< Sam 96 >
1 Kasakkung: Devit Oe BAWIPA koe la katha sak awh. Talai taminaw pueng, BAWIPA koe la sak awh.
Mwimbieni Bwana wimbo mpya; mwimbieni Bwana dunia yote.
2 BAWIPA koe la sak awh nateh, a min teh pholen awh. Rungngangnae kamthang kahawi teh hnintangkuem pathang awh.
Mwimbieni Bwana, lisifuni jina lake; tangazeni wokovu wake siku baada ya siku.
3 Miphun pueng koe a bawilennae teh pâpho awh haw. Tami pueng koe kângairu lah a onae hah pâpho awh.
Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa, matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote.
4 BAWIPA teh a len, puenghoi pholen hanelah ao, Cathut pueng hlak taki hanelah ao,
Kwa kuwa Bwana ni mkuu mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote; yeye ni wa kuogopwa kuliko miungu yote.
5 Miphunlouknaw e cathut pueng teh ayawmyin doeh. BAWIPA ni teh kalvan hah a sak.
Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu, lakini Bwana aliziumba mbingu.
6 A hmalah barinae hoi taluenae teh ao. A hmuen kathoung koe thaonae hoi meihawinae teh ao.
Fahari na enzi viko mbele yake; nguvu na utukufu vimo patakatifu pake.
7 Oe, tami pueng hoi imthung pueng, BAWIPA teh bawilennae hoi thaonae hah poe awh.
Mpeni Bwana, enyi jamaa za mataifa, mpeni Bwana utukufu na nguvu.
8 BAWIPA e min teh, bawilennae poe awh. Pasoung hno sin laihoi a thongma koe tho awh.
Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake; leteni sadaka na mje katika nyua zake.
9 Oe, thoungnae kamthoup laihoi BAWIPA bawk awh. Talai taminaw pueng a hmalah pâyaw awh.
Mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake; dunia yote na itetemeke mbele zake.
10 Miphun pueng koe BAWIPA ni a uk tet awh. Talaivan hai kacaklah kangdue sak teh, kâhuen mahoeh. Ama ni kalan lah lawk a ceng han.
Katikati ya mataifa semeni, “Bwana anatawala.” Ulimwengu ameuweka imara, hauwezi kusogezwa; atawahukumu watu kwa uadilifu.
11 Kalvan teh lunghawi naseh, talai hai konawm naseh. Talîpui hoi a thung e kaawm e pueng ni hai cairing naseh.
Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi; bahari na ivume, na vyote vilivyomo ndani yake;
12 Law hoi a thung e kaawm e pueng lunghawi naseh. kahrawng e kaawm e pueng nihai BAWIPA koe konawm laihoi la sak naseh.
mashamba na yashangilie, pamoja na vyote vilivyomo ndani yake. Kisha miti yote ya msituni itaimba kwa furaha;
13 Bangkongtetpawiteh, ama teh a tho. Talai taminaw lawkceng hanelah a tho. Talaivan hah lannae hoi lawkceng vaiteh, a lawkkatang hoi tami lawk a ceng han.
itaimba mbele za Bwana kwa maana anakuja, anakuja kuihukumu dunia. Ataihukumu dunia kwa haki, na mataifa katika kweli yake.