< 詩篇 148 >
1 亞肋路亞!請您們在天上讚美上主,請您們在高處讚美上主!
Msifuni Yahwe. Msifuni Yahwe, ninyi mlio katika mbingu; msifuni yeye, ninyi mlio juu.
2 上主的眾天使,請讚美上主;上主的一切聖者,請讚美上主!
Msifuni yeye, enyi malaika wake wote; msifuni yeye, majeshi ya malaika wake wote.
3 太陽和月亮,請讚美上主;燦爛的諸星,請讚美上主!
Msifuni yeye, enyi jua na mwezi; msifuni yeye, nyota zote zing'aazo.
4 天上的諸天,請讚美上主;天上的雨水,請讚美上主!
Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu zaidi na maji yaliyo juu ya anga.
5 願它們齊來讚美上主的名號!因為上主一命令,它們立刻受造。
Na vilisifu jina la Yahwe, maana aliamuru, navyo vikaumbwa.
6 他確定的位置,留至永恒,他頒部的規律,永不變更。
Pia ameviimrisha milele na milele; naye alitoa amri ambayo haitabadilika.
Msifuni yeye kutoka nchi, ninyi viumbe wa baharini na viumbe vyote katika kina cha bahari,
8 還有電火與冰雹,白雪和雲霧,以及遵行他命令的狂風暴雨。
moto na mvua ya mawe, theluji na mawingu, upepo wa dhoruba ukitimiza neno lake.
Msifuni yeye, enyi milima na vilima, miti ya matunda na mierezi yote,
wanyama pori na wanyama wafugwao, viumbe vitambaavyo na ndege.
Msifuni Yahwe, wafalme wa nchi na mataifa yote, wakuu na watawala wote wa nchi,
wote vijana wa kiume na vijana wa kike, wazee na watoto.
13 請您們讚美上主的名字,因為只有他的名字高貴,他的尊嚴遠遠超越天地,
Na walisifu jina la Yahwe, kwa kuwa jina lake pekee limetukuka na utukufu wake umeongezwa juu ya nchi na mbingu.
14 上主使自己百姓的頭角高聳,他是他自己一切聖徒的讚頌,即接近他的以色列民的光榮。
Naye ameyainua mapembe ya watu wake kwa ajili ya sifa kutoka kwa waaminifu wake wote, Waisraeli, watu wa karibu naye. Msifuni Yahwe.