< 1 Kraljevima 6 >
1 Četiri stotine i osamdesete godine poslije izlaska Izraelaca iz zemlje egipatske, četvrte godine kraljevanja svoga nad Izraelom, mjeseca Ziva - to je drugi mjesec - počeo je Salomon graditi Dom Jahvin.
Kwa hiyo Sulemani akaanza kulijenga hekalu. Hii ilikuwa mwaka wa 480 baada ya wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri, katika mwaka wa nne wa utawala wa Sulemani huko Israeli, katika mwezi wa Ziv, ambao ndio mwezi wa pili.
2 Hram što ga je kralj Salomon gradio Jahvi bio je dug šezdeset lakata, širok dvadeset, a visok dvadeset i pet lakata.
Hekalu ambalo mfalme Sulemani alimjengea BWANA lilikuwa na urefu wa mita 27, na upana wa mita 9, na kimo cha mita 13. 5.
3 Trijem pred Hekalom Hrama bio je dvadeset lakata dug, prema širini Hrama, a deset lakata širok, prema dužini Hrama.
Na ukumbi uliokuwa mbele ya hekalu ulikuwa na urefu wa mita 9 na upana wa mita 4. 5 sawa na upana wa sehemu kuu ya hekalu.
4 Na Hramu je napravio prozore zatvorene rešetkama.
Lile hekalu alilitengenezea madirisha ambayo fremu zake kwa nje yalifanya yaonekane membamba kuliko ile sehemu ya ndani.
5 Uza zid Hrama oko Hekala i Debira sagradio je prigradnju na katove, sve unaokolo.
Na ukuta wa nyumba aliuzungushia vyumba kuzunguka pande zake, kushikamana na vyumba vya nje na vya ndani ya hekalu. Akajenga vyumba katika pande zote.
6 Donji kat bio je pet lakata širok, srednji šest, a treći sedam lakata, jer je zasjeke rasporedio s vanjske strane naokolo Hrama da ih ne bi morao ugrađivati u hramske zidove.
Kile chumba cha chini kilikuwa na upana wa mita 2. 3, kile cha kati kilikuwa na upana wa mita 2. 8. na kile cha tatu kilikuwa na upana wa mita 3. 2. upande wa nje akaupunguza ukuta wa nyumba pande zote, ili boriti zisishikamane ukutani mwa nyumba.
7 Hram je građen od kamena koji je već u kamenolomu bio oklesan, tako da se za gradnje nije čuo ni čekić ni dlijeto, ni ikakvo željezno oruđe.
Hekalu lilijengwa kwa mawe yaliyokuwa yamechongwa chimboni. Hakuna nyundo, wala shoka au chombo chochote cha chuma kilisikika wakati hekalu lilipokuwa likjengwa.
8 Ulaz u donji kat bio je s desne strane Hrama, a zavojnim se stubama uspinjalo na srednji kat i sa srednjega na treći.
Upande wa kusini wa hekalu kulikuwa na lango la chini, ambalo mtu hupanda kwa madaraja mpaka juu kwenye chumba cha kati, na kutoka chumba cha kati hadi chumba cha tatu.
9 Sagradio je tako Hram i dovršio ga; i pokrio ga cedrovim gredama i daskama.
Kwa hiyo Sulemani akalijenga hekalu mpaka akalimaliza, akalifunika hekalu kwa boriti na mbao za mwerezi.
10 I sagradi još prigradnju oko cijeloga Hrama; bila je pet lakata visoka, a vezana s Hramom cedrovim gredama.
Akajenga vyumba vya pembeni mwa hekalu, kila upande mita 2. 3 kwenda juu. Navyo vikaunganishwa na hekalu kwa mbao za mierezi.
11 I riječ Jahvina stiže Salomonu:
Neno la BWANA likamjia Sulemani, likisema,
12 “To je Dom što ga gradiš ... Ako budeš hodio prema naredbama mojim, ako budeš vršio naredbe moje i držao se mojih zapovijedi, tada ću ispuniti tebi obećanje što sam ga dao tvome ocu Davidu:
“Kuhusu hili hekalu ambalo unajenga, kama utatatembea katika maagizo yangu na kuhukumu kwa haki, na kutunza amri zangu na kuishi kwa hizo, ndipo ntakapozithibitisha ahadi zangu na wewe ambazo niliziahidi kwa baba yako Daudi.
