< 詩篇 2 >

1 【默西亞必勝】萬邦為什麼囂張,眾民為什麼妄想?
Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya mabaya, na kabila za watu kula njama bure?
2 世上列民群集一堂,諸侯畢至聚首相商,反抗上主,反抗他的受傅者:
Wafalme wa dunia wanajipanga na watawala wanajikusanya pamoja dhidi ya Bwana na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake.
3 來!我們掙斷他們的綑綁,我們擺脫他們的繩韁!
Wanasema, “Tuvunje minyororo yao na kuvitupilia mbali vifungo vyao.”
4 坐於天上者在冷笑,我主對他們在熱嘲。
Yeye atawalaye mbinguni hucheka, Bwana huwadharau.
5 在震怒中對他們發言,在氣焰中對他們喝道:
Kisha huwakemea katika hasira yake na kuwaogopesha katika ghadhabu yake, akisema,
6 我已祝聖我的君王,在熙雍我的聖山上。
“Nimemtawaza Mfalme wangu juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
7 我要傳報上主的聖旨:上主對我說:你是我的兒子,我今日生了你。
Nitatangaza amri ya Bwana: Yeye aliniambia, “Wewe ni Mwanangu, leo mimi nimekuzaa.
8 你向我請求,我必將萬民賜你作產業,我必將八極賜你作領地。
Niombe, nami nitayafanya mataifa kuwa urithi wako, miisho ya dunia kuwa milki yako.
9 你必以鐵杖將他們粉碎,就如打破陶匠的瓦器。
Utawatawala kwa fimbo ya chuma na kuwavunjavunja kama chombo cha mfinyanzi.”
10 眾王!你們現在應當自覺,大地掌權者!你們應受教:
Kwa hiyo, ninyi wafalme, kuweni na hekima; mwonyeke, enyi watawala wa dunia.
11 應以敬愛之情事奉上主,戰戰兢兢向祂跪拜叩首;
Mtumikieni Bwana kwa hofu na mshangilie kwa kutetemeka.
12 以免祂發怒將你們滅於中途,因為祂的怒火發怒非常快速。凡一切投奔祂的人真是有福。
Mbusu Mwana, asije akakasirika nawe ukaangamizwa katika njia yako, kwa maana hasira yake inaweza kuwaka ghafula. Heri wote wanaomkimbilia.

< 詩篇 2 >