< 出埃及記 40 >
Kisha Bwana akamwambia Mose:
“Simika Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania, katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza.
Weka Sanduku la Ushuhuda ndani yake na ulifunike kwa pazia. Ingiza meza na kupanga vitu vyake juu yake.
4 把供桌搬進,擺上當供之物;把燈台搬進,安放上燈盞。
Kisha ingiza kinara cha taa na uweke taa zake juu yake.
Weka madhabahu ya dhahabu ya kufukizia uvumba mbele ya Sanduku la Ushuhuda kisha uweke pazia kwenye lango la Maskani ya Mungu.
“Weka madhabahu ya sadaka za kuteketezwa mbele ya lango la Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania;
weka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, na uweke maji ndani yake.
Fanyiza ua kuzunguka maskani na uweke pazia penye ingilio la ua.
9 以後拿傅禮的油,給帳棚和其中的一切器具傅油,祝聖帳棚和其中的一切器具,使之成為聖物:
“Chukua mafuta ya upako, ipake Maskani ya Mungu pamoja na kila kitu kilichomo ndani yake; iweke wakfu pamoja na vitu vyote vilivyomo ndani mwake, nayo itakuwa takatifu.
10 即給全燔祭及其一切用具傅油,祝聖祭壇,使之成為至聖的;
Kisha yapake mafuta hayo madhabahu ya kuteketezea sadaka pamoja na vifaa vyake vyote; weka wakfu madhabahu nayo yatakuwa takatifu sana.
Paka sinia mafuta pamoja na kishikilio chake na uviweke wakfu.
12 以後叫亞郎和他的兒子們來近會幕門口,用水洗他們。
“Mlete Aroni na wanawe kwenye ingilio la Hema la Kukutania na uwaoshe kwa maji.
13 給亞郎穿上聖衣,給他傅油,祝聖他作我的司祭。
Kisha mvike Aroni yale mavazi matakatifu, umtie mafuta na kumweka wakfu ili apate kunitumikia katikati ya ukuhani.
Walete wanawe na uwavike makoti.
15 像給他們的父親傅油一樣,也給他們傅油,叫他們作我的司祭。給他們行傅油禮,表示他們世世代代,永遠盡司祭之職。
Kisha watie mafuta kama ulivyomtia baba yao, ili nao pia wanitumikie katika kazi ya ukuhani. Kutiwa mafuta kwao kutakuwa kwa ajili ya ukuhani utakaoendelea kwa vizazi vyote vijavyo.”
16 梅瑟行了一切;上主怎樣吩咐他的,他就怎樣作了。梅瑟遵從上主的吩咐
Mose akafanya kila kitu sawa kama vile Bwana alivyomwagiza.
Kwa hiyo Maskani ya Mungu ilisimikwa katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza, katika mwaka wa pili.
18 梅瑟豎立了帳棚,安上卯座,放上木板,安上橫木,豎起柱子。
Mose alipoweka wakfu Maskani ya Mungu, aliweka vitako mahali pake, akasimamisha mihimili, akatia mataruma na kusimamisha nguzo.
19 將幕頂展開放在帳棚上,將幕頂的罩放在上面,全照上主向梅瑟所吩咐的。
Kisha akalitandaza hema juu ya Maskani ya Mungu na kuifunika hema, kama Bwana alivyomwagiza.
20 隨後取了約版放在櫃內,櫃旁穿上杠桿,將贖罪蓋安在約櫃上面。
Akachukua ule Ushuhuda na kuuweka ndani ya Sanduku la Agano, akaweka ile mipiko ya kubebea hilo Sanduku na kuweka kiti cha rehema juu yake.
21 將櫃抬到帳棚內,懸上帳幔,遮住約櫃,如上主向梅瑟所吩咐的。
Kisha Mose akalileta Sanduku ndani ya Maskani ya Mungu, akatundika pazia ili kulifunika Sanduku la Ushuhuda, kama Bwana alivyomwagiza.
22 以後把供桌放在會幕內,放在帳棚北邊,帳幔以外;
Mose akaweka meza ndani ya Hema la Kukutania, upande wa kaskazini ya Maskani ya Mungu nje ya pazia
na kupanga mikate juu yake mbele za Bwana, kama Bwana alivyomwagiza.
Akaweka kinara cha taa ndani ya Hema la Kukutania mkabala na meza upande wa kusini mwa Maskani ya Mungu
na kuziweka taa mbele za Bwana, kama Bwana alivyomwagiza.
Mose akaweka madhabahu ya dhahabu ndani ya Hema la Kukutania mbele ya pazia
27 在壇上燃燒馨香的香料,如上主向梅瑟所吩咐的。
na kufukiza uvumba wenye harufu nzuri, kama Bwana alivyomwagiza.
Kisha akaweka pazia kwenye ingilio la Maskani ya Mungu.
29 將全燔祭台安放在會幕門口,在上面奉獻全燔祭和素祭,如上主向梅瑟所吩咐的。
Mose akaweka madhabahu ya sadaka za kuteketezwa karibu na ingilio la Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania, na kutoa juu yake sadaka za kuteketezwa na sadaka za nafaka kama Bwana alivyomwagiza.
30 將盆安置在會幕和祭壇之中,盆內放了水,為洗濯之用。
Akaweka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, akaweka maji ndani yake kwa ajili ya kunawia,
Naye Mose, Aroni na wanawe wakayatumia kwa kunawia mikono na miguu yao.
32 他們進入會幕或接近祭壇時,必先洗濯,如上主向梅瑟所吩咐的。
Wakanawa kila walipoingia katika Hema la Kukutania au walipoikaribia madhabahu kama Bwana alivyomwagiza Mose.
33 隨後在帳棚和祭壇四周,豎立了庭院的帷幔,懸起了庭院的門簾:這樣梅瑟完成了所有的工程。上主的榮耀遮蓋會幕
Kisha Mose akafanya ua kuizunguka Maskani ya Mungu na madhabahu, pia akaweka pazia kwenye ingilio la huo ua. Hivyo Mose akaikamilisha kazi.
Ndipo wingu likafunika Hema la Kukutania, na utukufu wa Bwana ukaijaza Maskani ya Mungu.
35 梅瑟不能進入會幕,因為雲彩停在上面,上主的榮耀充滿了帳棚。
Mose hakuweza kuingia ndani ya Hema la Kukutania kwa sababu wingu lilikuwa limetua juu ya Hema, nao utukufu wa Bwana ukaijaza Maskani ya Mungu.
36 在以色列子民整個的行程中,雲彩一從帳棚升起,他們就拔營前行;
Katika safari yote ya Waisraeli, kila wakati wingu lilipoinuka kutoka juu ya Maskani ya Mungu, wangeondoka;
37 雲彩若不升起,他們就安營不動,直等雲彩升起。
lakini kama wingu halikuinuka, hawakuondoka, mpaka siku lilipoinuka.
38 在他們整個行程中,上主的雲彩白天停在帳棚上,黑夜在雲中有火,,以色列全家都能見到。
Kwa hiyo wingu la Bwana lilikuwa juu ya maskani mchana, na moto ulikuwa katika hilo wingu wakati wa usiku, machoni pa nyumba yote ya Israeli siku zote za safari zao.