< 马可福音 1 >
Habari Njema ya Yesu Kristo, Mwana wa Mungu.
2 正如以赛亚先知所写:“我派遣使者提前来到,备好你要走的道路。
Ilianza kama ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya: “Tazama, namtuma mjumbe wangu akutangulie; yeye atakutayarishia njia yako.
3 在荒野中有人在呼喊:‘预备主的道,修直他的路!’”
Sauti ya mtu imesikika jangwani: Mtayarishieni Bwana njia yake, nyoosheni mapito yake.”
4 施洗约翰出现在荒野中,宣讲悔改的洗礼,因此救赎罪行。
Yohane Mbatizaji alitokea jangwani, akahubiri kwamba ni lazima watu watubu na kubatizwa ili Mungu awasamehe dhambi zao.
5 犹太和全耶路撒冷的人都来到他身边,承认自己的罪,在约旦河里接受他的洗礼。
Watu kutoka sehemu zote za Yudea na wenyeji wote wa Yerusalemu walimwendea, wakaziungama dhambi zao, naye akawabatiza katika mto Yordani.
6 约翰身穿驼毛衣服,腰束皮带,以蝗虫和野蜜为食。
Yohane alikuwa amevaa vazi lililofumwa kwa manyoya ya ngamia, na mkanda wa ngozi kiunoni mwake. Chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni.
7 他这样宣讲:“在我之后将有一人到来,能力远比我强大,我甚至连弯腰给他提鞋的资格都没有。
Naye alihubiri akisema, “Baada yangu anakuja mwenye uwezo zaidi kuliko mimi, ambaye mimi sistahili hata kuinama na kufungua kamba za viatu vyake.
Mimi ninawabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu.”
9 这时耶稣从加利利的拿撒勒前来,在约旦河里接受约翰的洗礼。
Siku hizo, Yesu alifika kutoka Nazareti, mji wa Galilaya, akabatizwa na Yohane katika mto Yordani.
10 他从水中出来的那一刻,天裂开了,圣灵如鸽子般落在他身上。
Mara tu alipotoka majini, aliona mbingu zimefunguliwa, na Roho akishuka juu yake kama njiwa.
11 天空传来一个声音:“你是我的爱子,你让我喜悦。”
Sauti ikasikika kutoka mbinguni: “Wewe ni Mwanangu mpendwa, nimependezwa nawe.”
Mara akaongozwa na Roho kwenda jangwani,
13 他在那里将待上四十天,受到撒旦的诱惑,身边是各种野兽,还有天使来看护他。
akakaa huko siku arubaini akijaribiwa na Shetani. Alikuwa huko pamoja na wanyama wa porini, nao malaika wakawa wanamtumikia.
14 之后,耶稣在约翰被捕后来到加利利,宣讲上帝的福音。
Yohane alipokwisha fungwa gerezani, Yesu alikwenda Galilaya, akahubiri Habari Njema ya Mungu, akisema,
15 他说:“预言的时间已到,上帝之国已来临,要悔改并相信福音。”
“Wakati umetimia, na Ufalme wa Mungu umekaribia. Tubuni na kuiamini Habari Njema!”
16 耶稣沿着加利利海边行走,看见西门和他弟弟安得烈在海上撒网,他们靠打鱼过活。
Alipokuwa anapita kando ya ziwa Galilaya, aliwaona wavuvi wawili: Simoni na Andrea ndugu yake wakivua samaki kwa wavu.
17 耶稣对他们说:“跟从我吧,我要让你们成为获得人的渔夫。”
Yesu akawaambia, “Nifuateni nami nitawafanya ninyi wavuvi wa watu.”
Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.
19 耶稣稍往前走了几步,看见西庇太的儿子雅各和弟弟约翰,正在船上整理渔网,
Alipokwenda mbele kidogo, aliwaona Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo. Nao pia walikuwa ndani ya mashua yao wakizitengeneza nyavu zao.
20 耶稣召唤他们,他们立刻离开父亲西庇太和雇工,跳下船跟从耶稣而去。
Yesu akawaita mara, nao wakamwacha baba yao Zebedayo katika mashua pamoja na wafanyakazi, wakamfuata.
21 他们去往迦百农,耶稣随即在安息日进入会堂向民众宣讲。
Wakafika mjini Kafarnaumu, na mara ilipofika Sabato, Yesu akaingia katika Sunagogi, akaanza kufundisha.
22 民众对他的教导感到惊讶万分,因为他宣讲的方式非常权威,不像是其他的宗教老师。
Watu wote waliomsikia walishangazwa na mafundisho yake, maana hakuwa anafundisha kama walimu wao wa Sheria, bali kama mtu mwenye mamlaka.
