< 箴言 8 >
Je, hekima haitani? Je, ufahamu hapazi sauti?
Juu ya miinuko karibu na njia, penye njia panda, ndipo asimamapo;
kando ya malango yaelekeayo mjini, kwenye maingilio, hulia kwa sauti kubwa, akisema:
“Ni ninyi wanaume, ninaowaita; ninapaza sauti yangu kwa wanadamu wote.
5 幼稚的人,你們應學習機智;愚昧的人,你們應學習聰明。
Ninyi ambao ni wajinga, pateni akili; ninyi mlio wapumbavu, pateni ufahamu.
6 你們且聽,因為我要講論卓絕的事,開口述說正直的事。
Sikilizeni, kwa maana nina mambo muhimu ya kusema; ninafungua midomo yangu kusema lililo sawa.
Kinywa changu husema lililo kweli, kwa maana midomo yangu huchukia uovu.
Maneno yote ya kinywa changu ni haki; hakuna mojawapo lililopotoka wala ukaidi.
9 我的話為明白的人是誠實的,為有智識的人是正確的。
Kwa wenye kupambanua yote ni sahihi; hayana kasoro kwa wale wenye maarifa.
10 你們應聽取我的教訓,而不要銀子;應汲取智識,而不取純金;
Chagua mafundisho yangu badala ya fedha, maarifa badala ya dhahabu safi,
11 因為智慧勝過任何珍珠,任何可貪戀的事都不能與她倫比。
kwa maana hekima ina thamani kuliko marijani na hakuna chochote unachohitaji kinacholingana naye.
“Mimi hekima, nakaa pamoja na busara; ninamiliki maarifa na busara.
13 敬畏上主,就是憎恨邪惡傲慢驕橫,邪惡的行徑和欺詐的口舌,我都憎惡。
Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; ninachukia kiburi na majivuno, tabia mbaya na mazungumzo potovu.
Ushauri na hukumu sahihi ni vyangu; nina ufahamu na nina nguvu.
Kwa msaada wangu wafalme hutawala na watawala hutunga sheria zilizo za haki,
kwa msaada wangu wakuu hutawala, na wenye vyeo wote watawalao dunia.
Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona.
Utajiri na heshima viko kwangu, utajiri udumuo na mafanikio.
19 我的果實,勝過黃金純金;我的出產,比淨銀還要寶貴。
Tunda langu ni bora kuliko dhahabu safi; kile nitoacho hupita fedha iliyo bora.
Natembea katika njia ya unyofu katika mapito ya haki,
nawapa utajiri wale wanipendao na kuzijaza hazina zao.
22 上主自始即拿我作他行動的起始,作他作為的開端:
“Bwana aliniumba mwanzoni mwa kazi yake, kabla ya matendo yake ya zamani;
23 大地還沒有形成以前,遠自太古,從無始我已被立;
niliteuliwa tangu milele, tangu mwanzoni, kabla ya dunia kuumbwa.
24 深淵還沒有存在,水泉還沒有湧出以前,我已受生;
Wakati hazijakuwepo bahari, nilikwishazaliwa, wakati hazijakuwepo chemchemi zilizojaa maji;
25 山嶽還沒有奠定,丘陵還沒有存在以前,我已受生。
kabla milima haijawekwa mahali pake, kabla vilima havijakuwepo, nilikwishazaliwa,
26 那時,上主還沒有創造大地、原野、和世上土壤的原質;
kabla hajaumba dunia wala mashamba yake au vumbi lolote la dunia.
27 當他建立高天時,我已在場;當他在深淵之上劃出穹蒼時,
Nilikuwepo alipoziweka mbingu mahali pake, wakati alichora mstari wa upeo wa macho juu ya uso wa kilindi,
wakati aliweka mawingu juu na kuziweka imara chemchemi za bahari,
29 當他為滄海劃定界限,令水不要越境,給大地奠定基礎時,
wakati aliiwekea bahari mpaka wake ili maji yasivunje agizo lake, na wakati aliweka misingi ya dunia.
30 我已在他身旁,充作技師。那時,我天天是他的喜悅,不斷在他前歡躍,
Wakati huo nilikuwa fundi stadi kando yake. Nilijazwa na furaha siku baada ya siku, nikifurahi daima mbele zake,
nikifurahi katika dunia yake yote nami nikiwafurahia wanadamu.
32 那麼,我兒,你們且聽我:遵循我道路的人是有福的。
“Basi sasa wanangu, nisikilizeni; heri wale wanaozishika njia zangu.
Sikilizeni mafundisho yangu mwe na hekima; msiyapuuze.
34 凡聽從我言,天天在我門前守候,在我門框旁侍立的人,是有福的。
Heri mtu yule anisikilizaye mimi, akisubiri siku zote malangoni mwangu, akingoja kwenye vizingiti vya mlango wangu.
35 因為誰找到我,便是找到生命,他必由上主獲得恩寵。
Kwa maana yeyote anipataye mimi amepata uzima na kujipatia kibali kutoka kwa Bwana.
36 但是那得罪我的,等於傷害自己;凡憎恨我的,是自找死亡。
Lakini yeyote ashindwaye kunipata hujiumiza mwenyewe; na wote wanichukiao mimi hupenda mauti.”