< 歷代志上 23 >

1 [肋未人的職務和班次]達味年老,壽數將滿,遂立自己的兒子撒羅滿為以色列王。
Daudi alipo kuwa mzee na kukaribia mwisho wa maisha yake, alimfanya Sulemani mwanae mfalme juu ya Israeli.
2 他召集了以色列所以的領袖、司祭和肋未人。
Aliwakusanya pamoja viongozi wote wa Israeli, na makuhani na Walawi.
3 肋未人自三十歲以上者,所有的男子都一一統計了,人數共計三萬八千:
Walawi walio kuwa miaka thelathini na zaidi walihesabiwa. Idadi ya elfu thelathini na nane.
4 其中從事監督上主殿宇工作的有二萬四千;長官和判官有六千;
Kwa hawa, elfu ishirini na nne walikuwa kusimamia kazi ya nyumba ya Yahweh, na elfu sita walikuwa maaskari na waamuzi.
5 守衛的有四千;用達味所製的樂器讚頌上主的有四千。
Elfu nne walikuwa walinzi wa lango, na elfu nne walikuwa wamsifu Yahweh na vyombo nilivyo vitengeneza vya kusifu.” Daudi akasema.
6 達味按照肋未的兒子革爾雄、刻哈特和默辣黎,將他們編成班次:
Akawatenganisha kwenye vikundi kulingana na wana wa Levi: Gerishoni, Kohathi, na Merari.
7 屬革爾雄的:有拉當和史米。
Kwa koo za uzao wa Gerishoni, kulilkuwa na Ladani na Shimei.
8 拉當的子孫:為首的是耶希耳,其次是則堂和約厄耳,共三人。
Palikuwa na watatu wa wana wa Ladani: Yehieli kiongozi, Zethami, na Yoeli.
9 史米的子孫:舍羅米特、哈齊耳和哈郎,共三人。這些都是拉當家族的族長。
Palikuwa na watatu wa wana wa Shimei: Shelomothi, Hazieli, na Harani. Hawa walikuwa viongozi wa koo ya Ladani.
10 史米的子孫:雅哈特、齊匝、耶烏士和貝黎雅。這四人都是史米的子孫,
Palikuwa na wanne wa wana wa Shimei: Yahathi, Ziza, Yeushi, na Beria.
11 為首的是雅哈齊,齊匝次之。耶烏士和貝黎雅子孫不多,所以算為一個家族,歸為一班。
Yahathi alikuwa mkubwa, Ziza wapili, lakini Yeushi na Beria hawakuwa na wana wengi, hivyo walihesabiwa kama ukoo mmoja na kupangiwa kazi sawa.
12 刻哈特的子孫:阿默蘭、依茲哈爾、赫貝龍和烏齊耳,共四人。
Palikuwa na wanne wa wana wa Kohathi: Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
13 阿默蘭的兒子:亞郎和梅瑟。亞郎與其子孫應分別出來,受祝聖為至聖潔的人,直到永遠;在天主面前焚香事奉他,以他的名為人祝福,直到永遠。
Hawa walikuwa wana wa Amramu: Aruni na Musa. Aruni alichaguliwa kuandaa vitu vitakatifu, yeye na uzao wake watatoa uvumba kwa Yahweh, kumtumikia na kumpa baraka kwa jina lake.
14 至於天主的人梅瑟,他的子孫歸於肋未支派。
Lakini kwa Musa mtu wa Mungu, wana wake walihesabiwa kuwa Walawi.
15 梅瑟的兒子:革爾熊和厄里厄則爾。
Wana wa Musa walikuwa Gerishomu na Eliezeri.
16 革爾雄的子孫,為首的是叔巴耳。
Uzao wa Gerishomu ulikuwa Shebueli mkubwa.
17 厄里厄則爾的子孫,為首的是勒哈彼雅。厄里厄則爾沒有別的兒子,但勒哈彼雅的兒子眾多。
Uzao wa Eliezeri alikuwa Rehabia. Eliezeri hakuwa na wana wengine, lakini Rehabia alikuwa na uzao mkubwa.
