< 箴言 25 >
1 以下也是撒羅滿的箴言,由猶大王希則克雅的人所蒐集:
Hizi tena ni mithali za Sulemani, zilinakiliwa na watu wa Hezekia, mfalme wa Yuda.
2 將事隱蔽,是天主的光榮;清察事實,是君王的光榮。
Ni utukufu wa Mungu kuficha jambo, bali utukufu wa wafalme kutafiti juu ya jambo.
Kama mbingu ni kwa kimo na dunia ni kwa kina, ndivyo hivyo moyo wa wafalme hauchunguziki.
Ondoa takataka kutoka kwenye fedha na mfua vyuma anaweza kutumia fedha katika ufundi wake.
Pamoja na hayo, waondoe watu waovu mbele ya mfalme na kiti chake cha enzi kitaimarishwa kwa kutenda haki.
Usijitukuze mwenyewe mbele ya mfalme na usisimame katika sehemu iliyoteuliwa kwa watu wakuu.
Ni bora yeye akuambie, “Njoo hapa” kuliko wewe kujiaibisha mbele ya mkuu.
8 你眼若有所見,不可冒然訴訟;人若使你難堪,你將何以善後﹖
Usiharakishe kufanya kuhukumu, kwa kile ulichokishuhudia. Maana utafanya nini mwishoni, wakati jirani yako atakapokuaibisha?
9 與你的近人,可自決爭端;他人的秘密,切不可洩漏;
Jitetee kesi yako kati ya jirani yako na wewe na usifunue siri ya mtu mwingine,
au vinginevyo anayekusikia ataleta aibu juu yako na taarifa mbaya juu yako haiwezi kunyamazishwa.
11 一句簡單話,若說得適當,有如銀盤中,放上金蘋果。
Kunena maneno yenye kuchaguliwa vizuri, ni kama nakshi za dhahabu iliyoungwa kwenye fedha.
12 明智的勸戒,對受教的人,無異於金環,或純金美飾。
Kama pete ya dhahabu au kito kilichotengenezwa kwa dhahabu safi ndivyo lilivyo karipio la busara kwenye sikio linalosikia.
13 忠誠的使者,對遣他的人,有如秋收時,吹來的涼風,使他主人的心感到愉快。
Kama baridi ya theluji wakati wa mavuno ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwa wenye kumtuma; huyahifadhi maisha ya mabwana wake.
Kama mawingu na upepo bila mvua ndivyo alivyo mwenye kujisifu kuhusu zawadi asiyoitoa.
Kwa uvumilivu mtawala anaweza kushawishiwa na ulimi raini unaweza kuvunja mfupa.
16 你找到蜂蜜,應按食量吃;怕吃的過多,反要吐出來。
Kama utapata asali, kula ya kutosha- vingenevyo, ukila nyingi sana, utaitapika.
17 鄰舍的住家,你應少踏入;怕他討厭你,反而憎恨你。
Usiweke mguu wako kwenye nyumba ya jirani yako mara nyingi, anaweza kuchoshwa nawe na kukuchukia.
18 作假見證陷害鄰舍的人,無異是鐵鎚、刀劍和利箭。
Mtu anayetoa ushuhuda wa uongo dhidi ya jirani yake ni kama rungu lililotumiwa katika vita, au upanga, au mshale mkali.
19 在患難之日,信賴無信用的人,有如信賴蛀壞的牙,脫節的腳。
Kumtumaini mtu asiye mwaminifu wakati wa taabu ni kama jino bovu au mguu unaoteleza.
20 對憂傷的心靈詠唱詩歌,無異在傷口處倒上酸醋。
Kama mtu anayevua nguo katika hali ya baridi, au kama siki iliyotiwa kwenye magadi, ndivyo alivyo anayeimba wimbo kwa mwenye moyo mzito.
21 若仇人餓了,你要給他吃;若是他渴了,應給他水喝:
Kama adui yako ana njaa, mpe chakula ale na kama ana kiu, mpe maji ya kunywa,
22 這是將火炭堆在他頭上,上主也必要因此還報你。
maana utamwekea mkaa juu ya kichwa chake na Yehova atakupa thawabu.
Ni hakika upepo wa kaskazini huleta mvua, ndivyo mtu anayesema siri hufanya sura zikasirike.
Ni bora kuishi kwenye pembe ya darini kuliko kuchangia nyumba pamoja na mwanamke mgomvi.
Kama maji ya baridi kwa mwenye kiu, ndivyo ilivyo habari njema kutoka nchi ya mbali.
26 義人如在惡人面前失足,無異弄混的水泉,弄濁的水井。
Kama chemchemi iliyochafuliwa au kisima kilichoharibiwa ndivyo alivyo mtu mwema ambaye huyumbayumba mbele ya watu waovu.
27 吃蜂蜜過多,有損無益;過於求光榮,反而受累。
Si vema kula asali nyingi mno; hivyo ni kama kutafuta heshima baada heshima.
28 人若不控制自己的脾氣,就如一座無牆無防的城市。
Mtu bila kujitawala ni kama mji ulibomolewa na usiokuwa na kuta.