< 箴言 10 >
1 智慧的兒子使父親喜樂;愚昧的兒子,使母親憂愁。
Mithali za Sulemani. Mwana mwenye hekima humfurahisha baba yake lakini mwana mpumbavu huleta majonzi kwa mama yake.
Hazina zilizolimbikizwa kwa uovu hakosa thamani, bali kwa kutenda haki hujilinda mbali na kifo.
Yehova hawaachi wale watendao haki wapate njaa, bali hamu ya waovu huizuia.
Mkono mlegevu humfanya mtu awe masikini, bali mkono wa mtu mwenye bidii hupata utajiri.
5 夏季貯蓄的,是明智的孩童;秋收酣睡的是無恥的兒子。
Mwana mwenye busara hukusanya mazao wakati wa kiangazi, bali ni aibu kwake alalaye wakati wa mavuno.
Zawadi kutoka kwa Mungu zipo juu ya kichwa cha wale watendao haki; bali kinywa cha uovu hufunikwa kwa jeuri.
Mtu atendaye haki anatufurahisha tunapomkumbuka, bali jina la mwovu litaoza.
8 心靈智慧的人,必接受命令;饒舌的愚的人,必自招喪亡。
Wale wenye akili hukubali maagiza, bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataangamia.
Yeye anayetembea katika uadilifu hutembea katika usalama, bali yule anayepotosha njia zake, ataonekana.
10 暗中擠眼的人,必引人煩惱;坦然規勸的人,必促進和平。
Yeye ambaye hukonyeza kwa jicho lake huleta majonzi, bali mpumbavu mwenye maneno mengi atatupwa chini.
11 義人的口,是生命的泉源;惡人的口,是殘暴的淵藪。
Kinywa cha mwenye kutenda haki ni kama chemchemi ya maji ya uzima, bali kinywa cha uovu hufunikwa kwa jeuri.
Chuki huchochea mafarakano, bali upendo hufunika juu ya makwazo yote.
13 有見識的口唇上,可找著智慧;棍杖只是為打缺乏智慧者的脊背。
Hekima inapatikana kwenye kinywa cha mtu mwenye ufahamu, bali fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa yule asiye na akili.
14 智慧的人,隱諱自己的學問;愚昧人的口,招致逼近的喪亡。
Watu wenye hekima hutunza maarifa, bali kinywa cha mpumbavu huleta uharibifu karibu.
15 富人的財富,是他自己的堅城;窮人的零落,卻是他們的貧乏。
Mali ya mtu tajiri ni mji wake mwenye ngome; ufukara wa masikini ni uharibifu wao.
16 義人的薪金,用以維持生活;惡人的收入,卻只用來犯罪。
Mshahara wa watenda haki huelekea kwenye uzima; manufaa ya waovu huelekea dhambini.
17 誰遵守勸告,必走向生命之路;誰輕視規勸,必自誤入迷途。
Kuna njia kwenda kwenye uzima kwa yule anayefuata maongozo, bali anayekataa maonyo hupotea.
18 撒謊的唇舌,必暗藏仇恨;散播謠言的,必是愚昧人。
Yeye afichaye chuki anamidomo ya uongo, na yeye anayesambaza kashfa ni mpumbavu.
Katika maneno mengi, hapakosi uhalifu, bali aliyemwangalifu katika usemi wake ni mwenye busara.
Ulimi wa yule atendaye haki ni fedha safi; kuna thamani ndogo katika moyo wa mbaya.
21 義人的唇舌教育群眾,愚人必因缺乏心智而死亡。
Midomo ya yule atendaye haki huwastawisha wengi, bali wapumbavu hufa kwa sababu ya kukosa akili.
22 使人致富的,是上主的祝福;營營的辛勞,卻無補於事。
Zawadi njema za Yehova huleta utajiri na haweki maumivu ndani yake.
Uovu ni mchezo achezao mpumbavu, bali hekima ni furaha kwa mtu mwenye ufahamu.
24 惡人畏懼的,反向他侵襲;義人的希望,終獲得應允。
Hofu ya mwenye uovu humkumba ghafla, bali shauku ya mwenye haki itatimizwa.
Waovu ni kama dhoruba inayopita, na hawapo tena, bali mwenye haki ni msingi unaodumu milele.
26 懶漢之於派遣他的人,就如醋之於牙,煙之於目。
Kama siki kwenye meno na moshi kwenye macho, ndivyo alivyo mvivu kwa wale waliomtuma.
27 敬畏上主,將延年益壽;惡人的歲月,必要短縮。
Hofu ya Yehova huongeza maisha, bali miaka ya waovu itakuwa mifupi.
28 義人的期待,終歸是喜樂;惡人的希望,終歸是失望。
Matumaini ya wale watendao haki ndiyo furaha yao, bali miaka ya waovu itakuwa mifupi.
29 上主的道路,是正人君子的保障;為作惡的人,卻是滅亡。
Njia ya Yehova huwalinda wale wenye uadilifu, bali kwa waovu ni uhalibifu.
Wale watendao haki hawataondolewa, bali waovu hawatabaki katika nchi.
Katika kinywa cha wale watendao haki hutoka tunda la hekima, bali ulimi wa kupotosha utakatwa.
Midomo ya wale watendao mema huyajua yanayokubalika, bali kinywa cha waovu, huyajua yanayopotosha.