< 箴言 16 >
Mipango ya moyo ni ya mtu, bali Yehova hutoa jawabu kutoka kwenye ulimi wake.
2 人一切所行的,在自己眼中看为清洁; 惟有耶和华衡量人心。
Njia zote za mtu ni safi kwenye macho yake mwenyewe, bali Yehova huipima mioyo.
3 你所做的,要交托耶和华, 你所谋的,就必成立。
Kabidhi kwa Yehova kazi zako zote na mipango yako itafanikiwa.
4 耶和华所造的,各适其用; 就是恶人也为祸患的日子所造。
Yehova alifanya kila kitu kwa kusudi lake, hata waovu kwa ajili ya siku ya taabu.
5 凡心里骄傲的,为耶和华所憎恶; 虽然连手,他必不免受罚。
Yehova anamchukia kila mtu mwenye moyo wa majivuno, ingawa wanasimama imara, hawakosi kupata adhabu.
6 因怜悯诚实,罪孽得赎; 敬畏耶和华的,远离恶事。
Kwa agano la uaminifu na udhamini uovu husafishwa na kwa kumcha Yehova watu hujitenga na ubaya.
7 人所行的,若蒙耶和华喜悦, 耶和华也使他的仇敌与他和好。
Njia za mtu zinapompendeza Yehova, huwafanya hata adui zake huyo mtu wawe na amani naye.
8 多有财利,行事不义, 不如少有财利,行事公义。
Bora kitu kidogo pamoja na haki, kuliko mapato makubwa pamoja na udhalimu.
Katika moyo wake mtu hunuia njia yake, bali Yehova huziongoza hatua zake.
10 王的嘴中有神语, 审判之时,他的口必不差错。
Mshauri yupo katika midimo ya mfalme, katika hukumu kinywa chake hakisemi kwa udanganyifu.
11 公道的天平和秤都属耶和华; 囊中一切法码都为他所定。
Vipimo vya kweli hutoka kwa Yehova; uzito wote kwenye gunia ni kazi yake.
Wafalme wanapofanya mambo maovu, hicho ni kitu cha kudharauliwa, kwa maana utawala huimarishwa kwa kutenda haki.
13 公义的嘴为王所喜悦; 说正直话的,为王所喜爱。
Mfalme hufurahia midomo ambayo husema haki na anampenda mwenye kusema waziwazi.
14 王的震怒如杀人的使者; 但智慧人能止息王怒。
Hasira ya mfalme ni mjumbe wa mauti lakini mtu mwenye busara atajaribu kutuliza hasira yake.
15 王的脸光使人有生命; 王的恩典好像春云时雨。
Katika nuru ya uso wa mfalme ni uzima na fadhila yake ni kama wingu linaloleta mvua ya masika.
Ni bora kiasi gani kupata hekima kuliko dhahabu. Kuchagua kupata ufahamu ni zaidi kuliko fedha.
17 正直人的道是远离恶事; 谨守己路的,是保全性命。
Njia kuu ya watu waadilifu hujitenga na ubaya; mwenye kuyahifadhi maisha yake huilinda njia yake.
Kiburi hutangulia kabla ya uharibifu na moyo wa kujivuna kabla ya maangamizi.
19 心里谦卑与穷乏人来往, 强如将掳物与骄傲人同分。
Ni bora kunyenyekea miongoni mwa watu masikini kuliko kugawana ngawira pamoja watu wenye kiburi.
20 谨守训言的,必得好处; 倚靠耶和华的,便为有福。
Mwenye kutafakari yaliyofundishwa hupata kilicho chema na wenye kumtumaini Yehova watafurahi.
21 心中有智慧,必称为通达人; 嘴中的甜言,加增人的学问。
Mwenye hekima moyoni anaitwa ufuhamu na utamu wa hotuba huongeza uwezo wa kufundisha.
22 人有智慧就有生命的泉源; 愚昧人必被愚昧惩治。
Ufahamu ni chemchemi ya uzima kwake ambaye nayo, bali adhabu ya wapumbavu ni upumbavu wao.
23 智慧人的心教训他的口, 又使他的嘴增长学问。
Moyo wa mtu mwenye hekima hutoa busara katika kinywa chake na huongeza ushawishi katika midomo yake.
Maneno yenye kufaa ni sega la asali -matamu kwenye nafsi na huponya mifupa.
Kuna njia ambayo huonekana sawa kwa mtu, bali mwisho wake ni njia ya mauti.
26 劳力人的胃口使他劳力, 因为他的口腹催逼他。
Hamu ya kibarua humfanyia kazi; njaa yake humsihi kuendelea.
Mtu duni huchimba madhara na usemi wake ni kama moto unaounguza.
Mtu mkaidi huchochea mafarakano na umbeya huwafarakanisha marafiki.
Mtu wa vurugu humdanganya jirani yake na kumwongoza kwenye mapito ambayo si mema.
30 眼目紧合的,图谋乖僻; 嘴唇紧闭的,成就邪恶。
Yule anayekonyeza kwa jicho anapanga njama za mambo ya ukaidi; wenye kuandama midomo yao watapitisha mabaya.
Mvi ni taji ya utukufu; hupatikana kwa kuishi katika njia ya haki.
32 不轻易发怒的,胜过勇士; 治服己心的,强如取城。
Ni bora kukawia kuwa na hasira kuliko kuwa shujaa na mwenye kutawala roho yake ni imara zaidi kuliko yule anayeuteka mji.
Kura hurushwa kwenye mkunjo, bali maamuzi hutoka kwa Yehova.