< 诗篇 91 >
Yeye aishiye katika makazi ya Aliye Juu atakaa katika uvuli wa mwenyezi.
2 我要论到耶和华说: 他是我的避难所,是我的山寨, 是我的 神,是我所倚靠的。
Nami nitasema kuhusu Yahwe, “Yeye ni kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu, ambaye niaamini katika yeye.”
Kwa maana yeye atakuokoa dhidi ya mtego wa mwindaji na dhidi ya pigo liletalo mauti.
4 他必用自己的翎毛遮蔽你; 你要投靠在他的翅膀底下; 他的诚实是大小的盾牌。
Yeye atakufunika kwa mbawa zake, na chini ya mbawa zake utapata kimbilio. Uaminifu wake ni ngao na ulinzi.
Nawe hautaogopeshwa na vitisho wakati wa usiku, wala mishale ipaayo kwa siku,
wala pigo lizungukalo gizani, wala ugonjwa ujao wakati wa mchana.
7 虽有千人仆倒在你旁边, 万人仆倒在你右边, 这灾却不得临近你。
Maelfu waweza kuangukia upande wako na makumi elfu mkono wako wa kuume, lakini uovu hauwezi kukupata.
Wewe utatazama tu na kuona hukumu ya waovu.
9 耶和华是我的避难所; 你已将至高者当你的居所,
Kwa kuwa Yahwe ni kimbilio langu! Umfanye Aliye Juu kuwa kimbilio lako pia.
Hakuna uovu utakao kushinda wewe; mateso hayatakuja karibu na nyumba yako.
11 因他要为你吩咐他的使者, 在你行的一切道路上保护你。
Maana yeye atawaelekeza malaika moja kwa moja kukulinda wewe, na kukuwekea ulinzi katika njia zako zote.
Nao watakuinua juu kwa mikono yao ili usiweze kujigonga mguu wako kwenye jiwe.
13 你要踹在狮子和虺蛇的身上, 践踏少壮狮子和大蛇。
Utawaangamiza simba na nyoka chini ya miguu yako; utawakanyaga wana-simba na nyoka.
14 神说:因为他专心爱我,我就要搭救他; 因为他知道我的名,我要把他安置在高处。
Kwa sababu amejitoa kwangu, nitamuokoa. Nitamlinda kwa sababu yeye ni mwaminifu kwangu.
15 他若求告我,我就应允他; 他在急难中,我要与他同在; 我要搭救他,使他尊贵。
Aniitapo, nitamjibu. Katika shida nitakuwa naye; nitampatia ushindi na nitamuheshimu.
Nitamtosheleza kwa maisha malefu na kumuonesha wokovu wangu.