< Sam 54 >
1 Kathutkung: Devit Oe Cathut, na min lahoi na rungngang haw. Na thaonae hoi lawk na ceng pouh haw.
Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Wakati Wazifu walimwendea Sauli na kumjulisha, “Je, Daudi hajifichi miongoni mwetu?” Ee Mungu uniokoe kwa jina lako, unifanyie hukumu kwa uwezo wako.
2 Oe Cathut, ka ratoum e heh thai haw. Ka dei e lawk heh na thai pouh haw.
Ee Mungu, sikia maombi yangu, usikilize maneno ya kinywa changu.
3 Bangkongtetpawiteh, ramlouknaw ni kai taranlahoi a thaw awh teh, rep kacuengroenaw ni thei hanlah a kâcai awh. Cathut minhmai khoeroe khen awh hoeh. (Selah)
Wageni wananishambulia, watu wakatili wanayatafuta maisha yangu, watu wasiomjali Mungu.
4 Khenhaw! Cathut teh na kabawmkung doeh. BAWIPA teh ka hringnae karingkungnaw koe ao.
Hakika Mungu ni msaada wangu, Bwana ndiye anayenitegemeza.
5 A tawksak awh e thoenae hah ama ni a patho han. Ahnimouh teh na lawkkatang hoi raphoe haw.
Mabaya na yawarudie wale wanaonisingizia, kwa uaminifu wako uwaangamize.
6 Kai hai lungthocalah hoi nang koe thuengnae ka sak han. Oe BAWIPA, na min teh ka pholen han. Bangkongtetpawiteh, nang teh na hawi.
Nitakutolea dhabihu za hiari; Ee Bwana, nitalisifu jina lako kwa kuwa ni vyema.
7 Kai hah runae phunkuep thung hoi na hlout sak teh, ka tarannaw koe ka phat e hah ka mit ni khei a hmu toe.
Kwa maana ameniokoa katika shida zangu zote, na macho yangu yamewatazama adui zangu kwa ushindi.