< 約伯記 25 >
Ndipo Bildadi Mshuhi akajibu:
“Mamlaka na kuheshimiwa ni vyake Mungu; yeye huthibitisha amani katika mbingu juu.
3 他的隊伍,豈可勝數﹖他的光明升起,誰不蒙受照耀﹖
Je, majeshi yake yaweza kuhesabika? Ni nani asiyeangaziwa na nuru yake?
4 人在天主面前,怎能自以為義﹖婦人所生的,怎能自稱潔淨﹖
Mtu awezaje kuwa mwadilifu mbele za Mungu? Awezaje mtu aliyezaliwa na mwanamke kuwa safi?
Ikiwa hata mwezi sio mwangavu nazo nyota si safi machoni pake,
sembuse mtu ambaye ni funza: mwanadamu ambaye ni buu tu!”