< 詩篇 18 >
1 【凱旋感恩歌】 上主的僕人達味作,向上主唱了這篇詩歌: 上主,我的力量,我愛慕你。
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa Bwana aliyomwimbia Bwana wakati Bwana alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli. Alisema hivi: Nakupenda wewe, Ee Bwana, nguvu yangu.
2 上主,你是我的磐石、我的保障,我的避難所;你是我的天主,我一心依靠的磐石;你是我的護盾,我救恩的角,我的堡壘。
Bwana ni mwamba wangu, ngome yangu na mwokozi wangu, Mungu wangu ni mwamba, ambaye kwake ninakimbilia. Yeye ni ngao yangu na pembe ya wokovu wangu, ngome yangu.
3 我一呼求應受頌揚的上主,我便會從仇敵的手中得救。
Ninamwita Bwana anayestahili kusifiwa, nami ninaokolewa kutoka kwa adui zangu.
Kamba za mauti zilinizunguka, mafuriko ya maangamizi yalinilemea.
5 陰府的繩韁纏繞著我,喪命的羅網拘絆著我。 (Sheol )
Kamba za kuzimu zilinizunguka, mitego ya mauti ilinikabili. (Sheol )
6 我在急難難當中呼求了上主,向我的天主求助;他由殿中聽我禱告,我的聲音進入祂的耳鼓。
Katika shida yangu nalimwita Bwana, nilimlilia Mungu wangu anisaidie. Kutoka hekaluni mwake alisikia sauti yangu, kilio changu kikafika mbele zake, masikioni mwake.
7 因為上主憤怒填胸,大地立即戰慄震驚,山基陵根搖撼移動。
Dunia ilitetemeka na kutikisika, misingi ya milima ikatikisika, vilitetemeka kwa sababu alikuwa amekasirika.
8 由祂的鼻孔湧出濃煙,由祂的口中噴出烈焰,由祂身上射出火炭。
Moshi ukapanda kutoka puani mwake, moto uteketezao ukatoka kinywani mwake, makaa ya moto yawakayo yakatoka ndani mwake.
9 祂使諸天低垂,親自降臨,在祂的腳下面密布濃雲。
Akazipasua mbingu akashuka chini, mawingu meusi yalikuwa chini ya miguu yake.
Alipanda juu ya kerubi akaruka, akapaa juu kwa mbawa za upepo.
Alifanya giza kuwa kitu chake cha kujifunika, hema lake kumzunguka, mawingu meusi ya mvua ya angani.
Kutokana na mwanga wa uwepo wake mawingu yalisogea, ikanyesha mvua ya mawe na umeme wa radi.
Bwana alinguruma kutoka mbinguni, sauti ya Aliye Juu Sana ilisikika.
14 祂射出羽箭,將人驅散;祂發出閃電,使人逃竄。
Aliipiga mishale yake na kutawanya adui, naam, umeme mwingi wa radi na kuwafukuza.
15 上主的呵斥一呼,鼻孔的怒氣一出,滄海的海底出現,大地的地基露綻。
Mabonde ya bahari yalifunuliwa, na misingi ya dunia ikawa wazi kwa kukaripia kwako, Ee Bwana, kwa uvumi wa pumzi kutoka puani mwako.
16 祂由高處伸手將我拉住,祂由洪水之中將我提出;
Alinyoosha mkono kutoka juu na kunishika; alinitoa kutoka kilindi cha maji makuu.
Aliniokoa kutoka adui wangu mwenye nguvu nyingi, kutoka adui zangu waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi.
18 他們在我困厄之日襲擊我,然而上主卻作了我的城堡;
Walinikabili siku ya msiba wangu, lakini Bwana alikuwa msaada wangu.
19 祂引領我步入廣闊的平原,祂因喜愛我而給了我救援。
Alinileta nje mahali penye nafasi tele, akaniokoa kwa kuwa alipendezwa nami.
20 上主照我的正義酬答了我,按我隻手的清白賞報了我;
Bwana alinitendea sawasawa na uadilifu wangu; sawasawa na usafi wa mikono yangu amenilipa.
21 因我遵行了上主的道路,沒有作惡背棄我的天主。
Kwa maana nimezishika njia za Bwana; sijatenda ubaya nikamwacha Mungu wangu.
22 祂的一切法令常在我的眼前,祂的任何誡命我總沒有棄損;
Sheria zake zote zi mbele yangu, wala sijayaacha maagizo yake.
Nimekuwa sina hatia mbele zake, nami nimejilinda nisitende dhambi.
24 因此,上主我在祂眼前的正道,並我隻手的清白給了我賞報。
Bwana amenilipa sawasawa na uadilifu wangu; sawasawa na usafi wa mikono yangu machoni pake.
25 仁慈的人,你待他仁慈;正直的人,你待他正直;
Kwa yeye aliye mwaminifu, unajionyesha kuwa mwaminifu, kwa asiye na hatia, unajionyesha kutokuwa na hatia.
