< 1 Ljetopisa 9 >

1 Svi su Izraelci bili upisani u plemenskim rodovnicima, a zapisani su i u Knjizi izraelskih kraljeva. A Judejci su zbog nevjere bili odvedeni u sužanjstvo u Babilon.
Kwa hivyo watu wote wa Israeli walinakiliwa ki uzao. Walinakiliwa katika vitabu vya kifalme vya Israeli. Yuda, walipelekwa matekani Babylon kwasababu ya dhambi zao.
2 Prvi su stanovnici na svojem posjedu i u svojim gradovima bili Izraelci, svećenici, leviti i netinci.
Wakwanza kurudi kuishi katika miiji yao walikuwa Waisraeli, Makuhani, Walawi, na Watumishi wa hekalu.
3 U Jeruzalemu su živjeli ljudi od Judinih sinova, od Benjaminovih sinova, od Efrajimovih i Manašeovih sinova, i to:
Baadhi ya uzao wa Yuda, Benjamin, Efraimu, na Manase waliishi Yerusalemu.
4 Utaj, sin Amihuda, sina Omrija, sina Imrija, sina Banija, od sinova Judina sina Peresa.
Wahamiaji walijumusha Uthai mwana wa Ammihudi mwana wa Omri mwana wa Bani, moja ya uzao wa Perezi mwana wa Yuda.
5 Od Šilonaca: Asaja, prvenac, sa svojim sinovima.
Kati ya Mashilonite kulikuwa na Asaia mtoto wa kwanza na wana wake.
6 Od Zarehovih sinova: Jeuel i njegova braća, šest stotina i devedeset.
Kati ya uzao wa Zera alikuwa Yeuli. Uzao wao ulikuwa na namba 690.
7 Od Benjaminovih sinova Salu, sin Mešulama, sina Hodavje, Hasenuina sina;
Katika uzao Benjamini walikuwa Salu mwana wa Meshulamu mwana wa hodavia mwana wa Hssenua.
8 Ibneja, Jerohamov sin, i Ela, sin Uzije, Mokrijeva sina, i Mešulam, sin Šefatje, sina Reuela, Ibnijina sina.
Pia walikuwa Ibneia mwana wa Yerohamu; Ela mwana wa Uzzi mwana wa Mikri; na Meshullam mwana wa Shefatia mwana waReuli mwana wa Ibnija.
9 Imali su po svojim rodovima devet stotina pedeset i šestero braće. Svi su oni bili glavari, svaki svoga roda.
Ndugu zao waliandika kwenye orodha ya namba 956 ya vizazi vyao. Wanaume wote hawa walikuwa viongozi wa koo za mababu zao.
10 Od svećenika: Jedaja, Jojarib i Jakin,
Makuhani walikuwa Yedaia, Yehoiarib, na Yokini.
11 Azarja, sin Hilkije, sina Mešulama, sina Sadoka, sina Merajota, Ahitubova sina, predstojnik Doma Božjeg.
Walikuwa pia Azaria mwana wa Hilkia mwana wa Meshullamu mwana wa Zadoki mwana wa Meraioti mwana wa Ahitubi, aliyekuwa na mamlaka katika nyumba ya Mungu.
12 Adaja, sin Jerohama, sina Pašhura, Malkijina sina, Masaj, sin Adiela, sina Jahzere, sina Mešulama, sina Mešilemita, Imerova sina.
Kulikuwa na Adaia mwana wa Yerohamu mwana wa Pashuri mwana wa Malkija. Pia kulikuwa na Maasai mwanawa Adieli mwana wa Yazera mwana wa Meshulamu mwana wa Meshilemiti mwana wa Imma.
13 Njihove braće, glava obitelji, boraca što su obavljali službu u Domu Božjem, bilo je tisuću sedam stotina i šezdeset.
Ndugu zao, ambao walikuwa viongozi katika koo za mababu zao, idadi ya 1, 760. Walikuwa ni wanaume wenye uwezo sana wa kufanya kazi katika nyumba ya Mungu.
14 Od levita Šemaja, sin Hašuba, sin Azrikama, Hašabjina sina, između Merarijevih sinova;
Kati ya Walawii, kulikuwa na Shemaia mwana wa Hashubu mwana wa Azrikam mwana wa Hashabia, kati ya uzao wa Merari.
