< 民数记 34 >
BWANA akanena na Musa akasema,
2 “你吩咐以色列人说:你们到了迦南地,就是归你们为业的迦南四境之地,
“Waamuru watu wa Israeli na uwaambie, 'Mtakapoingia katika nchi ya Kanaani, nchi ambayo itakuwa mali yenu, nchi ya Kanaani na mipaka yake, mpaka wenu wa kusini utaendelea kutoka nyika ya Sini hadi mpaka wa Edomu.
3 南角要从寻的旷野,贴着以东的边界;南界要从盐海东头起,
Mwisho wa mpaka wa kusini utakuwa mwisho wa bahari ya chumvi kuelekea mashariki.
4 绕到亚克拉滨坡的南边,接连到寻,直通到加低斯·巴尼亚的南边,又通到哈萨·亚达,接连到押们,
Mpaka wenu utageukia kusini kutoka mlima kuelekea Akrabimu na kupitia nyika ya Sini. na kutokea huko utaelelkea kusini mwa Kadeshi Barinea na kuelekea Hazari Adari mpaka Azimoni.
Kutoka huko, mpaka utageuka kutoka Azimoni kuelekea kijito cha Misri na kukifuata mpaka baharini.
Mpaka wa Magharibi utakuwa pwani ya bahari kuu. Huu ndio utakuwa mpaka wenuwa Magharibi.
Mpaka wenu wa kaskazini utaanzia kwenye bahari kuu hadi Mlima Hori,
kisha kutoka Mlima Hori hadi Lebo Hamathi, kisha Zedadi.
9 又通到西斐 ,直到哈萨·以难。这要作你们的北界。
Mpaka utaendelea hadi Zifroni na kuishia Hazari Enani. Huu ndio utakuwa mpaka wenu wa kaskazini.
Kisha mtaweka alama za mpaka wenu wa mashariki ambao utaanzia Hazari Enani kuelekea kusini Shefamu.
11 这界要从示番下到亚延东边的利比拉,又要达到基尼烈湖的东边。
Kisha mpaka wa kusini utaendelea kutoka Shefamu hadi Ribla, upande wa masharikia mwa Aini. Mpaka utaedelea upande huo wa mashariki hadi upande wa mashariki wa bahari ya Kinerethi.
12 这界要下到约旦河,通到盐海为止。这四围的边界以内,要作你们的地。”
Kisha mpaka utaendelea kuelekea kusini hadi mto Yorodani na hadi bahari ya chumvi. Hii ndiyo itakuwa nchi yenu, kwa kuifuata mipaka yake yote inayozunguka.'”
13 摩西吩咐以色列人说:“这地就是耶和华吩咐拈阄给九个半支派承受为业的;
Kisha Musa akawaamuru watu wa Israeli akasema, “Hii ndiyo nchi ambayo mtaipokes kwa kura, ambayo BWANA ameamuru kuwapa wale makabila tisa na nusu.
14 因为吕便支派和迦得支派按着宗族受了产业,玛拿西半个支派也受了产业。
Kabila ya uzao wa Reubeni, kwa kufuata jinsi walivyopewa urithi kwa jamaa ya kabila yao, na uzao wa kabila la Gadi, kwa kufuata jinsi walivyopewa urithi kwa jamaa ya kabila yao, na nusu ya Manase wamepata ardhi yao.
15 这两个半支派已经在耶利哥对面、约旦河东、向日出之地受了产业。”
Wale makabila mawili na nusu wameshapata mgawo wao ng'ambo ya mto Yorodani upande wa mashariki, kuelekea kule linakotokea jua.”
BWANA akanena na Musa akasema,
17 “要给你们分地为业之人的名字是祭司以利亚撒和嫩的儿子约书亚。
“Haya ndiyo majinaya watu watakaoigawa ardhi kwa ajili ya urithi wao: Eliazari kuhani na Joshua mwana wa Nuni.
Mtachagua kiongozi mmoja toka kila kabila ili kuigawa ardhi kwa koo zao.
Haya ndiyo majina ya wanaume: Kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.
Kutoka kwenye kabila la uzao wa Simeoni, Shemueli mwana wa Amihudi.
Kutoka kabila la Benjamini, Elidadi mwana wa Kisloni.
Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Dani, Buki mwana wa Jogili.
23 约瑟的子孙玛拿西支派有一个首领,以弗的儿子汉聂。
Kiongozi kutoka uzao wa Yusufu, kwenye kabila la Manase, Hannieli mwana wa Efodi.
Kiongozi kutoka kwenye kabila la uzao wa Efraimu, Kemueli mwana wa Shiftani.
Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Zabuloni, Elizafani mwana wa Parinaki.
Kiongozi kutoka kwenye kabila la uzao wa Isakari, Palitieli mwana wa Azzani.
Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Asheri, Ahihudi mwana wa Shelomi.
28 拿弗他利支派有一个首领,亚米忽的儿子比大黑。”
Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Naftali, Pedaheli mwana wa Amihudi.”
29 这些人就是耶和华所吩咐、在迦南地把产业分给以色列人的。
BWANA aliwaamuru wanaume hawa kuigawa nchi ya Kanaani na kuwapa kila kabla sehemu yao.