< 約伯記 17 >

1 我的氣息已斷,壽命已盡,而且墳墓已為我做好。
Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
2 我豈不是成了笑罵的對象﹖我的眼睛豈不是在酸苦中過夜﹖
Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
3 求你將我的抵押放在你那裏! 誰還敢與我擊掌作保﹖
Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
4 因為你蒙蔽了他們的心,不叫他們明白,他們纔不敢舉起手來。
Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
5 人請自己的朋友分享所有,但自己的子女卻餓的眼目昏花。
Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
6 我成了人民取笑的資料,人人在我臉上可吐唾沫。
Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
7 我的眼睛因愁悶而昏花,我的肢體消失有如蔭影。
Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
8 正直人因此而驚異,無罪者憤起攻擊惡人。
Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
9 義人堅持自己的道,手淨的人倍增勇氣。
Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
10 你們眾人,請你們再回來,但在你們中我找不到一個智者。
Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
11 我的時日已過去,我志所謀,我心所愛,都已落空。
Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
12 他們將黑夜變為白天,使光明靠近黑暗;
Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
13 若是我還有希望,即以陰府為我的家;在憂暗之處,舖設我的床榻。 (Sheol h7585)
Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol h7585)
14 我對墓穴說:你作我父! 對蛆蟲說:你作我母,我妹!
tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
15 我的希望究在何處﹖我的幸福,有誰注意﹖
liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
16 這一切只有和我一同降入陰府,一同安息在灰塵中。 (Sheol h7585)
Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol h7585)

< 約伯記 17 >