< 詩篇 126 >
Bwana alipowarejesha mateka wa Sayuni, tulikuwa kama waotao ndoto.
2 那時我們滿口喜氣盈盈,我們雙脣其樂融融。那時外邦異民讚歎不已:上主向他們行了何等奇事!
Vinywa vyetu vilijawa na vicheko na ndimi zetu zilijawa na kuimba. Kisha wakasema kati ya mataifa, “Yahwe amewatendea mambo makuu.”
Yahwe alitufanyia mambo makuu; ni furaha gani tuliyokuwa nayo!
4 上主,求您轉變我們的命運!就像乃革布有流水的澆淋。
Ee Yahwe, uwarejeshe mateka wetu, kama vijito vya kusini.
Wale wapandao kwa machozi watavuna kwa kelele za furaha.
6 他們邊行邊哭,出去播種耕耘,他們載欣載奔,回來背著禾捆。
Yeye aendaye akilia, akibeba mbegu kwa ajili a kupanda, atarudi tena kwa kelele za furaha, akileta miganda yake.