13 prebivat ću među sinovima Izraelovim i neću ostaviti naroda svoga Izraela.”
Nitaishi kati ya watu wa Israeli nami sitawatupa.”
14 I tako Salomon sazida Hram i dovrši ga.
Kwa hiyo Sulemani akalijenga hekalu mpaka akalimaliza.
15 I obloži iznutra zidove Hrama cedrovim daskama - od poda do stropa obloži ih drvetom iznutra - a daskama čempresovim obloži pod Hrama.
Kisha akajenga kuta za ndani za hekalu kwa mbao za mwerezi. Kuanzia sakafu ya hekalu hadi boriti za juu, kwa ndani akazifunika kwa miti, na akaifunika sakafu kwa mbao za miberoshi.
16 I načini pregradu od dvadeset lakata, od cedrovih dasaka, s poda pod strop, i odijeli taj dio Hrama za Debir, za Svetinju nad svetinjama.
Alijenga mita 9 ndani ya hekalu kwa mbao za miberoshi kutoka sakafuni hadi juu. Hiki ni chumba cha ndani, cha patakatifu sana.
17 A Hekal - Svetište, dio Hrama ispred Debira - imaše četrdeset lakata.
Ule ukumbu mkuu, ulikuwa mahali pakatifu amabao ulikuwa mbele ya patakatifu sana, ulikuwa wa mita 18. hapo kulikwa na mbao za mwerezi ndani ya hekalu, zilizokuwa zimechongwa kwa sura ya vibuyu na maua yaliyochanua.
18 A po cedrovini unutar Hrama bijahu urezani ukrasi - pleteri od pupoljaka i cvijeća; sve je bilo od cedrovine i nigdje se nije vidio kamen.
Zote zilikuwa za mierezi kwa ndani. Hapakuonekana chochote ndani kilichokuwa kimetengenezwa kwa mawe.
19 Debir je uredio unutra u Hramu da onamo smjesti Kovčeg saveza Jahvina.
Sulemani alitengeneza kile chumba cha ndani kwa lengo la kuweka sanduku la agano la BWANA.
20 Debir bijaše dvadeset lakata dug, dvadeset lakata širok i dvadeset lakata visok, a obložio ga je čistim zlatom. Napravio je i Žrtvenik od cedrovine,
Kile chumba cha ndani kilikuwa na upana wa mita 9, na kimo cha mita 9. Sulemani alizifunika kuta kwa dhabahu na madhabahu aliifunika kwa mbao za mierezi.
21 pred Debirom, i obložio ga čistim zlatom.
Sulemani alifunika ndani ya hekalu kwa dhahabu safi na akaweka mikufu ya dhahabu iliyopita mbele ya chumba cha ndani, na kulifunika eneo la mbele kwa dhabahu.
22 I sav je Hram obložio zlatom, sav Hram i sav oltar koji je pred Debirom obložio je zlatom.
Akalisakafia kwa dhahabu eneo lote la ndani mpaka akamaliza hekalu lote. Pia akalisakafia kwa dhahabu madhahabu yote ya chumba cha ndani.
23 U Debiru načini dva kerubina od maslinova drveta. Bili su visoki deset lakata.
Sulemani akatengeneza makerubi mawili kwa mbao za mizeituni, kila moja lilikuwa na kimo cha mita 4. 5 kwa ajili ya chumba cha ndani.
24 Jedno je krilo u kerubina bilo pet lakata i drugo je krilo u kerubina bilo pet lakata; deset je lakata bilo od jednoga kraja krila do drugoga.
Bawa moja la kerubi wa kwanza lilikuwa na urefu wa mita 2. 3. Kwa hiyo kutoka ncha ya bawa moja hadi ncha ya bawa lingine kulikuwa na umbali wa mita 4. 5. Yule
25 I drugi je kerubin bio od deset lakata: jednaka mjera i jednak oblik obaju kerubina.
kerubi mwingine naye alikuwa na bawa lenye kipimo cha mita 4. 5 Makerubi hawa walikuwa wanafanana kwa umbo na kwa vipimo.
