< 詩篇 59 >

1 達味金詩,交與樂官。調寄「莫要毀壞」。 我主,求你由我的仇敵中,救我免難,求你從攻擊我者中,使戈脫險;
Uniokoe dhidi ya adui zangu, Mungu wangu; uniweke mahali pa juu mbali na wale wanaoinuka dhidi yangu.
2 求你救我脫離為非作歹的人,求你救我脫離好流人血的人。
Uniweke salama mbali na wafanyao kazi ya uovu, na uniokoe dhidi ya watu wenye kiu ya damu.
3 上主,你看,我雖然沒有作過惡,沒有犯過罪,但強橫人為害我的性命,卻群起與我作對。
Maana, tazama, wanasubiria uvamizini waniue. Wafanya maovu wenye nguvu hujikusanya wenyewe pamoja dhidi yangu, lakini sio kwa sababu ya makosa yangu au dhambi yangu, Yahwe.
4 我雖然無辜,他們卻跑來挑戰,求你醒來扶助我,且予以察看。
Wao wanajiandaa kunikimbiza ingawa sina kosa; amka unisaidie na unitazame.
5 因為你是上主,萬軍的天主,以色列的天主,醒來嚴罰這些群眾,別恩待這些背信的惡徒。
Ewe, Yahwe Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, inika uwaadhibu mataifa yote; usiwe na huruma kwa mhalifu mwovu yeyote. (Selah)
6 他們晚上歸來,狂吠如犬,他們環繞城池,四周圍轉。
Wao wanarudi jioni, wanabweka kama mbwa na kuuzungukia mji.
7 看,他們的唇舌宛如利劍,且滿口傲慢說:有誰聽見?
Tazama, wanapiga kelele mbaya kwa midomo yao; panga ziko kwenye midomo yao, maana wanasema, “Ni nani anaye tusikia?”
8 但是你,上主,你必嘲笑他們,你必譏諷這般異民。
Lakini wewe, Yahwe, utawacheka; wewe huwadhihaki mataifa yote.
9 我的力量,我只有仰望於你,因為你是天主,是我的堡壘。
Mungu, nguvu yangu, nitakuwa msikivu kwako; wewe ni mnara wangu mrefu.
10 願那愛我的天主援助我,使我因仇敵失敗而歡樂!
Mungu atakutana nami akiwa na uaminifu wa agano lake; Mungu atanifanya nione shauku yangu juu ya adui zangu.
11 天主,求你擊殺他們,免得侵犯我的人民;上主,我的謢盾,你以強力制服他們。
Usiwaue, hivyo watu watasahau. Uwatawanye kwa nguvu zako na uwaangushe, Bwana ngao yetu.
12 他們口唇所說的話語:就是他們口舌的罪過,他們因自己的驕傲咒罵與謊言,自陷網羅!
Kwa ajili ya dhambi za midomo yao na maneno ya midomo yao, wakamatwe katika majivuno yao, na kwa laana na uongo ambao wao huelezea.
13 求你發怒滅絕他們,滅絕他們無一存立,使人知道:天主在雅各伯為王直達地極。
Uwamalize katika gadhabu yako, uwamalize ili kwamba wasiwepo tena; wajue kuwa Mungu anatawala katika Yakobo na mwisho wa nchi. (Selah)
14 他們晚上歸來,狂吠如犬,他們環繞城池,四周圍轉。
Wakati wa jioni wao hurudi, wakibweka kama mbwa wakiuzungukia mji.
15 他們到處遊蕩,覓食餬口。若不得飽食,便狂吠不休。
Wanatangatanga wakitafuta chakula na wanabweka kama mbwa kama hawajatosheka.
16 但是我要稱你的威能,每日清晨歡呼你的寬仁,因為只有你是我的碉堡,是我困厄時日的避難所。
Lakini nitaimba kuhusu nguvu zako, na asubuhi nitaimba kuhusu upendo wako imara! maana umekuwa mnara wangu mrefu na kimbilio la usalama katika siku ya taabu.
17 我的力量,我只有向你歡唱,因為只有你是天主,是我的保障。你是我的天主,你對我慈祥。
Kwako, nguvu yangu, nitaimba sifa; kwa kuwa Mungu ni mnara wangu mrefu, Mungu wa uaminifu wa agano.

< 詩篇 59 >