< 尼希米記 10 >

1 在上面蓋印的,先是哈加里亞的兒子乃赫米雅省長,後為漆德克雅、
Wale waliotia muhuri walikuwa: Nehemia mtawala, mwana wa Hakalia. Sedekia,
2 色辣雅、阿匝黎雅、耶勒米雅、
Seraya, Azaria, Yeremia,
3 帕市胡爾、阿瑪黎雅、瑪耳基雅、
Pashuri, Amaria, Malkiya,
4 哈突士、舍巴尼雅、瑪路客、
Hatushi, Shebania, Maluki,
5 哈陵、默勒摩特、敖巴狄雅、
Harimu, Meremothi, Obadia,
6 達尼耳、金乃通、巴魯克、
Danieli, Ginethoni, Baruku,
7 默叔藍、阿彼雅、米雅明、
Meshulamu, Abiya, Miyamini,
8 瑪阿齊雅、彼耳蓋、舍瑪雅:以上都是司祭。
Maazia, Bilgai na Shemaya. Hawa ndio waliokuwa makuhani.
9 以下是肋未人:阿匝尼雅的兒子耶叔亞、彼奴依,赫那達得的子孫卡德米耳,
Walawi: Yeshua mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli,
10 和他們的族人:舍巴尼雅、曷狄雅、刻里達、培拉雅、哈南、
na wenzao: Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,
11 米加、勒曷布、哈沙彼雅、
Mika, Rehobu, Hashabia,
12 匝雇爾、舍勒彼雅、舍巴尼雅、
Zakuri, Sherebia, Shebania,
13 曷狄雅、巴尼、貝尼奴。
Hodia, Bani na Beninu.
14 民眾的首領:帕洛市、帕哈特摩阿布、厄藍、匝突、巴尼、
Viongozi wa watu: Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani,
15 步尼、阿次加得、貝拜、
Buni, Azgadi, Bebai,
16 阿多尼雅、彼革外、阿丁、
Adoniya, Bigwai, Adini,
17 阿特爾、希則克雅、阿組爾、
Ateri, Hezekia, Azuri,
18 曷狄雅、哈雄、貝宰、
Hodia, Hashumu, Besai,
19 哈黎布、阿納托特、乃拜、
Harifu, Anathothi, Nebai,
20 瑪革丕阿士、默叔藍、赫齊爾默、
Magpiashi, Meshulamu, Heziri,
21 舍匝貝耳、匝多克、雅杜亞、
Meshezabeli, Sadoki, Yadua,
22 培拉提雅、哈南、阿納雅、
Pelatia, Hanani, Anaya,
23 曷舍雅、哈納尼雅、哈叔布、
Hoshea, Hanania, Hashubu,
24 哈羅赫士、丕耳哈、芍貝克、
Haloheshi, Pilha, Shobeki,
25 勒洪、哈沙貝納、瑪阿色雅、
Rehumu, Hashabna, Maaseya,
26 阿希雅、哈南、阿南、
Ahiya, Hanani, Anani,
27 瑪路客、哈陵、巴阿納。
Maluki, Harimu na Baana.
28 其餘的民眾、司祭、肋未人、門丁、歌詠者、獻身者,和所有脫離各地人民而來歸奉天主法律的人,連同他們的妻子兒女,及凡有知識能懂事的人,
“Watu wengine wote, wakiwa ni makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji, watumishi wa Hekalu, na wale wote waliojitenga na mataifa jirani kwa ajili ya Sheria ya Mungu, pamoja na wake zao na wana wao na binti zao wote waliokuwa na uwezo wa kufahamu,
29 都支持他們為首領的同胞,起咒宣示,必按天主的法律去行,就是遵行天主的僕人梅瑟所頒佈的法律,並遵守履行上主我們的天主的一切命令、規矩和制度;
basi hawa wote wanajiunga na ndugu zao na wakuu wao, na kujifunga kwa laana na kwa kiapo kufuata Sheria ya Mungu iliyotolewa kupitia kwa Mose mtumishi wa Mungu, na kutii kwa uangalifu amri zote, maagizo na sheria za Bwana, Bwana wetu.
30 決不將我們的女兒嫁給外方人民,也不為我們的兒子娶他們的女兒。
“Tunaahidi kutowaoza binti zetu kwa watu wanaotuzunguka, wala kuwaoza wana wetu binti zao.
