< 箴言 9 >
Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo saba kutoka katika miamba.
Ameandaa wanyama wake kwa chakula cha usiku; ameichanganya divai yake; na kuandaa meza yake.
Amewatuma watumishi wake kupeleka mialiko na kutoka mahali pa juu sana kwenye mji anaita:
4 說:誰是愚蒙人,可以轉到這裏來! 又對那無知的人說:
“Wale wasiofunzwa waje hapa!” anawaambia wale wasionaufahamu.
Njoo, ule chakula, na unywe divai nimeshaichanganya.
6 你們愚蒙人,要捨棄愚蒙, 就得存活,並要走光明的道。
Acheni njia zenu za kijinga, na mkaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
7 指斥褻慢人的,必受辱罵; 責備惡人的,必被玷污。
Yeyote amrekebishaye mwenye dhihaka hukaribisha matusi na yeyote anayemshutumu mtu mbaya atapata madhara.
8 不要責備褻慢人,恐怕他恨你; 要責備智慧人,他必愛你。
Usimshutumu mwenye dhihaka, ama atakuchukia; mshutumu mtu mwenye busara, naye atakupenda.
9 教導智慧人,他就越發有智慧; 指示義人,他就增長學問。
Mpe mafundisho mtu mwenye busara, naye atakuwa na busara zaidi; mfundishe mtu mwenye haki, naye ataongeza elimu.
10 敬畏耶和華是智慧的開端; 認識至聖者便是聰明。
Hofu ya Mungu ni chanzo cha hekima na maarifa ya Mtakatifu ni ufahamu.
Maana kwa njia yangu siku zako zitazidishwa na uzima wako utaongezewa miaka.
12 你若有智慧,是與自己有益; 你若褻慢,就必獨自擔當。
Kama unahekima, unahekima kwako mwenyewe, lakini ukidharau, utaibeba peke yako.
Mwanamke mpumbavu anakelele nyingi- hajafunzwa wala haelewi chochote.
14 她坐在自己的家門口, 坐在城中高處的座位上,
Anakaa kwenye mlango wa nyumba yake, kwenye kiti cha sehemu ya juu sana ya mji.
Anawaita kwa sauti wanaopita karibu, watu wale wanaotembea wima katika njia zao.
16 說:誰是愚蒙人,可以轉到這裏來! 又對那無知的人說:
Wale ambao hamjafunzwa njoni hapa ndani!” anawaambia wale wasio na akili. “
Maji ya kuiba ni matamu na mkate unaoliwa kwa siri unapendeza.”
18 人卻不知有陰魂在她那裏; 她的客在陰間的深處。 (Sheol )
Lakini hajui kwamba wafu wapo pale, wageni wake wapo kwenye vina vya kuzimu. (Sheol )