< 詩篇 3 >
1 【困苦人的祈禱】 達味詩歌,作於逃避其子阿貝沙隆時。 上主,迫害我的人,不可勝數! 攻擊我的人,成群結隊!
Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu. Ee Bwana, tazama adui zangu walivyo wengi! Ni wengi kiasi gani wanaoinuka dhidi yangu!
Wengi wanasema juu yangu, “Mungu hatamwokoa.”
3 但是你,上主,是圍護我的盾牌,是我的榮耀,常使我首昂頭抬。
Lakini wewe, Ee Bwana, ni ngao pande zote; umeniwekea utukufu na kuinua kichwa changu.
Ninamlilia Bwana kwa sauti kuu, naye ananijibu kutoka mlima wake mtakatifu.
Ninajilaza na kupata usingizi; naamka tena, kwa maana Bwana hunitegemeza.
Sitaogopa makumi elfu ya adui, wanaojipanga dhidi yangu kila upande.
7 上主,請你興起奮發;我的天主,求你救拔,因為你擊破了我仇敵的腮頰,你打破眾惡人的門牙。
Ee Bwana, amka! Niokoe, Ee Mungu wangu! Wapige adui zangu wote kwenye taya, vunja meno ya waovu.
Kwa maana wokovu watoka kwa Bwana. Baraka yako na iwe juu ya watu wako.