< 詩篇 136 >
1 請眾感謝上主,因他寬仁,因為他的仁慈永遠常存。
Mshukuruni Bwana, kwa kuwa ni mwema.
Mshukuruni Mungu wa miungu.
Mshukuruni Bwana wa mabwana:
Kwake yeye pekee atendaye maajabu makuu,
Ambaye kwa ufahamu wake aliziumba mbingu,
Ambaye aliitandaza dunia juu ya maji,
Ambaye aliumba mianga mikubwa,
Mwezi na nyota vitawale usiku,
10 祂擊殺了埃及國的首生,因為祂的仁慈永遠常存。
Kwake yeye aliyemuua mzaliwa wa kwanza wa Misri,
11 祂領以色列走出埃及境,因為祂的仁慈永遠常存。
Na kuwatoa Israeli katikati yao,
12 祂伸出手臂施展了大能,因為祂的仁慈永遠常存。
Kwa mkono wenye nguvu ulionyooshwa,
13 祂把紅海的水從中分開,因為祂的仁慈永遠常存。
Kwake yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu,
14 祂領以色列人海中步行,因為祂的仁慈永遠常存。
Na kuwapitisha Israeli katikati yake,
15 祂淹沒法郎軍隊於海心,因為祂的仁慈永遠常存。
Lakini alimfagia Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu,
16 祂率領百姓在曠野繞行,因為祂的仁慈永遠常存。
Kwake yeye aliyewaongoza watu wake katika jangwa,
17 祂嚴懲了最強悍的國君,因為祂的仁慈永遠常存。
Ambaye aliwapiga wafalme wenye nguvu,
18 祂擊殺了極強盛的國王,因為祂的仁慈永遠常存。
Naye aliwaua wafalme wenye nguvu,
19 祂殺死了阿摩黎王息紅,因為祂的仁慈永遠常存。
Sihoni mfalme wa Waamori,
20 祂殺死敖格,巴商之君,因為祂的仁慈永遠常存。
Ogu mfalme wa Bashani,
21 祂將異民地使選民佔領,因為祂的仁慈永遠常存。
Akatoa nchi yao kuwa urithi,
22 祂使己僕以色列人繼承,因為祂的仁慈永遠常存。
Urithi kwa Israeli mtumishi wake,
23 祂懷念了我們遭難的人,因為祂的仁慈永遠常存。
Aliyetukumbuka katika unyonge wetu,
24 祂救拔我們脫離了仇人,因為祂的仁慈永遠常存。
Alituweka huru toka adui zetu,
25 祂給一切生靈提供食品,因為祂的仁慈永遠常存。
Ambaye humpa chakula kila kiumbe.
26 請眾感謝天主上居天庭,因為他的仁慈永遠常存。
Mshukuruni Mungu wa mbinguni,