26 純潔的人,你待他純潔;乖戾的人,你待他乖戾。
Kwa aliye mtakatifu, unajionyesha kuwa mtakatifu, lakini kwa aliyepotoka, unajionyesha kuwa mkaidi.
27 卑微的人,你必要救起;傲慢的人,你必要輕視。
Wewe huwaokoa wanyenyekevu, lakini huwashusha wenye kiburi.
28 上主,是你使我的燈籠放光,我主,是你把我的黑暗照亮。
Wewe, Ee Bwana, unaifanya taa yangu iendelee kuwaka; Mungu wangu hulifanya giza langu kuwa mwanga.
29 仗著你的助祐,我衝上了戰場;靠著我的天主,我跳過了城牆。
Kwa msaada wako naweza kushinda jeshi, nikiwa pamoja na Mungu wangu nitaweza kuruka ukuta.
30 天主的道路是完善的;上主的言語是精鍊的;凡是投奔祂的人,祂必作他的後盾。
Kuhusu Mungu, njia yake ni kamilifu, neno la Bwana halina dosari. Yeye ni ngao kwa wote wanaokimbilia kwake.
31 除了上主以外,還有誰是天主?我們天主以外,還有誰是磐石?
Kwa maana ni nani aliye Mungu zaidi ya Bwana? Ni nani aliye Mwamba isipokuwa Mungu wetu?
Mungu ndiye anivikaye nguvu na kufanya njia yangu kuwa kamilifu.
33 使我的雙腳敏捷與鹿蹄相同,使我能穩立於高山的危峰;
Huifanya miguu yangu kama miguu ya kulungu, huniwezesha kusimama mahali palipo juu.
34 是祂教導我的手上陣進攻,使我伸出臂膊開張了銅弓。
Huifundisha mikono yangu kupigana vita; mikono yangu inaweza kupinda upinde wa shaba.
35 你把救生的盾賜給了我,你的右手不斷扶持了我,使我日漸強大因你愛我。
Hunipa ngao yako ya ushindi, nao mkono wako wa kuume hunitegemeza, unajishusha chini ili kuniinua.
36 你為我的腳步拓展了道路,我的雙腳總沒有顛簸躊躇。
Huyapanua mapito yangu, ili miguu yangu isiteleze.
37 我追擊我的仇敵,並且把他們捕捉,決不返回,直到將他們除盡滅絕。
Niliwafuatia adui zangu na nikawapata, sikurudi nyuma mpaka walipoangamizwa.
38 我將他們打得一敗塗地,叫他們在我的腳下倒斃。
Niliwaseta hata hawakuweza kuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.
39 你使我腰纏英武奮勇作戰,叫敵對我的人都向我就範;
Ulinivika nguvu kwa ajili ya kupigana vita; uliwafanya adui zangu wasujudu miguuni pangu.
40 使我的敵人在我前轉背逃竄,使我把一切仇恨我的人驅散。
Uliwafanya adui zangu wageuke na kukimbia, nami nikawaangamiza adui zangu.
41 他們吶喊,卻沒有人救援,呼號上主,也得不到矜憐。
Walipiga yowe, lakini hapakuwepo na yeyote wa kuwaokoa; walimlilia Bwana, lakini hakuwajibu.
42 我粉碎他們像風吹的灰塵,我踐踏他們似道上的糞土。
Niliwaponda kama mavumbi yanayopeperushwa na upepo; niliwamwaga nje kama tope barabarani.
43 你救我脫離了判亂的人民,又封立了我為列國的元勳,我不認識的民族,也都來給我服務。
Umeniokoa kutokana na mashambulizi ya watu; umenifanya kuwa kiongozi wa mataifa, watu ambao sikuwajua wananitumikia.
44 外邦的子民向我諂媚奉承,一聽到是我,即刻向我服膺。
Mara wanisikiapo hunitii, wageni hunyenyekea mbele yangu.
Wote wanalegea, wanatoka katika ngome zao wakitetemeka.
46 上主萬歲! 願我的磐石備受讚頌!救我的天主備受尊崇!
Bwana yu hai! Sifa ni kwa Mwamba wangu! Atukuzwe Mungu Mwokozi wangu!
47 天主,是你為我伸冤復仇,求你使萬民都向我屈服;
Yeye ndiye Mungu anilipiziaye kisasi, awatiishaye mataifa chini yangu,
48 是你拯救我脫離我的仇敵,從凌駕我者的拳下,把我提起,救我免於向我施暴人的手裏。
aniokoaye na adui zangu. Uliniinua juu ya adui zangu; uliniokoa toka kwa watu wajeuri.
49 上主,為此,我要在異民中稱謝你,我要對你的聖名讚不已:
Kwa hiyo nitakusifu katikati ya mataifa, Ee Bwana; nitaliimbia sifa jina lako.
50 因為是你使你的君王大獲勝利,對你的受傅者:達味和他的後裔,廣施仁愛慈惠,至於無窮之世。
Humpa mfalme wake ushindi mkuu, huonyesha fadhili zake kwa mpakwa mafuta wake, kwa Daudi na wazao wake milele.