< Sam 75 >
1 Kathutkung: Asaph Oe Cathut, nang koe lunghawi lawk ka dei, lunghawi lawk ka dei. Bangkongtetpawiteh, na sak e kângairu hnonaw ni na min a hnainae a kamnue sak.
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Zaburi ya Asafu. Wimbo. Ee Mungu, tunakushukuru, tunakushukuru wewe, kwa kuwa jina lako li karibu; watu husimulia matendo yako ya ajabu.
2 Kâdawk e tueng a pha toteh, kânging lah lawk na ceng han.
Unasema, “Ninachagua wakati maalum; ni mimi nihukumuye kwa haki.
3 Talai hoi a thung kaawm e naw pueng raphoe lah ao teh, a khom hah kacaklah a ung. (Selah)
Wakati dunia na watu wake wote inapotetemeka, ni mimi ninayezishikilia nguzo zake imara.
4 Mithmaikhet e naw koevah, minhmai khen hanh awh. Tamikathoutnaw koe na ki hno hanh.
Kwa wale wenye majivuno ninasema, ‘Msijisifu tena,’ kwa wale waovu, ‘Msiinue pembe zenu.
5 Na ki teh a lathueng lah saw sak hanh awh. Lahuen pata lahoi lawk dei hanh awh telah ka ti.
Msiinue pembe zenu dhidi ya mbingu; msiseme kwa shingo zilizonyooshwa.’”
6 Bangkongtetpawiteh, tawmnae teh kanîtho, kanîloum, akalah hoi tho hoeh.
Hakuna yeyote atokaye mashariki wala magharibi au kutoka jangwani awezaye kumkweza mwanadamu.
7 Hateiteh, Cathut teh lawkcengkung doeh. Buet touh a rahnoum sak teh alouke a rasang sak.
Bali Mungu ndiye ahukumuye: Humshusha huyu na kumkweza mwingine.
8 Bangkongtetpawiteh, Cathut kut dawk manang ao teh, misurtui teh a paling. Koung kalawt hnukkhu a rabawk. A laheipadin totouh talai van e tamikayonnaw ni koung a nei awh han.
Mkononi mwa Bwana kuna kikombe kilichojaa mvinyo unaotoka povu uliochanganywa na vikolezo; huumimina, nao waovu wote wa dunia hunywa mpaka tone la mwisho.
9 Hateiteh, Jakop Cathut teh, ka pholen han, a yungyoe ka pholen han.
Bali mimi, nitatangaza hili milele; nitaimba sifa kwa Mungu wa Yakobo.
10 Tamikayon e ki pueng teh, koung ka tâtueng han. Hateiteh, tamikalan e ki teh, tawm lah ao han.
Nitazikatilia mbali pembe za waovu wote, bali pembe za wenye haki zitainuliwa juu.