Mara akatokea mle ndani ya sunagogi mtu mmoja mwenye pepo mchafu,
24 “拿撒勒人耶稣,你为什么要来打扰我们?你是来毁灭我们的吗?我知道你是谁,你是上帝的圣者。”
akapaaza sauti, “Una nini nasi, wewe Yesu wa Nazareti? Je, umekuja kutuangamiza? Najua wewe ni nani: wewe ni Mtakatifu wa Mungu!”
Yesu akamkemea, “Nyamaza! Mtoke mtu huyu.”
26 恶灵嘶叫着,附体之人陷入惊厥,恶灵从他身体被驱赶出来。
Basi, huyo pepo mchafu akamtikisatikisa mtu huyo, kisha akalia kwa sauti kubwa, akamtoka.
27 众人都很惊讶,对彼此说:“这是什么?这新教义的权威太大了!即使恶灵也服从于他的命令!”
Watu wote wakashangaa, wakaulizana, “Ni mambo gani haya? Je, ni mafundisho mapya? Mtu huyu anayo mamlaka ya kuamuru hata pepo wachafu, nao wanamtii!”
Habari za Yesu zikaenea upesi kila mahali katika wilaya ya Galilaya.
29 他们走出会堂,与雅各和约翰一起去往西门和安得烈的家。
Wakatoka katika sunagogi, wakaenda moja kwa moja hadi nyumbani kwa Simoni na Andrea; Yakobo na Yohane walikwenda pamoja nao.
30 西门的岳母此刻正发烧躺在床上,众人把这件事告诉了耶稣。
Basi, mama mmoja, mkwewe Simoni, alikuwa kitandani ana homa kali. Wakamwarifu Yesu mara alipowasili.
31 耶稣走到她面前,拉着她的手,扶她起来,高烧立刻退去,于是她开始为众人做饭。
Yesu akamwendea huyo mama, akamshika mkono, akamwinua. Na ile homa ikamwacha, akaanza kuwatumikia.
32 黄昏过后,有人不断把生病和被鬼附体之人带到耶稣面前。
Jioni, jua lilipokwisha tua, wakamletea Yesu wagonjwa wote na watu waliopagawa na pepo.
Watu wote wa mji ule wakakusanyika nje ya mlango.
34 耶稣医好了很多人的疾病,驱走很多恶鬼。他命令恶鬼不要说话,因为鬼知道他是谁。
Naye Yesu akawaponya watu wengi waliokuwa na magonjwa mbalimbali; aliwafukuza pepo wengi, lakini hakuwaruhusu kusema kitu maana walikuwa wanamjua yeye ni nani.
35 次日凌晨,天还没有亮,耶稣便起身来到荒郊野外进行祷告。
Kesho yake, kabla ya mapambazuko, Yesu alitoka, akaenda mahali pa faragha kusali.
Simoni na wenzake wakaenda kumtafuta.
Walipomwona wakamwambia, “Kila mtu anakutafuta.”
38 耶稣对他们说:“我们必须到附近的其他城镇去,这样我就可以在那里传授福音,我就是为此而来。”
Yesu akawaambia, “Twendeni katika miji mingine ya jirani nikahubiri huko pia, maana nimekuja kwa sababu hiyo.”
39 于是他走遍加利利各地,在会堂里传道,进行驱鬼。
Basi, akaenda kila mahali Galilaya akihubiri katika masunagogi na kufukuza pepo.
40 有一个麻风病人前来寻求帮助。他跪在耶稣面前说:“主啊!如果你愿意,就能治愈我。”
Mtu mmoja mwenye ukoma alimwendea Yesu, akapiga magoti, akamwomba, “Ukitaka, waweza kunitakasa!”
41 耶稣动了怜悯的心,便伸手摸他,说:“我愿意,你治愈了!”
Yesu akamwonea huruma, akanyosha mkono wake, akamgusa na kumwambia, “Nataka, takasika!”
Mara ukoma ukamwacha mtu huyo, akatakasika.
Kisha Yesu akamwambia aende zake upesi na kumwonya vikali,
44 “不要向任何人讲述这件事。去祭司那里,让他看看你的样子,然后按照摩西的要求,为这洁净献祭,向大家作证。”
“Usimwambie mtu yeyote jambo hili, ila nenda ukajionyeshe kwa kuhani; kisha utoe sadaka kwa ajili ya kutakasika kwako kama alivyoamuru Mose, iwe uthibitisho kwao kwamba umepona.”
45 但那人离开后仍然到处宣讲,把这事传开了,这也让耶稣无法再公开走进城市,只好留在外面的荒野。可仍有很多人从各处赶到他这里。
Lakini huyo mtu akaenda, akaanza kueneza habari hiyo kila mahali na kusema mambo mengi hata Yesu hakuweza tena kuingia katika mji wowote waziwazi; ikamlazimu kukaa nje, mahali pa faragha. Hata hivyo, watu wakamwendea kutoka kila upande.