31 外方人民若是在安息日,運貨物或各種食糧來販賣,我們在安息日或聖日,決不向他們購買什麼;每七年停止耕種,豁免一切債務。
“Wakati mataifa jirani waletapo bidhaa zao au nafaka kuuza siku ya Sabato, hatutazinunua kutoka kwao siku ya Sabato, wala siku nyingine yoyote takatifu. Kila mwaka wa saba, tutaacha kuilima ardhi na tutafuta madeni yote.
32 我們又為自己定下規矩,每年要繳納三分之一「協刻耳,」作為我們天主殿中祭祀之用:
“Tunakubali wajibu wa kutimiza amri za kutoa theluthi ya shekeli kila mwaka kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu:
33 備辦供餅、恆常祭品、全燔祭品,安息日、月朔和慶節應獻的祭品和各種祭物,為以色列贖罪的贖罪祭品,以及我們天主殿內的一切工作費用。
Kwa ajili ya mikate ya Wonyesho, kwa ajili ya sadaka za kawaida za nafaka na sadaka za kuteketezwa, kwa ajili ya sadaka za siku za Sabato, Sikukuu za Mwandamo wa Mwezi na sikukuu nyingine zilizoamriwa, kwa ajili ya sadaka takatifu, kwa ajili ya sadaka za dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, na kwa ajili ya kazi zote za nyumba ya Mungu wetu.
34 我們司祭、肋未人和人民,拈鬮規定,按照家族,每年照一定的時間,我們天主的聖殿獻納木柴,放在上主我們的天主的祭壇上燃燒,如法律上所記載的;
“Sisi makuhani, Walawi na watu, tumepiga kura kuamua kuwa kila mmoja wa jamaa zetu lazima alete katika nyumba ya Mungu wetu kwa nyakati maalum kila mwaka mchango wa kuni za kukokea moto katika madhabahu ya Bwana Mungu wetu, kama ilivyoandikwa katika Sheria.
35 又當把田地的初熟之物,以及各種樹木的初熟鮮果,每年獻於上主聖殿;
“Pia tunachukua wajibu wa kuleta malimbuko ya mazao yetu na matunda ya kwanza ya kila mti wa matunda katika nyumba ya Bwana kila mwaka.
36 按照法律所載,將我們的兒子和家畜中的首生者,以及我們牛羊中的首生者,獻於我們天主的聖殿,交給我們在天主殿內奉職的司祭;
“Kama pia ilivyoandikwa katika Sheria, tutawaleta wazaliwa wetu wa kwanza wa kiume, na wa mifugo yetu, yaani wa ngʼombe wetu na wa makundi yetu ya kondoo na mbuzi, katika nyumba ya Mungu wetu, kwa ajili ya makuhani wanaohudumu huko.
37 把我們初熟的粗麵餅、祭品、各種樹木的果實、新酒和油,交給司祭,送到我們天主聖殿的廊房裏;將我們田地出產的十分之一,送給肋未人,肋未人應親自在各城鎮,徵收我們勞作的十分之一。
“Zaidi ya hayo, tutaleta katika ghala za nyumba ya Mungu wetu, kwa makuhani, vyakula vya kwanza vya mashamba yetu, sadaka zetu za nafaka, matunda ya miti yetu yote, divai yetu mpya na mafuta. Nasi tutaleta zaka za mazao yetu kwa Walawi, kwa kuwa Walawi ndio ambao hukusanya zaka katika miji yote tunakofanya kazi.
38 當肋未人徵收十分之一時,亞郎子孫中的一個司祭,應與肋未人在一起;肋未人應將所得什一中的十分之一,獻於我們的天主聖殿,交入聖殿廊房的寶庫,
Kuhani atokanaye na uzao wa Aroni atashirikiana na Walawi wakati wanapopokea zaka, nao Walawi itawapasa kuleta sehemu ya kumi ya zaka katika nyumba ya Mungu wetu katika ghala za hazina.
39 因為以色列子民和肋未的子孫,應把所獻的五穀、酒和油,送到廊房內,聖所的器具存在那裏,奉職的司祭,守門者和歌詠者也住在那裏,對們天主的聖殿,再也不敢怠慢。
Watu wa Israeli pamoja na Walawi itawapasa kuleta michango yao ya nafaka, divai mpya na mafuta katika vyumba vya ghala, mahali vifaa vya mahali patakatifu vinapohifadhiwa, na wanapokaa makuhani wanaohudumu, na mabawabu na waimbaji. “Hatutaacha kuijali nyumba ya Mungu wetu.”

< 尼希米記 10 >