< 詩篇 150 >

1 亞肋路亞!請眾在上主的聖所讚美他,請眾在莊麗的蒼天讚美他,
Msifuni Bwana. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.
2 請眾為了上主的豐功偉業而讚美他,請眾為了上主的無限偉大而讚美他。
Msifuni kwa matendo yake makuu, msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
3 請眾吹起號角讚美他,請眾彈琴奏瑟讚美他。
Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta, msifuni kwa kinubi na zeze,
4 請眾敲鼓舞蹈讚美他,請眾拉絃吹笛讚美他。
msifuni kwa matari na kucheza, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
5 請眾以鐃鈸聲讚美他,請眾以鑼鼓聲讚美他。
msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
6 一切有氣息的生物,請讚美上主!亞肋路亞。
Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana. Msifuni Bwana!

< 詩篇 150 >