< 約伯記 35 >

1 以利戶又說:
Aidha, Elihu aliendelea kusema,
2 你以為有理, 或以為你的公義勝於上帝的公義,
“Je unadhani hii ni sawa unaposema, 'Haki yangu mbele ya Mungu?
3 才說這與我有甚麼益處? 我不犯罪比犯罪有甚麼好處呢?
Kwa kuwa unauliza, 'Inafaa nini kwangu' na 'Ingekuwa nzuri kwangu kama ningekuwa nimetenda dhambi?'
4 我要回答你和在你這裏的朋友。
Nitakujibu, wewe pamoja na marafiki zako.
5 你要向天觀看, 瞻望那高於你的穹蒼。
Tazama juu angani, na ulione; angalia anga, ambalo liko juu sana kuliko wewe.
6 你若犯罪,能使上帝受何害呢? 你的過犯加增,能使上帝受何損呢?
Kama umetenda dhambi, ni madhara gani huwa unayafanya kwa Mungu? Ikiwa makosa yako yameongezeka zaidi, je huwa unafanya nini kwake?
7 你若是公義,還能加增他甚麼呢? 他從你手裏還接受甚麼呢?
Kama wewe ni mwenye haki, unaweza kumpa nini? Je atapokea nini mkononi mwako?
8 你的過惡或能害你這類的人; 你的公義或能叫世人得益處。
Uovu wako waweza kuwaumiza mtu, kama ulivyo wewe ni mtu, na haki yako yaweza kumnufaisha mwana mwingine wa mtu.
9 人因多受欺壓就哀求, 因受能者的轄制便求救,
Watu wanalia kwasababu ya matendo mengi ya unyanyasaji; wanaomba msaada katika mikono ya watu wenye nguvu.
10 卻無人說:造我的上帝在哪裏? 他使人夜間歌唱,
Lakini hakuna hata mmoja asemaye, ' Mungu Muumba wangu yuko wapi, ambaye hutoa nyimbo wakati wa usiku,
11 教訓我們勝於地上的走獸, 使我們有聰明勝於空中的飛鳥。
ambaye hutufundisha sisi zaidi anavyowafundisha wanyama wa dunia, na ambaye hutufanya sisi kuwa wenye hekima kuliko ndege wa angani?
12 他們在那裏, 因惡人的驕傲呼求,卻無人答應。
Huko wanalia, lakini Mungu hawajibu kwasababu ya kibriu ya watu waovu.
13 虛妄的呼求,上帝必不垂聽; 全能者也必不眷顧。
Kwa hakika Mungu hatasikia kilio cha kipumbavu; Mwenye nguvu wala hatajali.
14 何況你說,你不得見他; 你的案件在他面前,你等候他吧。
Ni kwa namna gani atakujibu ikiwa unasema haumwoni, na ya kwamba hoja yako iko mbele yake, na ya kuwa unamngojea yeye!
15 但如今因他未曾發怒降罰, 也不甚理會狂傲,
Ni kwa jinsi gani atakujibu kama unasema kwamba hamwadhibu yeyote kwa hasira, na ya kwamba hajishughulishi na kiburi cha watu.
16 所以約伯開口說虛妄的話, 多發無知識的言語。
Basi Ayubu hufumbua kinywa chake tu ili kusema upumbavu; huongeza maneno bila maarifa.”

< 約伯記 35 >