< 诗篇 129 >
1 上行之诗。 以色列当说:从我幼年以来, 敌人屡次苦害我,
Wimbo wa kwenda juu. Wamenionea mno tangu ujana wangu; Israeli na aseme sasa:
2 从我幼年以来,敌人屡次苦害我, 却没有胜了我。
wamenionea mno tangu ujana wangu, lakini bado hawajanishinda.
Wakulima wamelima mgongo wangu, na kufanya mifereji yao mirefu.
Lakini Bwana ni mwenye haki; amenifungua toka kamba za waovu.
Wale wote waichukiao Sayuni na warudishwe nyuma kwa aibu.
Wawe kama majani juu ya paa, ambayo hunyauka kabla hayajakua;
kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake, wala akusanyaye kujaza mikono yake.
8 过路的也不说: 愿耶和华所赐的福归与你们! 我们奉耶和华的名给你们祝福!
Wale wapitao karibu na wasiseme, “Baraka ya Bwana iwe juu yako; tunakubariki katika jina la Bwana.”