoj nije bilo kovača, jer su Filistejci rekli: “Treba sve učiniti da Hebreji ne bi pravili sebi mačeva i kopalja.”
Hakuna hata mhunzi aliyeonekana katika nchi yote ya Israeli, kwa sababu Wafilisti walisema, “Waebrania wasije wakajitengenezea mapanga au mikuki.”
20 Zato su svi Izraelci išli k Filistejcima ako je tko htio da prekuje svoj raonik ili motiku, svoju sjekiru ili ostan za volove.
Lakini Waisraeli wote huwa wakiteremka kwa Wafilisti, kila mtu kunoa jembe lake, sululu yake, shoka lake na mundu wake.
21 A cijena je bila dvije trećine šekela za raonike i motike, jedna trećina za oštrenje sjekire i za nasađivanje ostana.
Gharama za kunoa ncha za majembe, sululu, mashoka na kunyoosha michokoo ilikuwa theluthi moja ya shekeli.
22 Tako se dogodilo da na dan bitke kod Mikmasa nitko od svega naroda koji bijaše sa Šaulom i Jonatanom nije imao ni mača ni koplja u ruci; samo ih imahu Šaul i njegov sin Jonatan.
Hivyo siku ya vita, hakukuwa na mapanga au mikuki iliyoonekana katika mikono yoyote ya askali waliokuwa na Sauli na Yonathani; Ni Sauli na mtoto wake tu ndio walikuwa nazo.
23 A dotle jedna straža filistejska bijaše izišla prema klancu kod Mikmasa.
Vikosi vya Wafilisti wakatokeza katika nija ya Mikmashi.