< 約伯記 18 >

1 書亞人比勒達回答說:
Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
2 你尋索言語要到幾時呢? 你可以揣摩思想,然後我們就說話。
Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
3 我們為何算為畜生, 在你眼中看作污穢呢?
Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
4 你這惱怒將自己撕裂的, 難道大地為你見棄、 磐石挪開原處嗎?
Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
5 惡人的亮光必要熄滅; 他的火焰必不照耀。
Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
6 他帳棚中的亮光要變為黑暗; 他以上的燈也必熄滅。
Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
7 他堅強的腳步必見狹窄; 自己的計謀必將他絆倒。
Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
8 因為他被自己的腳陷入網中, 走在纏人的網羅上。
Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
9 圈套必抓住他的腳跟; 機關必擒獲他。
Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
10 活扣為他藏在土內; 羈絆為他藏在路上。
Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
11 四面的驚嚇要使他害怕, 並且追趕他的腳跟。
Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
12 他的力量必因飢餓衰敗; 禍患要在他旁邊等候。
Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
13 他本身的肢體要被吞吃; 死亡的長子要吞吃他的肢體。
Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
14 他要從所倚靠的帳棚被拔出來, 帶到驚嚇的王那裏。
Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
15 不屬他的必住在他的帳棚裏; 硫磺必撒在他所住之處。
Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
16 下邊,他的根本要枯乾; 上邊,他的枝子要剪除。
Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
17 他的記念在地上必然滅亡; 他的名字在街上也不存留。
Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
18 他必從光明中被攆到黑暗裏, 必被趕出世界。
Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
19 在本民中必無子無孫; 在寄居之地也無一人存留。
Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
20 以後來的要驚奇他的日子, 好像以前去的受了驚駭。
Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
21 不義之人的住處總是這樣; 此乃不認識上帝之人的地步。
Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”

< 約伯記 18 >