< 創世記 5 >
1 以下是亞當後裔的族譜:當天主造人的時候,是按天主的肖像造的,
Hii ni orodha ya vizazi vya Adamu. Katika siku ambayo Mungu alimuumba mtu, aliwaumba katika mfano wake mwenyewe.
2 造了一男一女,且在造他們的那一天,祝福了他們,稱他們為「人。」
Mwanaume na mwanamke aliwaumba. Akawabariki na akawaita Adam wakati walipoumbwa.
3 亞當一百三十歲時,生了一個兒子,也像自己的模樣和肖像,給他起名叫舍特。
Wakati Adamu alipokuwa ameishi miaka 130, akamzaa mwana katika sura yake mwenyewe, kwa mfano wake, na akamuita jina lake Sethi.
Baada ya Adamu kumzaa Sethi, aliishi miaka mia nane. Akawazaa wana wengi waume na wake.
Adamu akaishi miaka 930 kisha akafariki.
Wakati Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.
7 舍特生厄諾士後,還活了八百零七年,生了其他的兒女。
Baada ya kumzaa Enoshi, akaishi miaka 807 na akawazaa wana wengi waume na wake.
Sethi akaishi miaka 912 kisha akafariki.
Wakati Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
10 厄諾士生刻南後,還活了八百一十五年,生了其他的兒女。
Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815. Akazaa wana wengi wa ume na wake.
Enoshi aliishi miaka 905 na kisha akafariki.
Wakati Kanani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
13 刻南生瑪拉肋耳後,還活了八百四十年,生了其他的兒女。
Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840. Akawazaa wana wengi wa ume na wake.
Kenani aliishi miaka 910, na kisha akafariki.
Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, alimzaa Yaredi.
16 瑪拉肋耳生耶勒得後,還活了八百三十年,生了其他的兒女。
Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830. Akazaa wana wengi wa ume na wake.
Mahalaleli aliishi miaka 895 na kisha akafariki.
Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, alimzaa Henoko.
19 耶勒得生哈諾客後,還活了八百年,生了其他的兒女。
Baada ya kumzaa Henoko, Yaredi aliishi miaka mianane. Akazaa wana wengi waume na wake.
Yaredi aliishi miaka 962 na kisha akafariki.
Henoko alipokuwa ameishi miaka sitini na tano, akamzaa Methusela.
22 哈諾客生默突舍拉後,還活了三百年,生了其他的兒女。
Henoko akaenenda na Mungu miaka miatatu baada ya kumzaa Methusela. Aliwazaa wana wengi wa ume na wake.
Henoko aliishi miaka 365.
24 哈諾客時與天主往來,然後就不見了,因為天主將他提去。
Henoko alienenda na Mungu, na kisha alitoweka, kwa kuwa Mungu alimtwaa.
Wakati Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, alimzaa Lameki.
26 默突舍拉生了拉默客後,還活了七百八十二年,生了其他的兒女。
Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782. Akawazaa wana wengi wa ume na wake.
Methusela aliishi miaka 969. Kisha akafariki.
Wakati Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.
29 給他起名叫諾厄說:「這孩子要使我們在上主詛咒的地上,在我們做的工作和勞苦上,獲得欣慰! 」
Akamuita jina lake Nuhu, akisema, “Huyu ndiye atatupatia pumziko kutoka katika kazi yetu na kutoka katika kazi ya taabu ya mikono yetu, ambayo lazima tuifanye kwa sababu ya ardhi ambayo Yahwe ameilaani.”
30 拉默客生諾厄後,還活了五百九十五年,生了其他的兒女。
Lameki aliishi miaka 595 baada ya kumzaa baba wa Nuhu. Akazaa wanawengi wa ume na wake.
Lameki aliishi miaka 777. Kisha akafariki.
Baada ya Nuhu kuishi miaka miatano, akamzaa Shemu, Hamu, na Yafethi.