18 依茲哈爾的子孫,為首的是舍羅米特。
Mwana wa Izihari alikuwa Shelomithi kiongonzi.
19 赫貝龍的子孫:為首的是耶黎雅,次為阿瑪黎雅,三為雅哈齊耳,四為雅刻默罕。
Uzao wa Hebroni ulikuwa Yeria, mkubwa, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
20 烏齊耳的子孫:為首的是米加,其次是依史雅。
Wana wa Uzieli walikuwa Mika mkubwa, na Ishia wapili.
21 默辣黎的子孫:瑪赫里和慕史。瑪赫里的子孫:厄肋阿匝爾和克士。
Wana wa Merari walikuwa Mahili na Mushi. Wana wa Mahili walikuwa Eleazari na Kishi.
22 厄肋阿匝爾死了,沒有兒子,只有女兒,因此克士的兒子,即她們的堂兄弟娶了她們為妻。
Eleazari alikufa bila mtoto wa kiume. Alikuwa na mabinti tu. Wana wa Kishi waliwaoa.
23 慕史的子孫:瑪赫里、厄德爾和耶黎摩特,共三人。
Wana wa Mushi watatu walikuwa Mahili, Ederi, na Yeremothi.
24 這些人按他們的家族,都是肋未的子孫,都是二十歲以上,一一報名登記,在上主殿內擔任職務的首領。
Hawa walikuwa uzao wa Lawi kuligana na koo zao. Walikuwa viongozi, wamehesabiwa na kuorodheshwa kwa majina, kuanzia koo zilizo fanya kazi katika nyumba ya Yahweh, kutoka miaka ishirini na zaidi.
25 因為達味曾想:「上主以色列的天主既使自己的百姓獲得安寧,自己又永遠定居在耶路撒冷,
Kwa kuwa Daudi alisema, “Yahweh, Mungu wa Israeli, amewapa pumziko watu wake. Anafanya makao yake Yerusalemu milele.
26 肋未人就無須再抬會幕及其中應用的一切器具。」
Walawi hawataitaji kubeba hema la kuabuadia na vifaa vyake vinavyo tumika kwenye utumishi wake.”
27 為此,按達味最後的吩咐,肋未子孫應由二十歲開始登記。
Kwa maneno ya Daudi ya mwisho Walawi walihesabiwa, miaka ishirini na kuendelea.
28 他們的任務是上主殿內供職,輔助亞郎的子孫,管理庭院及廂房,洗淨所有的聖物,並擔任天主聖殿中的各種工作。
Wajibu wao ulikuwa kuwasaidia wazao wa Aruni katika utumishi wa nyumba ya Yahweh. Walikuwa washughulikie nyuani, vyumbani, utakasaji wa vitu vyote vya Yahweh, na kazi zingine katika utumishi wa nyumba ya Mungu.
29 又管理供餅,素祭細麵,或用盤烤,或用油抹的無酵餅,以及各種度量衡;
Pia walishughulikia mkate wa uwepo, unga safi wa mbegu za sadaka, maandazi ya siotiwa chachu, sadaka za ngano, sadaka ziliochanganywa na mafuta, na vipimo vyote vya idadi n a ukubwa wa vitu.
30 每日早晚應前去稱謝讚頌上主;
Pia walisimama kila asubui kumshukuru na kumsifu Yahweh. Pia walifanya hivi jioni
31 每逢安息日、月朔及節日,向上主獻各種全燔祭時,應常按規定的數目到上主面前;
na kila wakati sadaka ya kuteketezwa ilipo tolewa kwa Yahweh, siku ya Sabato na sherehe za mwezi mpya na siku za maakuli. Idadi iliyo pangwa, iliyo tolewa kwa amri, ilipaswa kuwa mbele ya Yahweh.
32 應負責照顧會幕及聖所,並照顧他們在上主殿內供職的弟兄─亞郎的子孫。
Walikuwa viongozi wa hema la kukutania, patakatifu, na kuwasaidia ndugu zao wa uzao wa Aruni katika utumishi wa nyumba ya Yahweh.

< 歷代志上 23 >