26 Visina jednog kerubina bila je deset lakata, tako i drugoga.
Kimo cha kerubi mmoja kilikuwa mita 4. 5 na yule wa pili alikuwa hivyo hivyo.
27 Smjestio je kerubine usred nutarnje prostorije; širili su svoja krila, tako da je krilo jednoga ticalo jedan zid, a krilo drugoga ticalo drugi zid; u sredini prostorije krila im se doticahu.
Sulemani aliwaweka hao kerubi kwenye chumba cha patakatifu sana. Bawa moja la kerubi lilikuwa limeenea kiasi kwamba bawa moja liligusa ukuta huu na bawa la yule wa pili nalo liligusa ukuta wa upande mwingine. Hayo mabawa yalikuwa yanakutana katikati ya chumba cha patakatifu sana.
28 I kerubine je obložio zlatom.
Sulemani aliwafunika hao kerubi kwa dhahabu.
29 Po svim zidovima Hrama unaokolo, iznutra i izvana, urezao je likove kerubina, palma i rastvorenih cvjetova,
Akazinakshi kuta zote kwa sura za makerubi, miti ya mitende, na maua yaliyochanua, kwa vyumba vya nje na vya ndani.
30 zlatom je pokrio i pod Hramu iznutra i izvana.
Sulemani akalisakafia hekalu kwa dhahabu, kwa vyumba vyote vya ndani na vya nje.
31 A za ulaz u Debir načini dvokrilna vrata od maslinova drveta; dovraci s pragom bijahu na pet uglova.
Sulemani akatengeneza milango ya mbao za mizeituni kwenye lango la kuingia ndani. Aliweka vizingiti na miimo kwenye pande tano.
32 Oba krila na vratima od maslinova drveta ukrasi likovima kerubina, palma i rastvorenih cvjetova, i sve ih obloži zlatom; listićima zlata oblijepi kerubine i palme.
Kwa hiyo akatengeneza na milango miwili ya mizeituni, na akainakshi kwa makerubi, na mitende, na maua yaliyochanua. Akasakafia kwa dhahabu na akatandaza dhahabu kwenye makerubi na kwenye mitende.
33 Tako i za ulaz u Hekal načini vrata od maslinova drveta, sa četverokutnim dovracima.
Kwa njia hii, akalitengenezea hekalu miimo miwili ya mbao za mizeituni yenye pande nne
34 Oba krila na vratima bijahu od čempresova drveta i oba se otvarahu na jednu i na drugu stranu.
na milango miwili ya mbao za mierezi. Zile mbao mbili za mlango mmoja zilikuwa zikijikunja na mbao mbili za mlango wa pili nazo zilikuwa zikijikunja pia.
35 Urezao je na njima kerubine, palme i rastvorene cvjetove i obložio zlatom sve što bijaše urezano.
Akazinakshi kwa makerubi, mitende, na maua yaliyochanua, na pia akazisakafia kwa dhahabu juu ya zile nakshi.
36 Potom je sagradio unutrašnje predvorje od tri reda klesanog kamena i jednoga reda tesanih greda cedrovih.
Akalijengs Korido la ndani kwa safu tatu za mawe ya kuchongwa na safu moja ya mhimili wa mierezi.
37 Temelji su Hramu Jahvinu bili položeni četvrte godine, mjeseca Ziva;
Msingi wa hekalu ulijengwa katika mwaka wa nne, wa mwezi wa Ziv.
38 a jedanaeste godine, mjeseca Bula - to je osmi mjesec - Hram je dovršen sa svim dijelovima i sa svim što mu pripada. Salomon ga sagradi za sedam godina.
Mwaka wa kumi na moja mwezi wa Buli, ambao ndio mwezi wa nane, sehemu zote za hekalu zilimalizika na sharti zake zote. Sulemani alilijenga hekalu kwa miaka saba.