< 以赛亚书 52 >
1 锡安哪,兴起!兴起! 披上你的能力! 圣城耶路撒冷啊,穿上你华美的衣服! 因为从今以后, 未受割礼、不洁净的必不再进入你中间。
Amka, amka, vaa nguvu zako, Sayuni; vaa vazi lako zuri, mji mtakatifu; maana hakuna tena kutotahiriwa wala wasio safi kuingia kwako.
2 耶路撒冷啊,要抖下尘土! 起来坐在位上! 锡安被掳的居民哪, 要解开你颈项的锁链!
Jikung'ute mwenyewe kutoka mavumbini; nyanyuka na ukae, ewe Yerusalemu; ondoa shanga katika shingo yako, wafungwa, binti ya Sayuni.
3 耶和华如此说:“你们是无价被卖的,也必无银被赎。
Maana Yahwe asema hivi, umeuzwa bure, na utakombolewa pasipo pesa.''
4 主耶和华如此说:起先我的百姓下到埃及,在那里寄居,又有亚述人无故欺压他们。
Maana Bwana Yahwe asema hivi, ''Hapo mwanzo watu wangu walishuka chini Misri kuishi kwa muda mfupi; Waasiria waliwanyanyasa wao hivi karibuni.
5 耶和华说:我的百姓既是无价被掳去,如今我在这里做什么呢?耶和华说:辖制他们的人呼叫,我的名整天受亵渎。
Sasa ni kitu gani nilicho nacho hapa- Hili ni tamko Yahwe- aonae kwamba watu wake wanachukuliwa bure tu? Wale wanowaongoza wao wanafanya mzaha-Hili ni tamko la Yahwe- jina langu linakashifiwa mchan kutwa.
6 所以,我的百姓必知道我的名;到那日他们必知道说这话的就是我。看哪,是我!”
Hivyo basi watu wangu watalijua jina langu; watajua kwamba siku hiyo kwamba mimi ndiye ninayesema ''Ndiyo, Ni Mimi!''
7 那报佳音,传平安, 报好信,传救恩的, 对锡安说:你的 神作王了! 这人的脚登山何等佳美!
Ni kwa uzuri gani juu miliima ni miguu ya mjumbe aliyeleta habari njema, atangazae amani, aliyebeba uzuri wa ukuu, aliyetangaza wokovu, anayesema kwa Sayuni, ''Mungu wako anatawala!''
8 听啊,你守望之人的声音, 他们扬起声来,一同歌唱; 因为耶和华归回锡安的时候, 他们必亲眼看见。
Sikiliza enyi walinzi nyanyueni sauti zenu, kwa pamoja pigeni kelele kwa furaha, maana mtamuona, kwa kila jicho lenu, kurejea kwa Yahwe Sayuni.
9 耶路撒冷的荒场啊, 要发起欢声,一同歌唱; 因为耶和华安慰了他的百姓, 救赎了耶路撒冷。
Pazeni sauti kwa kuimba kwa furaha, enyi mateka wa Yerusalemu; maana Yahwe amefariji watu wake; ameikomboa Yerusalemu.
10 耶和华在万国眼前露出圣臂; 地极的人都看见我们 神的救恩了。
Yahwe amewaonyesha kwamba mkono wake mtakatifu katika macho ya mataifa yote; nchi yote itauona wokovu wa Mungu wetu.
11 你们离开吧!离开吧! 从巴比伦出来。 不要沾不洁净的物; 要从其中出来。 你们扛抬耶和华器皿的人哪, 务要自洁。
Ondokeni, ondokeni, enendeni mbali na hapa; msiguse kitu chochote ambacho ni najisi; au kuishi katikati yake; jitakase mwenyewe, enyi mliobeba vyombo vya Yahwe.
12 你们出来必不致急忙, 也不致奔逃。 因为,耶和华必在你们前头行; 以色列的 神必作你们的后盾。
Maana hautakwenda nje kwa kukimbia, wala hautaondoka kwa hofu; Maana Yahwe atakuwa mbele yako; na Mungu wa Israeli atakuwa mlinzi wako nyuma.
13 我的仆人行事必有智慧, 必被高举上升, 且成为至高。
Tazameni, mtumishi wangu atafanya hekima; atakuwa juu na atanyanyuliwa juu, na atapandishwa juu.
14 许多人因他惊奇; 他的面貌比别人憔悴; 他的形容比世人枯槁。
Na wengi watamstajabia yeye- muonekano wake umekunjamana nje ya muonekano wa mwanadamu, hivyo basi upande wake ulikuwa mbali na kitu chochote ambacho ni binadamu-
15 这样,他必洗净许多国民; 君王要向他闭口。 因所未曾传与他们的,他们必看见; 未曾听见的,他们要明白。
Na hivyo, mtumishi wangu atanyunyizia mataifa mengi na wafme watafunga midomo yao kwa sababu yake. Kana kwamba hawajawahi kuambiwa, wataona, kana kwamba hawakusikia, wataelewa.