< 詩篇 136 >
1 請眾感謝上主,因他寬仁,因為他的仁慈永遠常存。
Oh, mshukuruni Yahwe; kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Oh, Mshukuruni Mungu wa miungu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Oh, mshukuruni Bwana wa mabwana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Mshukuruni yeye ambaye peke yake hufanya maajabu makuu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Yeye aliyezifanya mbingu kwa hekima zake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Mshukuruni yeye alitetandaza nchi juu ya maji, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Yeye aliyefanya mianga mikubwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Mshukuruni yeye alipaye jua kutawala mchana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Mwezi na nyota vitawale usiku, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
10 祂擊殺了埃及國的首生,因為祂的仁慈永遠常存。
Mshukuruni yeye aliyewaua wazaliwa wa kwanza wa Misri, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
11 祂領以色列走出埃及境,因為祂的仁慈永遠常存。
Akawatoa Waisraeli kati yao, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
12 祂伸出手臂施展了大能,因為祂的仁慈永遠常存。
Kwa mkono hodari na mkono ulio nyooshwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
13 祂把紅海的水從中分開,因為祂的仁慈永遠常存。
Mshukuruni yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
14 祂領以色列人海中步行,因為祂的仁慈永遠常存。
Na kuwapitisha Waisraeli katikati yake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
15 祂淹沒法郎軍隊於海心,因為祂的仁慈永遠常存。
Lakini akamtupa Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
16 祂率領百姓在曠野繞行,因為祂的仁慈永遠常存。
Mshukuruni yeye aliye waongoza watu wake jangwani, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wa milele.
17 祂嚴懲了最強悍的國君,因為祂的仁慈永遠常存。
Yeye aliyewaua wafalme wakuu, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wadumu milele.
18 祂擊殺了極強盛的國王,因為祂的仁慈永遠常存。
Mshukuruni yeye aliyewaua wafalme maarufu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
19 祂殺死了阿摩黎王息紅,因為祂的仁慈永遠常存。
Sihoni mfalme wa Waamori, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
20 祂殺死敖格,巴商之君,因為祂的仁慈永遠常存。
Na Ogu, mfalme wa Bashani, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
21 祂將異民地使選民佔領,因為祂的仁慈永遠常存。
Mshukuruni yeye aliyewapa nchi yao kama urithi, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
22 祂使己僕以色列人繼承,因為祂的仁慈永遠常存。
Urithi wa Israel mtumishi wake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
23 祂懷念了我們遭難的人,因為祂的仁慈永遠常存。
Yeye aliyetukumbuka na kutusaidia katika unyonge wetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
24 祂救拔我們脫離了仇人,因為祂的仁慈永遠常存。
Mshukuruni yeye ambaye ametupa ushindi juu ya aui zetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
25 祂給一切生靈提供食品,因為祂的仁慈永遠常存。
Yeye awapaye chakula viumbe hai wote, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
26 請眾感謝天主上居天庭,因為他的仁慈永遠常存。
Oh, mshukuruni Mungu wa mbinguni, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.