< 1 Ljetopisa 8 >

1 Benjamin rodi prvenca Belu, drugog Ašbela, trećeg Ahraba,
Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
2 četvrtog Nohu i petog Rafu.
Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
3 Belini su sinovi bili: Adar, Gera, Ehudov otac,
Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
4 Abišua, Naaman, Ahoah,
Abishua, Naamani, Ahoa,
5 Gera, Šefufan i Huram.
Gera, Shefufani na Huramu.
6 Oni su bili Ehudovi sinovi i bili su obiteljski glavari onima koji su živjeli u Gebi, odakle su ih odveli u sužanjstvo u Manahat;
Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
7 Naaman, Ahija i Gera; on ih je vodio u sužanjstvo i rodio Uzu i Ahihuda.
Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
8 Šaharajim, pošto je otpustio žene Hušimu i Baru, dobio je sinove u Moapskom polju:
Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
9 sa svojom ženom Hodešom imao je sinove Jobaba, Sibju, Mešu, Malkama,
Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
10 Jeusa, Sakju i Mirmu; to su bili njegovi sinovi, obiteljski glavari.
Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
11 S Hušimom je rodio Abituba i Elpaala.
Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
12 Elpaalovi su sinovi bili: Eber, Mišam i Šamed; on je sagradio Ono i Lod s njihovim selima.
Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
13 Zatim Berija i Šema. Oni su bili obiteljski glavari onima koji su živjeli u Ajalonu i istjerali su gatske stanovnike.
na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
14 Njegov brat: Šešak. Jeremot,
Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
15 Zabadja, Arad i Eder,
Zebadia, Aradi, Ederi,
16 Mihael, Jišpa i Joha bili su Berijini sinovi.
Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
17 Zebadja, Mešulam, Hizki, Haber,
Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
18 Jišmeraj, Jizlia i Jobab bili su Elpaalovi sinovi.
Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
19 Jakim, Zikri, Zabdi,
Yakimu, Zikri, Zabdi,
20 Elijoenaj, Siltaj, Eliel,
Elienai, Silethai, Elieli,
21 Adaja, Beraja i Šimrat bili su Šimijevi sinovi.
Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
22 Jišpan, Eber, Eliel,
Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
23 Abdon, Zikri, Hanan,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 Hananija, Elam, Antotija,
Hanania, Elamu, Anthothiya,
25 Jifdeja, Fenuel bili su Šešakovi sinovi.
Ifdeya na Penueli.
26 Šamšeraj, Šeharja, Atalija,
Shamsherai, Sheharia, Athalia,
27 Jaarešja, Elija i Zikri bili su Jerohamovi sinovi.
Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
28 To su bili glavari obitelji svrstanih po koljenima. Živjeli su u Jeruzalemu.
Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
29 U Gibeonu su živjeli: praotac Gibeon, čija se žena zvala Maaka.
Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
30 Njegov je sin prvenac bio Abdon, pa Sur, Kiš, Baal, Nadab,
Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
31 Gedor, Ahjo, Zaker,
Gedori, Ahio, Zekeri,
32 i Miklot, koji je rodio Šimu; pa su i oni živjeli kod svoje braće u Jeruzalemu, sa svojom braćom.
na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
33 Ner rodi Kiša, a Kiš rodi Šaula, Šaul rodi Jonatana, Malki-Šua, Abinadaba, Ešbaala,
Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
34 Jonatanov je sin bio Merib Baal; Merib Baal rodi Miku.
Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
35 Mikini su sinovi bili: Piton, Melek, Tarea i Ahaz.
Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
36 Ahaz rodi Joadu; Joada rodi Alemeta, Azmaveta i Zimrija; Zimri rodi Mosu.
Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
37 Mosa rodi Biniju, čiji je sin bio Rafa, a njegov sin Elasa, njegov sin Asel.
Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
38 Asel je imao šest sinova, kojima su imena: Azrikam, njegov prvenac, Bokru, Jišmael, Šearja, Obadja i Hanan; svi su oni bili Aselovi sinovi.
Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
39 Sinovi njegova brata Ešeka bili su: Ulam, prvenac mu, drugi Jehuš, treći Elifelet.
Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
40 Ulamovi su sinovi bili hrabri junaci koji su zapinjali luk i imali mnogo sinova i unuka, sto pedeset. Svi su oni bili od Benjaminovih sinova.
Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.

< 1 Ljetopisa 8 >