< 詩篇 145 >

1 我的天主,君王,我要頌揚您,歌頌您的名,世世代代不停止。
Nitakutukuza wewe, Mungu wangu, Mfalme; nitalihimidi jina lako milele na milele.
2 我要每日不斷讚美您,頌揚您的名,永遠不停止。
Kila siku nitakuhimidi; nitalisifu jina lako milele na milele.
3 偉大的上主,實在應受讚美,上主的偉大,高深不可推測;
Yahwe ndiye mkuu na wakusifiwa sana; ukuu wake hauchunguziki.
4 世世代代應宣揚上主的工程,世世代代應傳述上主的大能:
Kizazi kimoja kitayasifu matendo yako kwa kizazi kijacho na kitatangaza matendo yako makuu.
5 講述您的威嚴尊榮,彰明您的奇異化工,
Nitaitafakari fahari ya utukufu wa adhama yako na matendo yako ajabu.
6 述說您驚天動地的威能,不斷宣揚您的偉大無朋;
Watanena juu ya nguvu ya kazi zako za kutisha, nami nitatangaza ukuu wako.
7 廣傳您無窮慈愛的事跡,歡呼歌唱您的公義無限。
Nao watatangaza wingi wa wema wako, na wataimba kuhusu haki yako.
8 主慈悲為懷,寬宏大方;他常緩於發怒,仁愛無量。
Yahwe ni wa neema na huruma, si mwepesi wa hasira na mwingi katika uaminifu wa agano lake.
9 上主對待萬有,溫和善良,對他的受造物,仁愛慈祥。
Yahwe ni mwema kwa wote; huruma zake zi juu ya kazi zake zote.
10 上主,願您的一切受造物稱謝您,上主,願您的一切聖徒們讚美您,
Vyote ulivyo viumba vitakushukuru wewe, Yahwe; waaminifu wako watakutukuza wewe.
11 宣傳您王國的光榮,講處述您的威力大能,
Waaminifu wako watanena juu ya utukufu wa ufalme wako, na watahubiri juu ya nguvu zako.
12 讓世人盡知您的威能,您王國的偉大光榮。
Watayafanya matendo makuu ya Mungu ya julikane na wanadamu na utukufu wa fahari ya ufalme wake.
13 您的王國,是萬代的王國,您的王權,存留於無窮世;上主對自己的一切諾言,忠信不欺,上主對自己的一切受造,勝善無比。
Ufalme wako ni wa milele, na mamlaka yako ya dumu kizazi hata kizazi.
14 凡跌倒的,上主必要扶持,凡被壓抑的,使他們起立。
Yahwe huwategemeza wote waangukao na huwainua wote walioinama chini.
15 眾生的眼睛都仰望您,您準時賞給他們糧食。
Macho ya wote yanakungoja wewe; nawe huwapa chakula chao kwa wakati sahihi.
16 您伸出了您的雙手,滿足了眾生的需求。
Huufungua mkono wako na hukidhi haja ya kila kiumbe hai.
17 上主在他的一切路徑上,至公至義;上主在他的一切化工上,聖善無比。
Yahwe ni mwenye haki katika njia zake zote na neema katika yote afanyayo.
18 上主接近一切呼求祂的人,就是一切誠心呼求祂的人。
Yahwe yu karibu na wote wamwitao, wale wamwitao yeye katika uaminifu.
19 他必成全敬愛自己者的心願,聽到他們的呼號,必施以救援。
Hutimiza haja za wale wanao mheshimu yeye; husikia kilio chao na kuwaokoa.
20 凡愛慕上主的,上主必保護他們;凡作惡犯罪的,上主必消除他們。
Yahwe huwalinda wale wampendao, lakini atawaangamiza waovu wote.
21 願我的口舌稱述上主的光榮,願眾生讚美他的聖名於無窮!
Kinywa changu kitazinena sifa za Yahwe; wanadamu wote na walitukuze jina lake takatifu milele na milele.

< 詩篇 145 >