< 約伯記 34 >
2 你們有智慧的人,請聽我言;你們明白人,請側耳聽我。
“Sikieni maneno yangu, enyi watu wenye hekima; nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye maarifa.
Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama vile ulimi uonjavyo chakula.
4 讓我們來檢討一下誰為正義,讓我們看看何者為善。
Tujichagulie wenyewe yaliyo sawa, nasi tujifunze pamoja yaliyo mema.
5 約伯說過:「我是無罪的,但我的理,卻為天主奪去。
“Ayubu anasema, ‘Mimi sina hatia, lakini Mungu ameninyima haki yangu.
6 我雖無罪無辜,卻成了說謊者;我雖未行不義,卻受了不可醫治的創傷。」
Ingawa niko sawa, ninaonekana mwongo; nami ingawa sina kosa, kidonda changu hakiponi.’
Ni mtu gani aliye kama Ayubu, anywaye dharau kama maji?
Ashirikianaye na watenda mabaya na kuchangamana na watu waovu.
9 他豈不是說過:「盡心悅樂天主,為人能有什麼好處﹖」
Kwa kuwa anasema, ‘Haimfaidi mwanadamu kitu chochote anapojitahidi kumpendeza Mungu.’
10 為此,你們心地明白的人,請聽我說,天主決不行惡,全能者決無不義!
“Hivyo nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye ufahamu. Kamwe Mungu hatendi uovu, Mwenyezi hafanyi kosa.
Humlipa mwanadamu kwa ajili ya lile alilotenda; huleta juu yake kile ambacho matendo yake yanastahili.
Ni jambo lisiloweza kufikiriwa kwamba Mungu angefanya makosa, kwamba Mwenyezi angepotosha hukumu.
Je, ni nani aliyemtawaza juu ya dunia? Ni nani aliyemweka kuwa mwangalizi wa ulimwengu wote?
Kama lilikuwa kusudi la Mungu, naye akaiondoa Roho yake na pumzi yake,
wanadamu wote wangeliangamia kwa pamoja, na mtu angerudi mavumbini.
“Kama ninyi mnaufahamu, sikieni hili; sikilizeni hili nisemalo.
17 憎恨正義的,豈能掌權﹖而你竟敢定那至公義者的罪﹖
Je, yeye aichukiaye haki aweza kutawala? Je, utamhukumu mwenye haki, Aliye na Nguvu Zote?
Je, si ni yeye awaambiaye wafalme, ‘Ninyi hamfai kitu,’ nao watu mashuhuri, ‘Ninyi ni waovu,’
19 他對權貴不顧情面,亦不重富輕貧,因為都是他一手造成的。
yeye asiyependelea wakuu, wala haonyeshi upendeleo kwa matajiri kuliko maskini, kwa kuwa wote ni kazi ya mikono yake?
20 他們猝然在半夜死去,貴族能立即氣絕逝世;他剷除權貴者,無須人手。
Wanakufa ghafula, usiku wa manane; watu wanatikiswa nao hupita; wenye nguvu huondolewa bila mkono wa mwanadamu.
“Macho yake yanazitazama njia za wanadamu; anaona kila hatua yao.
Hakuna mahali penye giza nene, wala uvuli mkubwa, ambapo watenda mabaya wanaweza kujificha.
Mungu hana haja ya kumchunguza mtu sana, ili apate kuja mbele zake kwa hukumu.
24 他粉碎權勢者,無須審察,即刻能派定別人代替他們。
Bila kuuliza huwapondaponda wenye nguvu nyingi na kuwaweka wengine mahali pao.
25 他原知道他們的行為,一夜之間將他們推翻消滅。
Kwa sababu huyaangalia matendo yao yote, huwaondoa usiku, nao wakaangamia.
Anawaadhibu kwa ajili ya uovu wao mahali ambapo kila mmoja ataweza kuwaona,
kwa sababu wameacha kumfuata Mungu, nao hawakuiheshimu njia yake hata moja.
28 致使窮人的哀號上達於他,使他聽到了受苦者的哀求。
Wamesababisha kilio cha maskini kifike mbele zake, hivyo akasikia kilio cha wahitaji.
29 他若安息,誰敢騷擾﹖他若掩面,誰敢窺視﹖他對國對人都予以監視,
Lakini kama akinyamaza kimya, ni nani awezaye kumhukumu? Kama akiuficha uso wake, ni nani awezaye kumwona? Ikiwa ni taifa au mtu mmoja, kwake ni sawa,
ili kumzuia mtu mwovu kutawala, au wale ambao huwategea watu mitego.
31 如果惡人向天主說:「我受了欺騙,以後不再作惡。
“Kama mwanadamu akimwambia Mungu, ‘Nimekosa lakini sitatenda dhambi tena.
32 我所看不透的,求你指教我;我若以前作了孽,不敢再做了。」
Nifundishe nisichoweza kuona; kama nimekukosea, sitafanya hivyo tena.’
33 他施行報應,豈應隨你的心意﹖或者你能拒絕不受嗎﹖決定的是你,而不是我! 你若知道,儘管說罷!
Je basi, Mungu atakulipa kwa masharti yako, wakati wewe umekataa kutubu? Yakupasa wewe uamue, wala si mimi; sasa niambie lile ulijualo.
34 但是心地聰明,具有智慧,且聽我說話的人,必要對我說:「
“Wanadamu wenye ufahamu husema, wenye hekima wanaonisikia huniambia,
‘Ayubu huongea bila maarifa; maneno yake hayana busara.’
36 為此,約伯還要受徹底的究察,因為他的答覆好似出自惡人之口,
Laiti Ayubu angejaribiwa hadi kikomo cha mwisho, kwa sababu anajibu kama mtu mwovu!
37 因為他在罪上又加反叛,當著我們磨拳擦掌,講出許多相反天主的話。
Kwenye dhambi yake huongeza uasi; kwa dharau hupiga makofi miongoni mwetu, na kuzidisha maneno yake dhidi ya Mungu.”