< 1 Ljetopisa 3 >

1 Ovo su Davidovi sinovi koji mu se rodiše u Hebronu: prvenac Amnon od Jizreelke Ahinoame, drugi Daniel od Karmelke Abigajle,
Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni: Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli; wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli;
2 treći Abšalom, sin Maake, kćeri Talmaja, gešurskoga kralja, četvrti Adonija, sin Hagitin,
wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;
3 peti Šefatja od Abitale, šesti Jitream od njegove žene Egle.
wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali; wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.
4 Šest mu se sinova rodilo u Hebronu, gdje je kraljevao sedam godina i šest mjeseci; a trideset je i tri godine kraljevao u Jeruzalemu.
Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita. Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu,
5 Ovi mu se sinovi rodiše u Jeruzalemu: Šimeja, Šobab, Natan i Salomon; četiri od Bat-Šebe, kćeri Amielove.
nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua, Shobabu, Nathani na Solomoni.
6 Jibhar, Elišama, Elifalet,
Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,
7 Nogah, Nefeg, Jafija,
Noga, Nefegi, Yafia,
8 Elišama, Elijada, Elifelet: devet.
Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.
9 Sve Davidovi sinovi osim inočkih sinova i njihove sestre Tamare.
Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.
10 Salomonov je sin bio Roboam, njegov sin Abija, njegov sin Asa, njegov sin Jošafat,
Mwana wa Solomoni alikuwa Rehoboamu, mwanawe huyo alikuwa Abiya, mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati, mwanawe huyo alikuwa Asa,
11 njegov sin Joram, njegov sin Ahazja, njegov sin Joaš,
mwanawe huyo alikuwa Yehoramu, mwanawe huyo alikuwa Ahazia, mwanawe huyo alikuwa Yoashi,
12 njegov sin Amasja, njegov sin Azarja, njegov sin Jotam,
mwanawe huyo alikuwa Amazia, mwanawe huyo alikuwa Azaria, mwanawe huyo alikuwa Yothamu,
13 njegov sin Ahaz, njegov sin Ezekija, njegov sin Manaše,
mwanawe huyo alikuwa Ahazi, mwanawe huyo alikuwa Hezekia, mwanawe huyo alikuwa Manase,
14 njegov sin Amon, njegov sin Jošija.
mwanawe huyo alikuwa Amoni na mwanawe huyo alikuwa Yosia.
15 Jošijini su sinovi bili: prvenac Johanan, drugi Jojakim, treći Sidkija, četvrti Šalum.
Wana wa Yosia walikuwa: Yohanani mzaliwa wake wa kwanza, Yehoyakimu mwanawe wa pili, wa tatu Sedekia, wa nne Shalumu.
16 Jojakimovi su sinovi bili: Jekonija, njegov sin, i Sidkija, njegov sin.
Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni: Yekonia mwanawe, na Sedekia.
17 Sinovi sužnja Jekonje bili su Šealtiel, njegov sin,
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka: Shealtieli mwanawe,
18 Malkiram, Pedaja, Šenasar, Jekamja, Jošama i Nebadja.
Malkiramu, Pedaya, Shenasari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.
19 Pedajini su sinovi bili: Zerubabel i Šimej; Zerubabelovi sinovi: Mešulam i Hananija, i sestra im Šelomita.
Wana wa Pedaya walikuwa: Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa: Meshulamu na Hanania. Shelomithi alikuwa dada yao.
20 Hašuba, Ohel, Berekja, Hasadja i Jušab-Hesed, njih petorica.
Pia walikuwepo wengine watano: Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-Hesedi.
21 Hananijini su sinovi bili: Pelatja i Jišaja, Refajini sinovi, Arnanov sin, Obadjin sin, Šekanijin sin.
Wazao wa Hanania walikuwa: Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.
22 Šekanijini su sinovi bili: Šemaja, a Šemajini su sinovi bili: Hatuš, Jigal, Barijah, Nearja i Šafat, šestorica.
Wazao wa Shekania: Shemaya na wanawe: Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati; jumla yao walikuwa sita.
23 Nearjini su sinovi bili Elijoenaj, Ezekija i Azrikam, trojica.
Wana wa Nearia walikuwa: Elioenai, Hizkia na Azrikamu; jumla yao watatu.
24 Elijoenajevi su sinovi bili Hodavja, Elijašib, Felaja, Akub, Johanan, Delaja i Anani, sedmorica.
Wana wa Elioenai walikuwa: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.

< 1 Ljetopisa 3 >