< 箴言 4 >
Wanangu, sikilizeni, fundisho la baba, na zingatieni ili mjue maana ya ufahamu.
Mimi ninawapa mafundisho mazuri; msiyaache mafundisho yangu.
3 我在父亲面前为孝子, 在母亲眼中为独一的娇儿。
Mimi nilikuwa mwana kwa baba yangu, mpole na mtoto pekee kwa mama yangu,
4 父亲教训我说:你心要存记我的言语, 遵守我的命令,便得存活。
baba alinifundisha akiniambia, “Moyo wako uzingatie sana maneno yangu; shika amri zangu nawe uishi.
5 要得智慧,要得聪明,不可忘记, 也不可偏离我口中的言语。
Jipatie hekima na ufahamu; usisahau na kuyakataa maneno ya kinywa changu;
6 不可离弃智慧,智慧就护卫你; 要爱她,她就保守你。
usiiache hekima nayo itakulinda; ipenda nayo itakuhifadhi salama.
7 智慧为首; 所以,要得智慧。 在你一切所得之内必得聪明 。
Hekima ni kitu cha muhimu sana, hivyo jipatie hekima na tumia namna zote kuweza kupata ufahamu.
8 高举智慧,她就使你高升; 怀抱智慧,她就使你尊荣。
Tunza hekima nayo itakutukuza; ikumbatie nayo itakuheshimu.
Hekima itaweka kilemba cha heshima juu ya kichwa chako; itakupa taji zuri.
Mwanangu, sikiliza, na kuzingatia maneno yangu, nawe utapata miaka mingi ya maisha yako.
Ninakuelekeza katika njia ya hekima, nimekuongoza katika mapito yaliyonyooka.
12 你行走,脚步必不致狭窄; 你奔跑,也不致跌倒。
Unapotembea, hakuna atakayesimama katika njia yako na kama ukikimbia hutajikwaa.
13 要持定训诲,不可放松; 必当谨守,因为它是你的生命。
Shika mwongozo wala usiuache, utakuongoza, maana ni uzima wako.
Usifuate njia ya waovu wala usiende katika njia ya watendao uovu.
Jiepushe nayo, usipite katika njia hiyo; geuka na upite njia nyingine.
16 这等人若不行恶,不得睡觉; 不使人跌倒,睡卧不安;
Maana hawawezi kulala mpaka wafanye ubaya na hupotewa na usingizi hadi wasababishe mtu kujikwaa.
Maana wao hula mkate wa uovu na hunywa divai ya vurugu.
18 但义人的路好像黎明的光, 越照越明,直到日午。
Bali njia ya mwenye kutenda haki ni kama mwanga ung'aao, huangaza zaidi na zaidi hadi mchana inapowasili kwa ukamilifu.
Njia ya waovu ni kama giza - hawajui ni kitu gani huwa wanajikwaa juu yake.
Mwanangu, zingatia maneno yangu; sikiliza kauli zangu.
Usiziache zikaondoka machoni pako; uzitunze katika moyo wako.
22 因为得着它的,就得了生命, 又得了医全体的良药。
Maana maneno yangu ni uzima kwa wenye kuyapata na afya katika mwili wao.
23 你要保守你心,胜过保守一切, 因为一生的果效是由心发出。
Ulinde salama moyo wako na uukinge kwa bidii zote; kwa kuwa katika moyo hububujika chemichemi za uzima.
Jiepushe na kauli za udanganyifu na ujiepushe na mazungumzo ya ufisadi.
Macho yako yatazame mbele kwa unyoofu na kwa uthabiti tazama mbele sawasawa.
Usawazishe pito la mguu wako; na njia zako zote zitakuwa salama.
Usigeuke upande wa kulia au kushoto; ondoa mguu wako mbali na uovu.