< 詩篇 36 >
1 上主的僕人達味作,交與樂官。 惡人從心裏就喜愛不義,他毫無敬愛天主的誠意。
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa Bwana. Kuna neno moyoni mwangu kuhusu hali ya dhambi ya mwovu. Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.
2 他只是在自己的心裏自慰:無人發現他的罪,無人懲治。
Kwa kuwa machoni pake mwenyewe hujisifu mno hata hawezi kugundua au kuichukia dhambi yake.
Maneno ya kinywa chake ni maovu na ya udanganyifu, ameacha kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
Hata kitandani mwake hupanga hila mbaya, hujitia katika njia ya dhambi na hakatai lililo baya.
Upendo wako, Ee Bwana, unafika hadi mbinguni, uaminifu wako hadi kwenye anga.
6 你的正義有如摩天的高山,你的公平有如無底的深淵;上主使人畜生命安全。
Haki yako ni kama milima mikubwa, hukumu zako ni kama kilindi kikuu. Ee Bwana, wewe huwahifadhi mwanadamu na mnyama.
7 天主,你的慈愛多麼可貴可珍,人子們都向你的護翼下投奔。
Upendo wako usiokoma ni wa thamani mno! Watu wakuu na wadogo hujificha uvulini wa mbawa zako.
8 他們不但飽嘗你宮殿中的盛筵,你還賜他們暢飲你人怡人的溪川。
Wanajifurahisha katika wingi nyumbani mwako, nawe utawanywesha katika mto wa furaha zako.
9 因為在你那裏有生命的泉源,藉的光明才能把光明看見。
Kuwa pamoja nawe ni kijito cha uzima, katika nuru yako twaona nuru.
10 求你為恭你的人保留恩寵,並為心地正直的人保持公平。
Dumisha upendo wako kwa wale wanaokujua wewe, haki yako kwa wale walio wanyofu wa moyo.
11 求你不要高傲人的腳踐踏我,求你不要讓罪惡人的手騷擾我。
Mguu wa mwenye kiburi usije dhidi yangu, wala mkono wa mwovu usinifukuze.
12 請看! 作惡的人己經一敗塗地,他們既已傾倒,無法重新興起。
Angalia jinsi watenda mabaya walivyoanguka: wametupwa chini, hawawezi kuinuka!