< 詩篇 2 >
1 【默西亞必勝】萬邦為什麼囂張,眾民為什麼妄想?
Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya mabaya, na kabila za watu kula njama bure?
2 世上列民群集一堂,諸侯畢至聚首相商,反抗上主,反抗他的受傅者:
Wafalme wa dunia wanajipanga na watawala wanajikusanya pamoja dhidi ya Bwana na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake.
Wanasema, “Tuvunje minyororo yao na kuvitupilia mbali vifungo vyao.”
Yeye atawalaye mbinguni hucheka, Bwana huwadharau.
Kisha huwakemea katika hasira yake na kuwaogopesha katika ghadhabu yake, akisema,
“Nimemtawaza Mfalme wangu juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
7 我要傳報上主的聖旨:上主對我說:你是我的兒子,我今日生了你。
Nitatangaza amri ya Bwana: Yeye aliniambia, “Wewe ni Mwanangu, leo mimi nimekuzaa.
8 你向我請求,我必將萬民賜你作產業,我必將八極賜你作領地。
Niombe, nami nitayafanya mataifa kuwa urithi wako, miisho ya dunia kuwa milki yako.
Utawatawala kwa fimbo ya chuma na kuwavunjavunja kama chombo cha mfinyanzi.”
10 眾王!你們現在應當自覺,大地掌權者!你們應受教:
Kwa hiyo, ninyi wafalme, kuweni na hekima; mwonyeke, enyi watawala wa dunia.
11 應以敬愛之情事奉上主,戰戰兢兢向祂跪拜叩首;
Mtumikieni Bwana kwa hofu na mshangilie kwa kutetemeka.
12 以免祂發怒將你們滅於中途,因為祂的怒火發怒非常快速。凡一切投奔祂的人真是有福。
Mbusu Mwana, asije akakasirika nawe ukaangamizwa katika njia yako, kwa maana hasira yake inaweza kuwaka ghafula. Heri wote wanaomkimbilia.