15 Bakbakar, Hereš, Galal i Matanija, sin Mike, sina Zikrija, Asafova sina;
Walikuwako pia Bakbakari, Hereshi, Galali, na Mattania mwana wa Mika mwana wa Zikri mwana wa Asafu.
16 Obadja, sin Šemaje, sina Galala, Jedutunova sina, i Berekja, sin Ase, Elkanina sina, koji je živio u Netofatskim selima.
Walikuwako pia Obadia mwana wa Shemaia mwana wa Galali mwana wa Yedutuni; na Berekia mwana wa Asa mwana wa Elkana, aliyeishikatika vijiji vya Netophathites.
17 Vratari: Šalum, Akub, Talmon i Ahiman, i njihova braća; Šalum je bio poglavar,
Walinzi wa lango walikuwa Shalumu, Akubi, Talimoni, Ahimani, na uzao wao. Shalumu alikuwa kiongozi wao.
18 i dosad je bio na kraljevskim vratima prema istoku. Oni su bili vratari po četama levita.
Awali walisimama kulinda katika geti la mfalme upande wa mashariki wa kambi ya uzao wa Walawi.
19 Šalum, sin Korea, sina Abjasafa, Korahova sina, sa svojom braćom Korahovcima iz njihove obitelji, bili su odgovorni za bogoslužje; oni su čuvali pragove Šatora, dok su njihovi oci čuvali ulaz u Jahvin tabor.
Shalumu mwana wa Kore mwana wa Ebiasafu, ambaye kama mwana wa Kora, na ndugu zake kutoka nyumba ya baba yake, Korahite, alikuwa na mamlaka kwa kazi ya huduma, Walilinda mlango wa hema, kama mababu zao walivyolinda kambi ya Yawehi, na pia walilinda lango la kuingilia.
20 Eleazarov sin Pinhas bio je predstojnik nad njima nekada (Jahve bio s njim!).
Finehasi mwana wa Eleaza aliwaongoza kipindi cha nyuma, na Yahwehi alikuwa pamoja nae.
21 Mešelemjin sin Zaharija bio je vratar na vratima Šatora sastanka.
Zekaria mwana wa Meshelemia alikua mlinzi katika mlango wa kuingilia hekalu, “eneo la kukutania.”
22 Svih izabranih vratara pragova bilo je dvjesta i dvanaest. Bili su upisani u rodovnike u svojim selima. Postavili su ih u službu David i vidjelac Samuel zbog njihove vjernosti.
Hawa wote walichaguliwa kana walinzi wa mageti ya kuingilia kwa idadi ya 212. Majina yao yaliandikwa kwenye kumbukumbu za watu katika vijiji vyao. Mtabiri aliwaweka Daudi na Samueli katika nafasi ya uaminifu.
23 Oni i njihovi sinovi čuvali su stražu na vratima Doma Jahvina, Doma Šatora.
Kwa hivyo wao na watotot wao walilinda mageti katika nyumba ya Yawehi, hema la kuabudia.
24 Vratari su stajali na četiri strane: na istoku, na zapadu, na sjeveru i na jugu.
Walinzi wa mageti waliwekwa katika pande zote nne, upande wa mashariki, magharibi, kaskazini, na kusini.
25 Njihova braća po selima dolazila su od vremena do vremena da im se pridruže po sedam dana.
Kaka zao, walioishi kwenye vijiji vyao, walikuja kuwasaidia baada ya mzunguko wa siku saba.
26 Samo su četiri vratarska predstojnika bila neprestano u službi. Bili su leviti, postavljeni nad sobama i nad riznicama Božjega Doma.
Lakini viongozi wanne wa walinzi, ambao walikwa walawi, walipangiwa kulinda vyumba na vyumba vya kuhifadhi katika nyumba ya Mungu.
27 Noćivali su oko Božjega Doma jer im je bila dužnost da stražare i da otključavaju svako jutro.
Walitumia usiku wao sehemu walizowekwa kuzunguka nyumba ya Mungu, kwao ilikuwa ni wajibu wao kulinda. Na walifungua geti kila asubuhi.
