< 诗篇 126 >
1 上行之诗。 当耶和华将那些被掳的带回锡安的时候, 我们好像做梦的人。
Wimbo wa kwenda juu. Bwana alipowarejeza mateka Sayuni, tulikuwa kama watu walioota ndoto.
2 我们满口喜笑、 满舌欢呼的时候, 外邦中就有人说: 耶和华为他们行了大事!
Vinywa vyetu vilijaa kicheko, ndimi zetu zilijaa nyimbo za shangwe. Ndipo iliposemwa miongoni mwa mataifa, “Bwana amewatendea mambo makuu.”
Bwana ametutendea mambo makuu, nasi tumejaa furaha.
4 耶和华啊,求你使我们被掳的人归回, 好像南地的河水复流。
Ee Bwana, turejeshee watu wetu waliotekwa, kama vijito katika Negebu.
Wapandao kwa machozi watavuna kwa nyimbo za shangwe.
6 那带种流泪出去的, 必要欢欢乐乐地带禾捆回来!
Yeye azichukuaye mbegu zake kwenda kupanda, huku akilia, atarudi kwa nyimbo za shangwe, akichukua miganda ya mavuno yake.