< 詩篇 150 >
1 亞肋路亞!請眾在上主的聖所讚美他,請眾在莊麗的蒼天讚美他,
Msifuni Bwana. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.
2 請眾為了上主的豐功偉業而讚美他,請眾為了上主的無限偉大而讚美他。
Msifuni kwa matendo yake makuu, msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta, msifuni kwa kinubi na zeze,
msifuni kwa matari na kucheza, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana. Msifuni Bwana!