28 Neki su od njih bili odgovorni za bogoslužno posuđe. Prebrojavali su ga kad bi ga unosili i kad bi ga iznosili.
Baadhi yao waliwajibika katika hekalu la vifaa; walihesabu makala zilizo ingizwa ndani na zilizo tolewa nje.
29 Neki su se od njih brinuli za pokućstvo, sve posvećene stvari, fino brašno, vino, ulje, tamjan i miomirise;
Baadhi yao pia waliwekwa kutunza vitu vitakatifu, vifaa, na vitu, kujuisha unga safi, mvinyo, mafuta, manukato, na uvumba.
30 a neki od svećeničkih sinova miješali su pomast od miomirisa.
Baadhi ya wana wa makuhani walichanganya uvumba.
31 Matitja, jedan od levita, prvenac Šaluma Korahovca, brinuo se za stvari koje se peku na tavi.
Matithia, mmoja wa walawi, ambaye alikuwa mtoto wa kwanza wa Shalumu wa Wakorahi, alikuwa na wajibu wa kuandaa mikate kwa ajili ya sadaka.
32 Neki od Kehatovaca, njihove braće, bili su odgovorni za kruhove što se postavljaju svake subote.
Baadhi ya kaka zao, uzao wa kohathite, waliwajibika kwa mikate ya uwepo, kuandaa kila Sabatho.
33 Oni su bili i pjevači, glavari levitskih obitelji. Kad su bili slobodni, živjeli su u hramskih sobama, jer su dan i noć bili na dužnosti.
Waimbaji na viongozi wa familia ya Walawi waliishi ndani ya vyumba katika mahali takatifu walipo kuwa hawafanyi kazi, kwa sababu wapiswa kufanya kazi walio pangiwa usiku na mchana.
34 To su bili glavari levitskih obitelji prema svom srodstvu. Ti su poglavari živjeli u Jeruzalemu.
Hawa walikuwa viongozi wa familia miongoni mwa Walawi, kama ilivyo orodheshwa katika kumbukumbu za uzao wao. Waliishi Yerusalemu.
35 U Gibeonu su živjeli: Gibeonov otac Jeiel, čijoj je ženi bilo ime Maaka.
Baba wa Gibeoni, Yeiel, ambaye mkewe aliitwa Maaka, aliishi Gibeoni.
36 Sin mu je prvenac bio Abdon, pa Sur, Kiš, Baal, Ner, Nadab,
Mtoto wake wa kwanza alikuwa Abdoni, alafu wana wake Zuri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
37 Gedor, Ahjo, Zaharija i Miklot.
Gedori, Ahio, Zekaria, na Mikloti.
38 Miklot rodi Šimeama. I oni su živjeli u Jeruzalemu, naprama svojoj braći.
Mikloti alikuwa baba wa Shimeamu. Pia waliishi karibu na kaka yao huko Yerusalemu.
39 Ner rodi Kiša; a Kiš rodi Šaula; Šaul rodi Jonatana, Malki-Šuu, Abinadaba i Ešbaala.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. sauli alikuwa baba wa Yonathani, malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
40 Jonatanov je sin bio Merib Baal. Merib Baal rodi Miku.
Mwana wa Jonathani alikuwa Merib baali. Merib baali alikuwa baba wa Mika.
41 Mikini su sinovi bili: Piton, Melek, Tahrea i Ahaz.
Mwana wa Mika walikuwa pithoni, Meleki, Tahrea, na ahazi.
42 Ahaz rodi Jaru; Jara rodi Alemeta, Azmaveta i Zimrija; Zimri rodi Mosu.
Ahazi alikuwa baba wa Jara. Jara alikuwa baba wa Alemeti, Azmaveti, na zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
43 Mosa rodi Binu; njegov je sin bio Rafaja, njegov sin Elasa, njegov sin Asel.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Refaia. Refaia alikuwa baba wa Eleas. eleasa alikuwa baba wa Azeli.
44 Asel je imao šest sinova, kojima su imena: Azrikam, Bokru, Jišmael, Šearja, Obadja i Hanan; to su Aselovi sinovi.
Wana sita wa Azeli walikuwa Azrikamu, Bochera, Ishmaeli, shearia, Obdia, na Hanani. hawa walikuwa wana wa Azeli

< 1 Ljetopisa 9 >