< 詩篇 77 >

1 阿撒夫的詩歌,交與樂官耶杜通。 我呼號,我的呼聲上達天主前,我向天主高呼,求他俯聽矜憐。
Nitampazia Mungu sauti yangu, nitamuita Mungu kwa sauti yangu, na Mungu wangu atanisikia.
2 我在患難之日,尋求上主,雖整夜伸手,亦不覺辛苦,我的心靈且不接受安撫。
Katika siku ya taabu nilimtafuta Bwana; usiku niliinua mikono yangu, nayo haikuchoka. Moyo wangu ulikataa kufarijiwa.
3 我一懷念天主,即咨嗟哀歎,我一沉思考慮,即心灰意懶。
Ningali nikiugua nilielekeza mawazo yangu kwa Mungu. Nilimfikiria Mungu nilipokuwa dhaifu. (Selah)
4 您使我的眼睛徹夜不眠,我實煩燥難安,苦不堪言。
Uliyafanya macho yangu yasisinzie; nilisumbuka sana kuongea.
5 我回憶往昔的時日,我懷念過去的歲月。
Nilifikiri kuhusu siku za kale, kuhusu mambo yaliyopita muda mrefu.
6 我的心靈夜間默默自問,我的神魂時時沉思質詢:
Wakati wa usiku niliukumbuka wimbo niliouimba mara moja. Nilifikiria kwa makini na kujaribu kuelewa kile kilichokuwa kimetokea.
7 難道天主永遠拒絕,難道不再回顧憐愛?
Je, Mungu atanikataa milele? Je, hatanionesha tena huruma?
8 難道他的恩愛永遠停止,他的諾言也將永世廢棄?
Je, uaminifu wa agano lake ulikuwa umetoweka milele? Je, ahadi yake imeshindwa milele?
9 難道天主忘記了慈悲﹖因憤怒而將慈愛關閉?
Je, Mungu amesahau kuwa mwenye neema? Je, hasira yake imeifunga huruma yake? (Selah)
10 因此我說:這是我的苦難:至高者的右手已經改變。
Nilisema, “Hii ni huzuni yangu: mabadiliko ya mkono wa kuume wa Aliye Juu dhidi yetu.”
11 我現今追念上主的作為,回想您往昔所行的奇蹟;
Lakini nitayakumbuka matendo yako, Yahwe; nitafikiri kuhusu matendo yako makuu yaliyopita.
12 沉思您的一切所作所為,更要默想您的一切異事。
Nitayatafakari matendo yako yote nami nitayaishi.
13 天主,您的行徑完全在於聖化,何神像我們的天主如此偉大?
Njia yako, Mungu, ni takatifu; ni mungu gani wa kulinganishwa na Mungu wetu aliye mkuu?
14 只有您是施行奇蹟的天主!在萬民中彰顯了您的威武。
Wewe ni Mungu utendaye maajabu; wewe umeonesha nguvu zako kati ya mataifa.
15 您以臂力拯救了您的人民,就是雅各伯和若瑟的子孫。
Uliwapa watu wako ushindi kwa uweza wako mkuu - ukoo wa Yakobo na Yusufu. (Selah)
16 大水一旦看見您,天主,大水一見您就都恐怖,連深淵汪洋也都顫抖。
Maji yalikuona wewe, Mungu; maji yalikuona wewe, nayo yakaogopa; vina vya maji vilitetemeka.
17 雲天大雨傾降,烏雲發出巨響,火箭滿天飛翔。
Mawingu yalitiririsha maji chini; anga zito lilitoa sauti; mishale yako ilipita kati.
18 您的雷霆在旋風中發響,閃電也將整個世界照亮,大地驚慌失措而又搖盪。
Sauti yako kama ya radi ilisikika katika upepo; radi iliwasha dunia; nchi iliogopa na kutetemeka.
19 您的道路雖然經過海底,您的途徑雖然穿越大水,卻沒有顯露出您的足跡。
Njia yako ilipita baharini na mapito yako katika maji mengi, lakini alama za miguu yako hazikuonekana.
20 您曾藉著梅瑟和亞郎的手掌,領導您的子民有如領導群羊。
Uliwaongoza watu wako kama kundi kwa mkono wa Musa na Haruni.

< 詩篇 77 >